Halafu kombe hilo hilo mnalolidharau (mkiringia mmlichuano ya Mapinduzi Cup) ndilo limeifanya Yanga iwashushe makolokoloni FC kwenye ubora wa vilabu AfrikaUbingwa wa Afrika watautwaa vipi wakati wenyewe wNshiriki KOMBE la shirikisho. Kuutwa ubingwa LAZIMA ushiriki mashindano ya klabu bingwa
Vipi tupige tena hesabu ya hela zilizoingia kwa Simba na Yanga au ugomvi sio mzuri?Hadi kufikia sasa ambapo Simba ametinga robo fainali kibabe, kwa kumchabanga Horoya mabao 7-0 kwenye michuano ya ligi ya mabingwa Afrika CAFCL, huku Yanga ikitinga robo fainali kombe la Shirikisho Afrika CAFCC, Simba SC imezidi Yanga kwa mbali kwa kukusanya fedha nyingi kwenye michuano ya Kimataifa ya CAF wanaoshiriki.
Hii ndo maana ya michuano mikubwa kwa timu kubwa kushiriki.[emoji116]
Hii ajenda bado ipo tuuu???Hadi kufikia sasa ambapo Simba ametinga robo fainali kibabe, kwa kumchabanga Horoya mabao 7-0 kwenye michuano ya ligi ya mabingwa Afrika CAFCL, huku Yanga ikitinga robo fainali kombe la Shirikisho Afrika CAFCC, Simba SC imezidi Yanga kwa mbali kwa kukusanya fedha nyingi kwenye michuano ya Kimataifa ya CAF wanaoshiriki.
Hii ndo maana ya michuano mikubwa kwa timu kubwa kushiriki.[emoji116]
Dah ujinga ni maradhi.Hiyo listi ni timu zinazofuatiliwa kwenye social media sio ubora.Kwenye listi ya ubora bado sana ingawa Utopolo wamepiga hatua kwenye Losers Cup.Halafu kombe hilo hilo mnalolidharau (mkiringia mmlichuano ya Mapinduzi Cup) ndilo limeifanya Yanga iwashushe makolokoloni FC kwenye ubora wa vilabu Afrika
Kweli Rage hakukosea, makolo ni mambumbumbu.Dah ujinga ni maradhi.Hiyo listi ni timu zinazofuatiliwa kwenye social media sio ubora.Kwenye listi ya ubora bado sana ingawa Utopolo wamepiga hatua kwenye Losers Cup.
🤣🤣🤣🤣🤣Mleta mada
Last seen yake ni tar 22.03.2023, sijui kapotelea wapi!Mleta mada
Kumbe hujui mambo yanavyokwenda, hakuna pesa ya kuingia group stageUmesahau pesa ya kuingia group stage
Kapotea kama mbosso
Ndio maana Rage alituita MBUMBUMBU!Kumbe hujui mambo yanavyokwenda, hakuna pesa ya kuingia group stage
Unapoishia ndiyo utapewa hela yakeNdio maana Rage alituita MBUMBUMBU!
View attachment 2627607
View attachment 2627608
Link hii hapa chini.
CAF Interclub Prize Money Breakdown: TotalEnergies CAF Champions League and TotalEnergies CAF Confederation Cup | CAFOnline.com
Earlier this year, CAF President Dr Patrice Motsepe announced a new prize money structure for TotalEnergies CAF Champions League and TotalEnergies CAF Confederation Cup. The announcement saw prize monies for the two competition increase by 40% - in line with Dr Motsepe’s commitment to make...www.cafonline.com
Summary yake hii hapa
View attachment 2627614
tofautisha kudharau na kuueleza ukweliHalafu kombe hilo hilo mnalolidharau (mkiringia mmlichuano ya Mapinduzi Cup) ndilo limeifanya Yanga iwashushe makolokoloni FC kwenye ubora wa vilabu Afrika
Hivi mikia anapigania kombe lile msimu huu? Najua ninyi mmeshiriki kombe la dunia la udaku, hivyo mko vizuri kwenye eneo hilo. Mtumiaji sana hasa pale mkishuhudia wananchi wakinyenyua kwapa kwenye mashindano makubwa ya CAF. Kwa sasa endeleeni kulialia na kulalamika, muda wenu unakuja ambapo mtatafuta mahali pa kujificha pasiwepo.tofautisha kudharau na kuueleza ukweli
Mbona unachoongea hakina uhusiano WOWOTE ba nilichoandika?Hivi mikia anapigania kombe lile msimu huu? Najua ninyi mmeshiriki kombe la dunia la udaku, hivyo mko vizuri kwenye eneo hilo. Mtumiaji sana hasa pale mkishuhudia wananchi wakinyenyua kwapa kwenye mashindano makubwa ya CAF. Kwa sasa endeleeni kulialia na kulalamika, muda wenu unakuja ambapo mtatafuta mahali pa kujificha pasiwepo.