Turudi kwenye hoja tafadhali.Tulia Kwa Timu Gani Wewe Usipgwe Tano Au Sita Kule, Huyo Bocco Na Mzamiru Ndo Wanakupa Jeuri?, Kama Tu As Vita Alikupiga Tano Kwake Atashindwa Raja Casablanca? [emoji23]
Na anateseka kweli masikini. Wamezinduka leo wanataka kujilinganisha na wengine ambao wamekuwa na ubora kwa karibu miaka 4.
Turudi kwenye hoja tafadhali.
Ukiongea sana unaweza kusababisha Simba wawazuie hata mechi zenu zilizobaki za makundi msichezee pale maana mnaweza hujumu uwanja kwa wivu mlio nao.
Hivi mlihusishwa katika maamuzi haya? 🤣😂🤣Ukiwa Na Timu Bora Unashinda Kwenye Uwanja Wowote Ule, Ttz Sio Uwanja, Una Timu Ya Kukufanya Unufaike Na Huo Uwanja?, Sio Unalilia Kutumia Uwanja Wakati Mpira Hamjui Mnapigwa Tatu Bila Na Mpira Mkubwa Mnapigiwa Mbele Ya Kundi Kubwa La Mashabiki Wenu [emoji1787][emoji1787]
lakini hamtacheza Super League, au sio?Ndio Nakujuza, Yanga Tutawala
Hili Soka La Bongo Kwa Muda Mrefu Kuanzia Sasa,
Una ahidi kama nani?Nionyeshe ushahidi kuwa Simba waliwacheka Vipers baada ya kufungwa na Raja. Pili, Simba hawezi kufungwa 5 kule, hilo nakuahidi.
Turudi kwenye mada.
Miaka Minne Yenu Ya Kupotea Ndio Imeanza Kama Hujui Mimi Ndio Nakujuza, Yanga Tutawala
Hili Soka La Bongo Kwa Muda Mrefu Kuanzia Sasa, Kama Unabisha Angalia Kwanza Mnavotolewa Kwenye Hatua Ya Makundi Huko CAF.
ukikaidi utapigwa2 na huyu mbona ameahidi maujinga yasiyo na kichwa wala mguu halafu badala ya kumuuliza anaahidi kama nani umependa post yake?Una ahidi kama nani?
ILI MRADI UPATE NENO LA "SIMBA YAIZUIA YANGA " URIDHIKE.Baada ya CAF kutoa maelekezo kuhusiana na mashindano ya Super Cup, uwanja wa Benjamin Mkapa umefungwa isipokuwa kwa mashindano ya kimataifa pekee.
Kwa hiyo mashindano mengine yoyote ikiwemo yale ya Ligi ya NBC yataendelea katika viwanja vingine, kwa hiyo Yanga na Simba watalazimika kutumia viwanja vingine kama vile Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya mashindano hayo.
Ikumbukwe ni Simba pekee kutoka Tanzania ndiye anategemewa kushiriki katika mashindano hayo ya Super Cup. Kwa tafsiri nyingine ni kuwa ushiriki wa Simba katika Super Cup umeharibu uenyeji wa Yanga katika mashindano ya ndani na hawana la kufanya masikini.
Kichwa chako cha Habari ( Uzi ) hakiendani na Content katika huu Uzi wako. Simba SC ( ambayo pia Naishabikia ) haina Uwexo Kisheria au Ubavu wa Kuizuia Yanga SC kutoutumia Uwanja wa MkapaBaada ya CAF kutoa maelekezo kuhusiana na mashindano ya Super Cup, uwanja wa Benjamin Mkapa umefungwa isipokuwa kwa mashindano ya kimataifa pekee.
Kwa hiyo mashindano mengine yoyote ikiwemo yale ya Ligi ya NBC yataendelea katika viwanja vingine, kwa hiyo Yanga na Simba watalazimika kutumia viwanja vingine kama vile Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya mashindano hayo.
Ikumbukwe ni Simba pekee kutoka Tanzania ndiye anategemewa kushiriki katika mashindano hayo ya Super Cup. Kwa tafsiri nyingine ni kuwa ushiriki wa Simba katika Super Cup umeharibu uenyeji wa Yanga katika mashindano ya ndani na hawana la kufanya masikini.
Uzuri wa Yanga hata uwapeleke sayari ya Jupiter watacheza na kupata ushindi nyinyi utumie tu wanaojua waje hapohapo kuwapiga thalathaBaada ya CAF kutoa maelekezo kuhusiana na mashindano ya Super Cup, uwanja wa Benjamin Mkapa umefungwa isipokuwa kwa mashindano ya kimataifa pekee.
Kwa hiyo mashindano mengine yoyote ikiwemo yale ya Ligi ya NBC yataendelea katika viwanja vingine, kwa hiyo Yanga na Simba watalazimika kutumia viwanja vingine kama vile Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya mashindano hayo.
Ikumbukwe ni Simba pekee kutoka Tanzania ndiye anategemewa kushiriki katika mashindano hayo ya Super Cup. Kwa tafsiri nyingine ni kuwa ushiriki wa Simba katika Super Cup umeharibu uenyeji wa Yanga katika mashindano ya ndani na hawana la kufanya masikini.
Tumeuona huo umbumbumbu Chifu [emoji847]Nyie upuuzi mwingine huu hapa
Kuna watu ni wajinga sana Rage hakukoseaBaada ya CAF kutoa maelekezo kuhusiana na mashindano ya Super Cup, uwanja wa Benjamin Mkapa umefungwa isipokuwa kwa mashindano ya kimataifa pekee.
Kwa hiyo mashindano mengine yoyote ikiwemo yale ya Ligi ya NBC yataendelea katika viwanja vingine, kwa hiyo Yanga na Simba watalazimika kutumia viwanja vingine kama vile Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya mashindano hayo.
Ikumbukwe ni Simba pekee kutoka Tanzania ndiye anategemewa kushiriki katika mashindano hayo ya Super Cup. Kwa tafsiri nyingine ni kuwa ushiriki wa Simba katika Super Cup umeharibu uenyeji wa Yanga katika mashindano ya ndani na hawana la kufanya masikini.
Sikuwa hata nawaza hizo imani na fikra unazoongelea. Nadhani mada haujaielewa.Kichwa chako cha Habari ( Uzi ) hakiendani na Content katika huu Uzi wako. Simba SC ( ambayo pia Naishabikia ) haina Uwexo Kisheria au Ubavu wa Kuizuia Yanga SC kutoutumia Uwanja wa Mkapa
Ni Upumbavu usiovumilika kama kuna Watu wanadhani kuwa kufanya vibaya kwa Simba SC katika CAFCL kunatokana na Kushea Kimatumizi kwa Uwanja wa Mkapa na Klabu ya Yanga SC.
Simba SC tungekuwa na Kikosi imara kwa Mashindano ya Ligi Kuu na Michuano ya Kimataifa kamwe Mashabiki tusingekuwa na Fikra hizi na Imani hii ya Kipumbavu na isiyo ya Kimchezo.
Tubadilike Kufikra.
Jifunze kupanua akili kabla ya kupanua mdomo.Unashindwa kuelewa jambo rahisi kama hili?