Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo wewe na yeye nani amepanua mdomo? Hata kama ni Utopolo jitahidi kuficha upumbavu
Wewe ni certified fool ambaye ni irrelevant.Sasa hapo wewe na yeye nani amepanua mdomo? Hata kama ni Utopolo jitahidi kuficha upumbavu
Ndio wamaemda sasa. Na mashindano yanaanza mwezi wa nane mwaka huu.Kwa hawa wachezaji wetu ndo twende Super Cup?
Simba anachechemea kivipi kwenye makundi wakati anahitaji mechi sawa na Yanga ili kufuzu?Wanasimba mnahaha sana kuikandia Yanga baada ya kukosa makombe misimu miwili. Mlijiita wa kimataifa Sasa hivi mnachechemea makundi CAF stori hiyo imekata!
Kila siku hamkosi Cha kusema kuiponda Yanga pamoja na kuwapasua Kila mechi ya watani!
Super league mtapigwa mechi zote na itapita. Muanze kutafuta jingine!
Mwenzio kasoma gumbaru ni ngumu kumuelewesha labda kama una muda wa kutoshaSimba anachechemea kivipi kwenye makundi wakati anahitaji mechi sawa na Yanga ili kufuzu?