Utabiri kama huu haujaanza leo. Ulitolewa wakati wa Mbabane, Nkana, Saoura, Al Ahly na Vita. Yaani ukiangalia timu zote hapo zilizotajwa zilicheza hatua ya makundi msimu uliopita, na mbili zilifika fainali ya mashindano mawili, lakini zimekaa kwa Simbahii mechi haitafika matuta, simba wajifunze jinsi ya kupunguza magoli.
Ukweli ndio roho mbaya
Utabiri ndio ukweli??ukweli ni jambo lililokwisha kutokeaUkweli ndio roho mbaya
Tujifunze kusikia na kukubali ukweli
Utabiri kama huu haujaanza leo. Ulitolewa wakati wa Mbabane, Nkana, Saoura, Al Ahly na Vita. Yaani ukiangalia timu zote hapo zilizotajwa zilicheza hatua ya makundi msimu uliopita, na mbili zilifika fainali ya mashindano mawili, lakini zimekaa kwa Simba
Unajua maana ya ukweli??jambo halijatokea unasema ukweli??Tujifunze kusikia na kukubali ukweli
Kumbuka game ikiisha 0 - 0 simba itakua ameaga. #I stand to be corrected.Leo Simba wamefanya mazoezi ya upigaji penati kwa kujiandaa na hatua hiyo Kama mchezo utaisha 0-0 kule Lugumbashi na TP Mazembe wachezaji okwi, kagere, Bocco, nyoni , mkude na chama walijifua kwa upigaji huo.
Mchezo wa Simba na TP Mazembe utachezwa jumamosi saa 10 kamili jioni na endapo mchezo huo utaisha kwa matokeo ya Bila kufungana mikwaju ya penati itaamua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa ilikuwa group stage,wewe ni chura!??maana vyura ndio wana akili moja tu muda wote
Game ikiisha 0-0 game inaenda extra timeKumbuka game ikiisha 0 - 0 simba itakua ameaga. #I stand to be corrected.
Ameaga kivipi?uwanja wa Taifa iliisha 0-0Kumbuka game ikiisha 0 - 0 simba itakua ameaga. #I stand to be corrected.
Mfano hujafa, nikikwambia kuna siku utakufa sio ukweli?
Hata timu alizokutana nazo simba uwanja wa taifa hazikutoka salama ila Mazembe ameweza kupata sare kwa hiyo kwenye mpira chochote kinawezekana , simba anaweza pata matokeo huko unakokuona pagumuMnakazi kubwa kuifunga TP Mazembe kwao
Congo DR - Tout Puissant Mazembe - Results and fixtures - Soccerway
Congo DR - Tout Puissant Mazembe - Results and fixtures - Soccerwayus.soccerway.com
Sawa mkuu.Hata timu alizokutana nazo simba uwanja wa taifa hazikutoka salama ila Mazembe ameweza kupata sare kwa hiyo kwenye mpira chochote kinawezekana , simba anaweza pata matokeo huko unakokuona pagumu
Sent using Jamii Forums mobile app