Simba yajiandaa na upigaji penati Lubumbashi

hii mechi haitafika matuta, simba wajifunze jinsi ya kupunguza magoli.
Utabiri kama huu haujaanza leo. Ulitolewa wakati wa Mbabane, Nkana, Saoura, Al Ahly na Vita. Yaani ukiangalia timu zote hapo zilizotajwa zilicheza hatua ya makundi msimu uliopita, na mbili zilifika fainali ya mashindano mawili, lakini zimekaa kwa Simba
 
karia wa kuwabeba kwa mbeleko ya chuma hayupo ukoo, hivy saba mtungi zinawahusu simba
 
Kumbuka game ikiisha 0 - 0 simba itakua ameaga. #I stand to be corrected.
 
Ndugu Zangu Wa Tanzania Nilimiambia Ya Kama Wa Chezaji Wa Simba Wataliya Tupo Wapi Apa Jameni Sisi Wa Kongomani Tupo Makali Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…