Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Hahahaha, hy hashtag yako kiboko
 
Mo: kila mwaka ninatoa ruzuku ya Tsh Bilioni 3 kwa klabu ya simba

Baada ya miaka 7 kila mtu anajua tutaambiwa nini?

Ni sawa na kufumba macho ili jiwe lisikupate [emoji3]
 
😁😁😁😁😁 kigwa kashika pabaya,itakua la tatu

Hapa najiuliza mbona sioni manara akijibu au ndo kusema haelewi kinachoendelea?

#Barbarafc
#secretaryakipandacheoanakuaCEO
Hivi hili ndo lilikuwa goli la tatu rafiki ee?

Mana nasikia mpaka sasa Kigwa na magoli manne huku chori chorri ana moja. 🀣🀣🀣🀣

#Barbara Fc.
 
Akikujibu nitag
 
Very professional in handling MO's affairs, remember she was MO personal secretary (assistant)
Kivip na amaefanya yep? mpaka uje hapa na hilo neno eti she is very professional bila wasifu wake tutaona naye ni muhamasishaji tu kama Manara
 
Kama timu itaendelea kufanya vizuri hakuna tatizo
Hii ni pisi ya Mwamedi na ndiyo aliyemfitinisha Mwamedi na Senzo.

In short hapo Mwamedi ana nafasi mbili za uongozi ndani ya Simba [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…