Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Mimi nimehama simba kwa ajili ya ujinga wa huyu Mohamed mtu kwanza anaendesha Project za Familia leo ndio anakuwa most influencer katika Club hizo pesa anazodai anatoa ni kuwa nae anafanya matangazo kupitia simba, nilivo ona Mohamed amekuja na Tangazo kuwa Barbara kapoteza iPhones mbili Taifa siku ya Simba day kwanza nilihisi kuwa ni usanii wa kutafutiwa followers wengi kwenye social media mana ni Mo mwenyewe ndio ali announce na kumquote bidada sasa nilivo ona tu Mo kamtangaza nkajua tayari huyu anandaliwa postion kubwa sana Simba mana amekuwa assistance wa Mo na ana lead iyo foundation ya Mo, Kwa kweli simba waangalie sana huyu Mhindi ata wa drag to the grave akiona wako hoi atawatema, Mtu sio Majority shareholder ila ana influence kubwa ivi kwa nini, Mo adhibitiwe na Ajue simba sio mali yake mambo yakuleta ukoo wake ndani ya simba hatutaki ni soon mtamsikia na Fatema Dewji kapewa cheo apo simba haswa upande wa Marketing its a big shame.
Mkuu usilalamike kabla hujaona utendaji wake huyo Barbra!
 
hata akiwapa watoto zake na wake zake ivyo vyeo kama timu inapata mafanikio kuna ubaya gani???kati ya kipindi ambacho alikwepo na kipindi ambacho hakwepo ni kipindi kipi ambacho simba imepata mafanikio...???ipi ni shida kwako haswa.. mbona izo timu ambazo haziendeshwi kiundugu unaousema wewe hazina mafanikio yoyote???
Sawa Mkuu ingawa ni vizuri timu ikaendeshwa kitaasisi kuliko kifamilia na kindugu. Maana likitokea la kutokea mtakuwa hamna mahala pa kushika.
 
Chorii chorii hata bil 20 hajatoa tayari ni mfalme

Poor kigwa kageuzwa kongolo na kandimu bila kusahau pilipili walaji wanamfakamia,na kusahau barbara kapita bila mchakato wowote.

Nasubiria zamu ya manara kunyooshwa

#barbarafc
Mjanja sana yule Muhindi na kajua kucheza na akili za mikia kwa kujua dhahiri akizungumzia habari za pikipiki basi Mashabiki wote watamwona Kigwangwala ana chuki binafsi naye. ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Eti wakikaa wanamlaumu Kigwa kwa nini hajamwambia Mo nje ya pale twitter wanasahau kwamba Muhindi naye kaleta habari za pikipiki huko huko twitter.
 
Na ndio mashabiki wengi imefanya muwe upande wake eti , mana mnasema nyie shida yenu ushindi tu hayo mengine hayawahusu. Lol
Sasa zaidi ya ushindi tutake nini tena Shadeeya, mikopo ya pikipiki?๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

TAHADHARI: Ndugu wakigombana shika jembe
ukalime

Kipigokwayangakikopalepale
 
Yanga wanajisahaulisha matatizo yao kupitia mambo ya simba..
Wao hata mishahara ya wachezaji inawashinda.
Na sasa hivi wana mpango wa kuleta "BAKULI KUBWA KULIKO".
"ILI WAJENGE UWANJA KIGAMBONI "[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Wakati gsm waliahidi kujengaa huo uwanja.
SASA SIJUI IMEKUWAJE.
lakini wanajifanya yao hawayaoni

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Kuna watu wapuuzi sana... Kigwangala jamaa nae kumbe kichwani kweupe tuu yani alivyomind kuhusu yule CEO utadhani ana hisaa Simba lakini MO akajua tatizo sio UCEO tatizo ni PIKIPIKI...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa ukweli umedhihirika! Kuna shabiki mmoja wa mbumbumbu fc aliwahi kutoa angalizo humu ya kwamba mdhamini mkuu anashikiliwa masikio na huyo bidada!!

Na alimtabiria pia kupewa hiyo nafasi siku za usoni! Sasa yametimia. Muda si mrefu mbumbumbu fc wataanza tu kutibuana. Hasa kwa wale watakao shindwa kumtii bosi mpya kwa namna yoyote ile.
Mfano; Manara akitaka kuwasiliana na huyo Barbra inakuwaje!
 
Asee umeandika vizuri sn .....unajua Kwa ukweli sisi Kama Wa-Tanzania tunauelewa mdogo sn katika mambo mengi sn ....huyu msichana kama ndio CEO wa simba anaweza kufanya makubwa kuliko wanavyo fikiria kwanza angalia CV yake tu ndio utajua pia angalia shule na vyuo alivyo soma utajua kama ametoka ktk wealth family.
Wwe ndio unauelewa mdogo sana wa mambo
Usi generalise kila kitu
 
Kuna watu wapuuzi sana... Kigwangala jamaa nae kumbe kichwani kweupe tuu yani alivyomind kuhusu yule CEO utadhani ana hisaa Simba lakini MO akajua tatizo sio UCEO tatizo ni PIKIPIKI...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahah Kigwa hela zake za mafao ya ubunge amegoma kuzinunulia Pikipiki za wajumbe lkn za Hela za MO ndio zinafaa kwa ajili ya Pikipiki za wajumbe.

Kweli huku ndiko to 'think out of the box' anayosemaga aisee.
 
Yaani huyo kawekwa hapo zile b20 zikija azikontroo wanasimba waziskie zipo zinazunguka lakini wasizione, yaani kwa timu mo anayopanga kwenye uongozi hizo ela pia anaweza kuzifisadi kimya kimya.
 
Chorii chorii hata bil 20 hajatoa tayari ni mfalme

Poor kigwa kageuzwa kongolo na kandimu bila kusahau pilipili walaji wanamfakamia,na kusahau barbara kapita bila mchakato wowote.

Nasubiria zamu ya manara kunyooshwa

#barbarafc
Natamani niisikilize hiyo Interview ya huko wasafi ambayo Chorii chorii anasema majibu ya 20b ndo yanapatikana huko. ๐Ÿ˜‚

Aisee!! Ropo ropo kazi anayo kulinda ugali wake.

#barbara Fc.
 
Hahah Kigwa hela zake za mafao ya ubunge amegoma kuzinunulia Pikipiki za wajumbe lkn za Hela za MO ndio zinafaa kwa ajili ya Pikipiki za wajumbe.

Kweli huku ndiko to 'think out of the box' anayosemaga aisee.
Fala sana yule jamaaa... Anataka kuleta Siasa Simbaa apambane na watu wake wa Nzega huko kazi kuwahonga vizee vya watu Fonex ili azidi kula hela za ubunge shwain..
 
Yanga hadi mikataba ya wachezaji anakaa nayo GSM..
LAKINI HAUWEZI KUONA WAKIHOJI.
Wanasubiri mambo ya simba waanze kupiga kelele.
Kuna watu wapuuzi sana... Kigwangala jamaa nae kumbe kichwani kweupe tuu yani alivyomind kuhusu yule CEO utadhani ana hisaa Simba lakini MO akajua tatizo sio UCEO tatizo ni PIKIPIKI...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom