masozist
JF-Expert Member
- Nov 19, 2019
- 352
- 316
Umepaki MkuuAcheni majungu.
Unaushahidi na unachokisema ?
Umaskini unaanzia kwenye fikra
Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepaki MkuuAcheni majungu.
Unaushahidi na unachokisema ?
Umaskini unaanzia kwenye fikra
Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Ulivyoongea utadhani mkopo ni msaada. Unajua vitu vikubwa vingi kwenye soka ila vidogo vidogo kama hivi vinakupiga chenga![emoji16]
Miaka 2?? Unafanya upembuzi hivi wenzangu mnaendeshaje familia zenu akili fupi kiasi hiki?Kuhusu uwekezaji mnamuonea bure MO. Hivi nani anaweza kuweka pesa zake kununua kampuni bila upembuzi yakinifu kufanyika. Simba hata Audit report ilikuwa haina, lazima kila kitu kiwe clear ikiwemo wadeni, wadaiwa, mali za club na uhalali wake zihakikishwe. Si mambo marahisi kwa club iliyoanzishwa toka mwaka 1936 ikiendeshwa un professional. Tutoe nafasi hiyo kazi ikamilike na tayari muwekezaji kasema ipo final stage. Wana Simba tusiruhusu kuvurugwa kipindi hiki.
Huyu dem ndo aliyesababisha Senzo kaondoka pia inasemekana lakini ni chakula ya MO!.
Du kuna watu wana bahati na nyembu zaoBarbara Gonzalez hatimae amehongwa timu
Mdosi kawa mchambaji [emoji23]KAKURUPUKA huyo Mdosi
Kuhusu uwekezaji mnamuonea bure MO. Hivi nani anaweza kuweka pesa zake kununua kampuni bila upembuzi yakinifu kufanyika. Simba hata Audit report ilikuwa haina, lazima kila kitu kiwe clear ikiwemo wadeni, wadaiwa, mali za club na uhalali wake zihakikishwe. Si mambo marahisi kwa club iliyoanzishwa toka mwaka 1936 ikiendeshwa un professional. Tutoe nafasi hiyo kazi ikamilike na tayari muwekezaji kasema ipo final stage. Wana Simba tusiruhusu kuvurugwa kipindi hiki.
Kama lokoleMdosi kawa mchambaji [emoji23]
Kwahiyo sababu ya Senzo kuondoka sio Morrison tena ni hii pisi [emoji3][emoji3], wabongo tuache ujuaji ambao hauna tija.
Utopolo nani amtoe dada ake kwenye club asiifanye club ya baba akeKwani wapo wangapi?
Au ni Utopolo in disguise. Kule hata wasimamia kambi ni wasomali na waarabu koko.
Wanalo rafiki Muhindi si mtu wa mchezo aisee mana mwisho wa siku anawanunua kirahisi. 😂😂
Mdosi anatuzingua aiseeWanalo rafiki Muhindi si mtu wa mchezo aisee mana mwisho wa siku anawanunua kirahisi. 😂😂
Halafu sijui Mo kawalisha nini mana Kigwangwala anahoji cha ajabu mikia wote wamemjia juu.
Wanalo rafiki Muhindi si mtu wa mchezo aisee mana mwisho wa siku anawanunua kirahisi. 😂😂
Halafu sijui Mo kawalisha nini mana Kigwangwala anahoji cha ajabu mikia wote wamemjia juu.
Mpaka mnyooke si mnajifanya mna macho lakini hamuoni yaani mkija kushituka timu imebadilishwa na jina inaitwa Mo Football Club. 😂😂😂Mdosi anatuzingua aisee
Ukipewa wewe uindeshe kiproffesional utaweza kuwalipa Wachezaji japo mshahara wa mwezi??? Au hata kuwalisha kwa siki mojaa tuu... Achaa kuleta siasaa kwenye mambo yanayoitaji fedha mkuu ndo yale ya kigwanwalaa kupigaa kelele tu..
Tutatembeza bakora ujinga ukiendelea. Kwa sasa tutaangalia kwanza je ushindi kiwanjani utapatikana? Kinyume cha hapo tutalianzisha🤪Mpaka mnyooke si mnajifanya mna macho lakini hamuoni yaani mkija kushituka timu imebadilishwa na jina inaitwa Mo Football Club. 😂😂😂
Mjanja sana yule Muhindi na kajua kucheza na akili za mikia kwa kujua dhahiri akizungumzia habari za pikipiki basi Mashabiki wote watamwona Kigwangwala ana chuki binafsi naye. 😅😂😂Mhindi kawalisha limbwata la pilipili. Kigwa japo ana madhaifu yake ila alikua na hoja nzito alitakiwa kujibiwa pale pale sio kukumbushwa mikopo ya pikipiki
Weee sema pole pole muhindi ameshakataa kuombea vitu vibaya vitokee. 😂😂😂😂Tutatembeza bakora ujinga ukiendelea. Kwa sasa tutaangalia kwanza je ushindi kiwanjani utapatikana? Kinyume cha hapo tutalianzisha🤪