Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Kumekucha kumekucha huko naona Hamis na Mudi wanabishana huko.Mudi nae kaamua awe roporopo kama msemaji wake Manara kwani angekaa kimya angepungukiwa nini,alafu baadaye kupitia msemaji wao au viongozi wengine wangelifafanua hili na hoja za Hamis Kigwangalla naona anazidi kutupa faida wapinzani.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Zamu yetu wana wa Jangwani,picha lishaanza Sterling anaelekea kususa kama alivyo susa kipindi kile baada ya kupigwa na Mtibwa fainali ya mapinduzi cup.Ndugu zetu wakalialia na kumbembeleza akarudi.

Wasipokuwa makini ile movie yao ya "SISI CLUB KUBWA AFRIKA" naliona kama lina elekea mwisho,kwani sterling mwenyewe anaelekea kususa.
Chochea moto chochea
 
Niliwahi kuandika hapo kabla kua huyu dada ndio chanzo cha Senzo kuondoka Simba. Watu walidhani sababu ni ujio wa Morrison. Mimi habari za Senzo kuondoka Simba nilikua nazo toka mwezi May.

Kifupi MO alikua akisikiliza habari mbili tofauti, kutoka kwa Senzo na kutoka kwa huyu Mdada. Atakachosema Senzo basi huulizwa huyu mdada aseme anaonaje. Cha Senzo chaweza kukubaliwa au kukataliwa kulingana na atakachosema want na Barbara.

Senzo amekua akilalamika kwa MO kua yeye ni Professional by qualifications, na by tittle hatakiwi kuingiliwa.

Kuna kipindi MO alikua hamtaki Kocha Sven, na Senzo ndo aliekua akimkingia kifua. Mpaka wakataka wote kuondoka kuhamia Yanga.
View attachment 1559878
Sawa sawa Mkuu nimekupata ,basi Mo na Friends of Simba ( bodi ya wakurugenzi ) wanafanya vile watakavyo muhimu wenye timu yao 51% wao wanataka ushindi tu

Hahahaha Tanzania bana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa structure ya Simba kuna nafasi ya CEO na Technical Director, nashangaa watu kuona huyo dada hafai kuwa CEO! Huyo dada angechaguliwa kuwa Technical Director malalamiko yangekuwa sahihi! Watanzania wengi hawajui majukumu ya CEO. Mambo ya Corporate management ni professional na Simba inaendeshwa ki corporate siku hizi. Watu tuna maneno sana dah!
 
Kuhusu uwekezaji mnamuonea bure MO. Hivi nani anaweza kuweka pesa zake kununua kampuni bila upembuzi yakinifu kufanyika. Simba hata Audit report ilikuwa haina, lazima kila kitu kiwe clear ikiwemo wadeni, wadaiwa, mali za club na uhalali wake zihakikishwe. Si mambo marahisi kwa club iliyoanzishwa toka mwaka 1936 ikiendeshwa un professional. Tutoe nafasi hiyo kazi ikamilike na tayari muwekezaji kasema ipo final stage. Wana Simba tusiruhusu kuvurugwa kipindi hiki.
 
Kuhusu uwekezaji mnamuonea bure MO. Hivi nani anaweza kuweka pesa zake kununua kampuni bila upembuzi yakinifu kufanyika. Simba hata Audit report ilikuwa haina, lazima kila kitu kiwe clear ikiwemo wadeni, wadaiwa, mali za club na uhalali wake zihakikishwe. Si mambo marahisi kwa club iliyoanzishwa toka mwaka 1936 ikiendeshwa un professional. Tutoe nafasi hiyo kazi ikamilike na tayari muwekezaji kasema ipo final stage. Wana Simba tusiruhusu kuvurugwa kipindi hiki.
Kitu Mo anaenda kuwafanyia Simba hawatasahau, muda utayaweka yote hadharani
 
Mimi nimehama simba kwa ajili ya ujinga wa huyu Mohamed mtu kwanza anaendesha Project za Familia leo ndio anakuwa most influencer katika Club hizo pesa anazodai anatoa ni kuwa nae anafanya matangazo kupitia simba, nilivo ona Mohamed amekuja na Tangazo kuwa Barbara kapoteza iPhones mbili Taifa siku ya Simba day kwanza nilihisi kuwa ni usanii wa kutafutiwa followers wengi kwenye social media mana ni Mo mwenyewe ndio ali announce na kumquote bidada sasa nilivo ona tu Mo kamtangaza nkajua tayari huyu anandaliwa postion kubwa sana Simba mana amekuwa assistance wa Mo na ana lead iyo foundation ya Mo, Kwa kweli simba waangalie sana huyu Mhindi ata wa drag to the grave akiona wako hoi atawatema, Mtu sio Majority shareholder ila ana influence kubwa ivi kwa nini, Mo adhibitiwe na Ajue simba sio mali yake mambo yakuleta ukoo wake ndani ya simba hatutaki ni soon mtamsikia na Fatema Dewji kapewa cheo apo simba haswa upande wa Marketing its a big shame.
Mzee unahamaje club aisee. Kweli?!
Yaani sawa mi siku nitangaze eti nimehama Arsenal. Unless wewe sio shabiki wa mpira kivile. Maana kuna wale walikua Madrid coz ya Ronaldo. Kaenda juve na wao wamehamia huko.
Sipati picha kusikia mtu mashabiki kahama club. How?!!
Anyhow, uhuru ndio cha muhimu.
 
Demu wake mo nini

Swaga za kitaa hizo. Wakati wote ni kuwaza kudako. Simba ni another level bwana. Ni club pekee ukanda huu wa Afrika Mashariki yenye CEO mwanamke msomi tena mrembo. Sisi Simba TUNA JAMBO LETU.
 
Ebu tafuta majukumu ya CEO kwanza.
Au na wewe una akili kama za Yanga .
Wanaodhani CEO ni mchezaji mpaka wakaenda kumsajili senzo?
Nimesoma CV ya huyo CEO mpya wa Simba sc, kwa kweli hapo tumepigwa 3 bila wana Simba wenzangu. Huyo mtu sio mwanamichezo wala hajawahi fanya kazi yoyote ya kimichezo. Mwamed ametuzidi maarifa sisi wenye hisa hewa 51%.

PIA WAWEZA SOMA HAPA CHINI KUONGEZEA TAARIFA ZA HUYO MREMBO


View attachment 1559522
Barbara Gonzalez
CEO,

MO DEWJI FOUNDATION
Barbara Gonzalez is the head of the Mo Dewji Foundation, a registered charity founded by Africa’s youngest billionaire, Mohammed Dewji. The foundation is dedicated to enriching the lives and alleviating Tanzanian citizens from poverty and hardship through health, education and community development. She is responsible for developing strategies to address some of the world’s most challenging inequities and leading all the foundation’s efforts to promote equity and sustainable livelihoods for all Tanzanians.
Gonzalez serves on the advisory board for Young African Leaders Initiative (YALI) Regional Leadership Center East Africa. YALI was launched by former President of the United States Barack Obama as a signature effort to invest in the next generation of African leaders.
Prior to the foundation, Gonzalez was consultant at Deloitte Consulting Limited Tanzania. She was involved in projects for public sector clients including USAID, UNICEF, World Bank and Plan International.
Gonzalez holds a master’s degree in development management from the London School of Economics and Political Science, and a bachelor’s degree with honors in economics and political science from Manhattanville College in Purchase, New York.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Kuhusu uwekezaji mnamuonea bure MO. Hivi nani anaweza kuweka pesa zake kununua kampuni bila upembuzi yakinifu kufanyika. Simba hata Audit report ilikuwa haina, lazima kila kitu kiwe clear ikiwemo wadeni, wadaiwa, mali za club na uhalali wake zihakikishwe. Si mambo marahisi kwa club iliyoanzishwa toka mwaka 1936 ikiendeshwa un professional. Tutoe nafasi hiyo kazi ikamilike na tayari muwekezaji kasema ipo final stage. Wana Simba tusiruhusu kuvurugwa kipindi hiki.
Ukipewa wewe uindeshe kiproffesional utaweza kuwalipa Wachezaji japo mshahara wa mwezi??? Au hata kuwalisha kwa siki mojaa tuu... Achaa kuleta siasaa kwenye mambo yanayoitaji fedha mkuu ndo yale ya kigwanwalaa kupigaa kelele tu..
 
KAKURUPUKA huyo Mdosi

Mo bwana.
Au ndo kukaa na waswahili wakina Manara wamemuambukiza?

Bilionea gani ana majibu kama hayo?
Kingwangwala kauliza kama shabiki.

Sasa hoja za mikopo zinatoka wapi?
 
Mkuu yani umeshindwa hata Kugoogle ukajua tofauti ya CEO na Sporting Director? Really?
Kumbe wewe ni sawa na wale Mashabiki wa Manchester United wanaosema Ed Woodwards hajui mpira.

Kuna uhusiano gani wa CEO na mpira?

CEO yupo kibiashara tu kukuza Brand na Income ya Timu/Kampuni/Taasisi. Wala hahitajiki kujua mpira kwani anaweza kuajiriwa kwenye Taasisi ya aina yoyote iwe ya mpira au isiyokuwa mpira. Wala hahusiki na kukuza Performance ya Timu uwanjani.

Sporting Director ndiyo kazi yake kubwa ni kuinua performance ya Timu na kuleta mafanikio ya uwanjani, Hivyo ni Muhimu kuujua mpira hata wa kusoma Darasani iwapo hakuwahi kucheza. Huyu hahusiki na kuiingizia Timu mapato.

- Sporting Director: Timi inaweza kuingiza Mkwanja na Faida ya kitosha kwenye mapato yake! Lakini kama uwanjani inaboronga basi ataishia kufukuzwa.

- CEO: Timu inaweza kuboronga uwanjani mpaka ikashuka daraja, Lakini kama imekuwa kibiashara na kudouble Faida basi huyu atabakia na kuongezewa mkataba mnono.
Sisi washabiki Wa MAN U tunajielewa hatujawahi kusema Ed Woodward hajui mpira Bali husema amepewa majukumu ya kimpira mtu asiye Wa mpira! Na uende ukatuombe radhi kupitia Uzi wetu![emoji16][emoji16]
 
Sisi washabiki Wa MAN U tunajielewa hatujawahi kusema Ed Woodward hajui mpira Bali husema amepewa majukumu ya kimpira mtu asiye Wa mpira! Na uende ukatuombe radhi kupitia Uzi wetu![emoji16][emoji16]

Sasa Kwanini Baadhi ya Watu wanasema Barbara hajui maswala ya kimpira wakati CEO hahusiani na majukumu ya mpira?
 
Back
Top Bottom