Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Kivip na amaefanya yep? mpaka uje hapa na hilo neno eti she is very professional bila wasifu wake tutaona naye ni muhamasishaji tu kama Manara
Kijana kunywa maji moyo utulie, punguza makasiriko
 
Sasa ukweli umedhihirika! Kuna shabiki mmoja wa mbumbumbu fc aliwahi kutoa angalizo humu ya kwamba mdhamini mkuu anashikiliwa masikio na huyo bidada!!

Na alimtabiria pia kupewa hiyo nafasi siku za usoni! Sasa yametimia. Muda si mrefu mbumbumbu fc wataanza tu kutibuana. Hasa kwa wale watakao shindwa kumtii bosi mpya kwa namna yoyote ile.
Pole
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Seems anatick boxes nyingi za ...beberu, nat that I'm following that much in this. vipepeo fanyeni kazi yenu mtagundua kitu hapa/
 
She is very proffesional ...kongole kwa Simba, vyura endeleeni kubwabwaja bwawani
Ni nani huyu? Katokea wapi? Angalau Senzo tulikua tunajua back ground yake kuhusiana na utaalam wake wa kuendesha vilabu vya soka Afrika. Natamani viongozi wa Simba wangetulia na kufanya kazi bila mihemuko ya kutaka kulipa kisasi
 
Ni nani huyu? Katokea wapi? Angalau Senzo tulikua tunajua back ground yake kuhusiana na utaalam wake wa kuendesha vilabu vya soka Afrika. Natamani viongozi wa Simba wangetulia na kufanya kazi bila mihemuko ya kutaka kulipa kisasi
Kuna mwanzo katika kila Jambo, afterall we are talking about simba na sio Barcelona au Man City.
 
hata akiwapa watoto zake na wake zake ivyo vyeo kama timu inapata mafanikio kuna ubaya gani???kati ya kipindi ambacho alikwepo na kipindi ambacho hakwepo ni kipindi kipi ambacho simba imepata mafanikio...???ipi ni shida kwako haswa.. mbona izo timu ambazo haziendeshwi kiundugu unaousema wewe hazina mafanikio yoyote???
Umenena mkuu.
>Simba siyo benki iwe kwamba kila mteja atapewa mkopo.
>Wala Simba siyo chama siasa kwamba ukifika wakati wa uchaguzi wanachama wake wagombee udiwani.

Simba ni klabu ya burudani, kama kuna mtu mmoja anapiga pesa baada kuwekeza pesa zake na mafanikio ya uwanjani yanaonekana hiyo inatosha.
 
MO ashaanza kutuona sisi wapuuzi enh... anataka ajaze wahindi wenzie kilabuni?
Kwani wapo wangapi?
Au ni Utopolo in disguise. Kule hata wasimamia kambi ni wasomali na waarabu koko.
 
Ni nani huyu? Katokea wapi? Angalau Senzo tulikua tunajua back ground yake kuhusiana na utaalam wake wa kuendesha vilabu vya soka Afrika. Natamani viongozi wa Simba wangetulia na kufanya kazi bila mihemuko ya kutaka kulipa kisasi
Ungekuwa unafuatilia kuhusu Simba ungejua Barbara Gonzalez amekuwa mjumbe wa bodi kwa miaka 2 sasa. Hajaibuka kama uyoga.
 


View attachment 1559595
Menejimenti ya Klabu ya Simba kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Mohamed Dewji imemtangaza Barbara Gonzalez kama Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo

Barbara anachukua nafasi ya Senzo Masingiza aliyetangaza kujiuzulu nafasi ya Utendaji Mkuu wa Simba Simba SC na kuhamia Yanga SC
 
Asee umeandika vizuri sn .....unajua Kwa ukweli sisi Kama Wa-Tanzania tunauelewa mdogo sn katika mambo mengi sn ....huyu msichana kama ndio CEO wa simba anaweza kufanya makubwa kuliko wanavyo fikiria kwanza angalia CV yake tu ndio utajua pia angalia shule na vyuo alivyo soma utajua kama ametoka ktk wealth family.
Kwa hiyo wewe hivyo vyuo ndio vimekuchanganya paka kudharau waTZ kwamba wanauelewa mdogo?
 
Mkuu yani umeshindwa hata Kugoogle ukajua tofauti ya CEO na Sporting Director? Really?
Kumbe wewe ni sawa na wale Mashabiki wa Manchester United wanaosema Ed Woodwards hajui mpira.

Kuna uhusiano gani wa CEO na mpira?

CEO yupo kibiashara tu kukuza Brand na Income ya Timu/Kampuni/Taasisi. Wala hahitajiki kujua mpira kwani anaweza kuajiriwa kwenye Taasisi ya aina yoyote iwe ya mpira au isiyokuwa mpira. Wala hahusiki na kukuza Performance ya Timu uwanjani.

Sporting Director ndiyo kazi yake kubwa ni kuinua performance ya Timu na kuleta mafanikio ya uwanjani, Hivyo ni Muhimu kuujua mpira hata wa kusoma Darasani iwapo hakuwahi kucheza. Huyu hahusiki na kuiingizia Timu mapato.

- Sporting Director: Timi inaweza kuingiza Mkwanja na Faida ya kitosha kwenye mapato yake! Lakini kama uwanjani inaboronga basi ataishia kufukuzwa.

- CEO: Timu inaweza kuboronga uwanjani mpaka ikashuka daraja, Lakini kama imekuwa kibiashara na kudouble Faida basi huyu atabakia na kuongezewa mkataba mnono.
Umesomeka sana mkuu.

Wengi wanafikilia Gonzalez walau aweze kupiga dana dana wakati sio duties na responsibilities zake za kupiga dana dana na kupata matokeo uwanjani

Kudos
 
Kumekucha kumekucha huko naona Hamis na Mudi wanabishana huko.Mudi nae kaamua awe roporopo kama msemaji wake Manara kwani angekaa kimya angepungukiwa nini,alafu baadaye kupitia msemaji wao au viongozi wengine wangelifafanua hili na hoja za Hamis Kigwangalla naona anazidi kutupa faida wapinzani.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Zamu yetu wana wa Jangwani,picha lishaanza Sterling anaelekea kususa kama alivyo susa kipindi kile baada ya kupigwa na Mtibwa fainali ya mapinduzi cup.Ndugu zetu wakalialia na kumbembeleza akarudi.

Wasipokuwa makini ile movie yao ya "SISI CLUB KUBWA AFRIKA" naliona kama lina elekea mwisho,kwani sterling mwenyewe anaelekea kususa.
 
Back
Top Bottom