Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Namuheshimu sana Mo naiheshimu sana Body ya wakurugenzi wa klabu ya simba.

Nasikitika simba bado kuna Uswahili wa kutosha,kweli ukatuletee mtu asie na elimu ya management/utawala wala hata kuujua mpira.

Huu ni mtego mkubwa sana ndani ya Klabu, amewekwa kwa ajiliya bilion 20????

Tuendelee kutafakari.#
𝚔𝚊𝚝𝚒 𝚢𝚊 𝚖𝚘𝚘 𝚖𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎 49% 𝚗𝚊 𝚜𝚒𝚖𝚋𝚊 𝚖𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎 51% 𝚗𝚒 𝚗𝚊𝚗𝚒 𝚔𝚊𝚝𝚒 𝚢𝚊𝚘 𝚊𝚗𝚊𝚝𝚊𝚔𝚒𝚠𝚊 𝚊𝚔𝚊𝚖𝚒𝚕𝚒𝚜𝚑𝚎 𝚖𝚌𝚑𝚊𝚔𝚊𝚝𝚘 𝚖𝚣𝚒𝚖𝚊 𝚠𝚊 𝚖𝚊𝚋𝚊𝚍𝚒𝚛𝚒𝚔𝚘.
 
𝚆𝚊𝚜𝚒𝚔𝚞𝚜𝚞𝚖𝚋𝚞𝚎 𝚔𝚒𝚌𝚑𝚠𝚊 𝚠𝚊𝚘 𝚗𝚒 𝚞𝚝𝚘𝚙𝚘𝚕𝚘 𝚔𝚊𝚝𝚒𝚔𝚊 𝚞𝚋𝚘𝚛𝚊 𝚠𝚊𝚘, 𝚠𝚊𝚞𝚕𝚒𝚣𝚎 𝚑𝚞𝚢𝚘 𝚜𝚎𝚗𝚣𝚘 𝚠𝚊𝚕𝚒𝚘𝚖𝚌𝚑𝚞𝚔𝚞𝚊 𝚠𝚊𝚕𝚒𝚝𝚊𝚗𝚐𝚊𝚣𝚊 𝚠𝚊𝚙𝚒 𝚊𝚓𝚒𝚛𝚊 𝚢𝚊𝚔𝚎?
Yanga wanataka wachochee mgogoro ndani ya simba ndiyo maana hivi vihabari uchwara haviishi.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
[emoji117]Nilipolisikia Hilo Jina Nikamkumbuka Kule YALI ya Rais Obama.
[emoji117]Sikuijua CV yake but then nikafahamu amesoma LSE na vyuo vyengine Credible duniani.

Nikachekaaaaa yaani Hawa WATANI mikia wanaletewa mtu bila ya TENDA KUTANGAZWA na watu Kufanya INTERVIEW[emoji23][emoji23].....

Hayaa TAJIRI kaamua Mana walikuwa wanatucheka Sana kipindi kile tukiwa na DIWANI WA MBAGALA KUU[emoji23][emoji23].

Kwako Haji Manara>Your New CEO is classy sa we mletee USHUBWADA wa TANDALE KWA MKUNDUGE...
𝙺𝚠𝚊𝚗𝚒 𝚑𝚞𝚢𝚘 𝚜𝚎𝚗𝚣𝚘 𝚒𝚖𝚎𝚝𝚊𝚗𝚐𝚊𝚣𝚠𝚊 𝚠𝚊𝚙𝚒 𝚝𝚎𝚗𝚍𝚎𝚛 𝚢𝚊 𝚔𝚞𝚖𝚞𝚊𝚓𝚒𝚛𝚒 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚖𝚜𝚑𝚊𝚞𝚛𝚒 𝚠𝚊 𝚢𝚊𝚗𝚐𝚊?
 
Mpeni nafasi mambo mazuri hayaitaji haraka
Mimi naona Mo kamuweka huyu bidada for his own interest regardless ya kuwa na Strong profile ila tu kuwa Personal assistance wa Mo na Chairman wa Mo foundation ilitosha kabisa kunyimwa sensitive position kama hio huyo ni kama amekuwa nurtured na METL tutegemee Simba kuongozwa na Mo kwa kiasi kikubwa mana Barbara ata tii tu directives kutoka kwa Mo, kuna possibility ya Professionalism kutofanya kazi na badala yake Mo atumie chances hio kujiimarisha zaidi haswa upande wa ads za products zake kupita Simba Sc, lets wait and see
 
Sasa ukweli umedhihirika! Kuna shabiki mmoja wa mbumbumbu fc aliwahi kutoa angalizo humu ya kwamba mdhamini mkuu anashikiliwa masikio na huyo bidada!!

Na alimtabiria pia kupewa hiyo nafasi siku za usoni! Sasa yametimia. Muda si mrefu mbumbumbu fc wataanza tu kutibuana. Hasa kwa wale watakao shindwa kumtii bosi mpya kwa namna yoyote ile.
Akifata professionalism ata prevail ila akiwa remotely controlled na Mo ata suffer sana mana hapo kwanza inabidi aanze kutafuta Recognition siunajua clubs zetu zilivo na waswahili but at all she is professional
 
Yanga wanataka wachochee mgogoro ndani ya simba ndiyo maana hivi vihabari uchwara haviishi.
𝚖𝚠𝚊𝚔𝚊 𝚑𝚞𝚞 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚝𝚊𝚔𝚊 𝚠𝚊𝚌𝚑𝚞𝚔𝚞𝚎 𝚞𝚋𝚒𝚗𝚐𝚠𝚊 𝚗𝚓𝚎 𝚢𝚊 𝚞𝚠𝚊𝚗𝚓𝚊 𝚗𝚊 𝚗𝚍𝚊𝚗𝚒 𝚢𝚊 𝚞𝚠𝚊𝚗𝚓𝚊, 𝚠𝚊𝚖𝚎𝚠𝚎𝚔𝚊 𝚔𝚊𝚋𝚒𝚜𝚊 𝚔𝚒𝚝𝚎𝚗𝚐𝚘 𝚌𝚑𝚊𝚘 𝚌𝚑𝚊 𝚙𝚛𝚘𝚙𝚊𝚐𝚊𝚗𝚍𝚊 𝚕𝚔𝚗 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚜𝚊𝚑𝚊𝚞 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚜𝚒𝚖𝚋𝚊 𝚔𝚞𝚗𝚊 𝚖𝚊𝚏𝚒𝚊 𝚑𝚊𝚝𝚊𝚛𝚒 𝚠𝚊 𝚑𝚒𝚣𝚒 𝚔𝚊𝚣𝚒, 𝚠𝚊𝚊𝚌𝚑𝚎 𝚠𝚊𝚙𝚒𝚐𝚎 𝚔𝚎𝚕𝚎𝚕𝚎 𝚜𝚒𝚎 𝚝𝚞𝚗𝚊𝚌𝚑𝚞𝚔𝚞 𝚞𝚋𝚒𝚗𝚐𝚠𝚊 𝚖𝚊𝚛𝚊 𝚗𝚗𝚎 𝚖𝚏𝚞𝚛𝚞𝚕𝚒𝚣𝚘.
 
Hii pisi ya Mudi kuna siku itamzaba Manara makofi kwenye vikao hadi awe mwekundu kama papai bovu.
𝙺𝚖 𝙰𝚗𝚝𝚘𝚗𝚒𝚘 𝚗𝚒𝚐𝚊𝚣 𝚊𝚕𝚒𝚟𝚢𝚘 𝚖𝚌𝚑𝚊𝚙𝚊 𝚖𝚊𝚔𝚘𝚏𝚒 𝚖𝚋𝚞𝚋𝚞𝚕𝚒
 
𝙺𝚠𝚊𝚗𝚒 𝚑𝚞𝚢𝚘 𝚜𝚎𝚗𝚣𝚘 𝚒𝚖𝚎𝚝𝚊𝚗𝚐𝚊𝚣𝚠𝚊 𝚠𝚊𝚙𝚒 𝚝𝚎𝚗𝚍𝚎𝚛 𝚢𝚊 𝚔𝚞𝚖𝚞𝚊𝚓𝚒𝚛𝚒 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚖𝚜𝚑𝚊𝚞𝚛𝚒 𝚠𝚊 𝚢𝚊𝚗𝚐𝚊?
Hapo Mwanzo,Walijitokeza wengi kuiomba hiyo POST,baada ya INTERVIEW,Simba Ikampitisha MSHINDI SENZO.....

Je Leo Hii,Wameuvunja MWIKO WAO eee?!!!😁😁
 
𝚖𝚠𝚊𝚔𝚊 𝚑𝚞𝚞 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚝𝚊𝚔𝚊 𝚠𝚊𝚌𝚑𝚞𝚔𝚞𝚎 𝚞𝚋𝚒𝚗𝚐𝚠𝚊 𝚗𝚓𝚎 𝚢𝚊 𝚞𝚠𝚊𝚗𝚓𝚊 𝚗𝚊 𝚗𝚍𝚊𝚗𝚒 𝚢𝚊 𝚞𝚠𝚊𝚗𝚓𝚊, 𝚠𝚊𝚖𝚎𝚠𝚎𝚔𝚊 𝚔𝚊𝚋𝚒𝚜𝚊 𝚔𝚒𝚝𝚎𝚗𝚐𝚘 𝚌𝚑𝚊𝚘 𝚌𝚑𝚊 𝚙𝚛𝚘𝚙𝚊𝚐𝚊𝚗𝚍𝚊 𝚕𝚔𝚗 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚜𝚊𝚑𝚊𝚞 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚜𝚒𝚖𝚋𝚊 𝚔𝚞𝚗𝚊 𝚖𝚊𝚏𝚒𝚊 𝚑𝚊𝚝𝚊𝚛𝚒 𝚠𝚊 𝚑𝚒𝚣𝚒 𝚔𝚊𝚣𝚒, 𝚠𝚊𝚊𝚌𝚑𝚎 𝚠𝚊𝚙𝚒𝚐𝚎 𝚔𝚎𝚕𝚎𝚕𝚎 𝚜𝚒𝚎 𝚝𝚞𝚗𝚊𝚌𝚑𝚞𝚔𝚞 𝚞𝚋𝚒𝚗𝚐𝚠𝚊 𝚖𝚊𝚛𝚊 𝚗𝚗𝚎 𝚖𝚏𝚞𝚛𝚞𝚕𝚒𝚣𝚘.
Hawataweza hata kidogo ngoja ligi ianze na hivi vikelele vyao viatakauka ghafla.
 
𝚖𝚠𝚊𝚔𝚊 𝚑𝚞𝚞 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚝𝚊𝚔𝚊 𝚠𝚊𝚌𝚑𝚞𝚔𝚞𝚎 𝚞𝚋𝚒𝚗𝚐𝚠𝚊 𝚗𝚓𝚎 𝚢𝚊 𝚞𝚠𝚊𝚗𝚓𝚊 𝚗𝚊 𝚗𝚍𝚊𝚗𝚒 𝚢𝚊 𝚞𝚠𝚊𝚗𝚓𝚊, 𝚠𝚊𝚖𝚎𝚠𝚎𝚔𝚊 𝚔𝚊𝚋𝚒𝚜𝚊 𝚔𝚒𝚝𝚎𝚗𝚐𝚘 𝚌𝚑𝚊𝚘 𝚌𝚑𝚊 𝚙𝚛𝚘𝚙𝚊𝚐𝚊𝚗𝚍𝚊 𝚕𝚔𝚗 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚜𝚊𝚑𝚊𝚞 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚜𝚒𝚖𝚋𝚊 𝚔𝚞𝚗𝚊 𝚖𝚊𝚏𝚒𝚊 𝚑𝚊𝚝𝚊𝚛𝚒 𝚠𝚊 𝚑𝚒𝚣𝚒 𝚔𝚊𝚣𝚒, 𝚠𝚊𝚊𝚌𝚑𝚎 𝚠𝚊𝚙𝚒𝚐𝚎 𝚔𝚎𝚕𝚎𝚕𝚎 𝚜𝚒𝚎 𝚝𝚞𝚗𝚊𝚌𝚑𝚞𝚔𝚞 𝚞𝚋𝚒𝚗𝚐𝚠𝚊 𝚖𝚊𝚛𝚊 𝚗𝚗𝚎 𝚖𝚏𝚞𝚛𝚞𝚕𝚒𝚣𝚘.
Nnyaaaaa...😂😂
 
Simba inajaa bidhaa za MO kila idara. Mhindi genius sana yule analeta furaha kidogo na faida kwake kubwa.

Hivi cheo cha makonda pale simba bado kipo?
Tumsubiri tu Fatema Dewji soon ndani ya Club, Mana hii Team sasa Mo anaona kuna watu wanamkwamisha kutangaza zaidi bidhaa zake, Muhindi ni Muhindi tu
 
Tumsubiri tu Fatema Dewji soon ndani ya Club, Mana hii Team sasa Mo anaona kuna watu wanamkwamisha kutangaza zaidi bidhaa zake, Muhindi ni Muhindi tu
Naona umekereka haswa. Nunua kamba upunguze maumivu.
 
Back
Top Bottom