Simba yamuuza Cloutous Chama RS Berkane kwa Bilioni 1.5 na mshahara wake wapanda kwa 400%

Simba yamuuza Cloutous Chama RS Berkane kwa Bilioni 1.5 na mshahara wake wapanda kwa 400%

Duu! Ni kweli ni haki ya mchezaji kujiunga na club yoyote anayoona itampa ustawi wa soka lake na uchumi wake kwa ujumla, Lakini Je Simba kumuachia Chama tumejiandaa kweli kuziba pengo lake?
Ikumbukwe msimu wa 2018/2019 AS VITA walikuwa na kikosi bora sana kilichoweza kuwatungua Simba 5 - 0, Lakini tangu walipouza wachezaji bila mpangilio, kikosi chao kimeyumba mno hata kufikia mahala wanakubali kipigo uwanja wao wa nyumbani.
Simba tunapaswa kujifunza kitu hapa hasa ukizingatia mwakani tumepania kufika next level ligi ya Mabingwa!
Anyway Kila lakheri kwa "Triple C"!
 
mpira ni combination sio skills peke yake, nyie mnadhani messi angekuja ihefu angeweza kuwafanya wachukue ubingwa?
 
Simba wamepigwa na kitu kizito kichwani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daaah hatimae imekuwa kweli!

Nenda Chama, daima utabaki mioyoni kwa mashabiki wa Simba kama ilivyokuwa kwa Emmanuel Okwi!

Thank you for memories!!
Imekuwa ghafla
 
Mimi nadhani C.C Chama kuondoka Simba kafanya kwa sababu ya matendo ya Boss wetu ambayo hayana Busara ndani yake. Kwa mtu anae fatilia page ya Chama Instagram, Chama aliahidi ana deni Simba. Nalo ni Champions League. Ndoto hii imekatishwa na majibu ya Boss wetu alivo attack LIVE conference ya
Chama
 
Ila Simba tunazingua badala ya kuuza kina Kagere na boko tunauza key player kweli haya mahindi yapo kibiashara hata robo fainali hatutatoboa msimu huu
 
.
FB_IMG_16288457220514404.jpg
 
Picha ikimuonyesha Clatous Chama na Tuisila Kisinda wakiwa katika jezi za mazoezi za RS Berkane muda mchache kabla ya kuanza mazoezi hiyo jana!

Picha kwa hisani ya majasusi wetu waliopo huko Morocco, wana Simba mjiandae kupokea tangazo la kuuzwa kwa Chama muda wowote kuanzia sasa!

Neno moja kwa Chama

View attachment 1890262
Inabidi wamwombe radhi Maulid Baraka Kitenge maana walimtukana sana alivyoleta taarifa za kuuzwa kwa huyu mwamba.
 
Duu! Ni kweli ni haki ya mchezaji kujiunga na club yoyote anayoona itampa ustawi wa soka lake na uchumi wake kwa ujumla, Lakini Je Simba kumuachia Chama tumejiandaa kweli kuziba pengo lake?
Ikumbukwe msimu wa 2018/2019 AS VITA walikuwa na kikosi bora sana kilichoweza kuwatungua Simba 5 - 0, Lakini tangu walipouza wachezaji bila mpangilio, kikosi chao kimeyumba mno hata kufikia mahala wanakubali kipigo uwanja wao wa nyumbani.
Simba tunapaswa kujifunza kitu hapa hasa ukizingatia mwakani tumepania kufika next level ligi ya Mabingwa!
Anyway Kila lakheri kwa "Triple C"!
Baada ya mwaka 1 au 2 yatamkuta ya Makambo atarudi tena Msimbazi. Mark my words.
 
Back
Top Bottom