Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Unalipwa mshahara mara nne zaidi ya uliokua unalipwa awali.Insta live imemponza chama
Unagewa mkataba wa miaka mitatu huku una miaka 30.
Halafu unahisi ni hasara kwake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalipwa mshahara mara nne zaidi ya uliokua unalipwa awali.Insta live imemponza chama
Amesukumiwa kwenye neemaUnalipwa mshahara mara nne zaidi ya uliokua unalipwa awali.
Unagewa mkataba wa miaka mitatu huku una miaka 30.
Halafu unahisi ni hasara kwake?
Nkana red devils.......Hakuna namna mwenye akili timamu anaweza kuukataa huo mshahara na dau la kumsajili lililotua Simba SC, Chama aliitendea Simba SC haki kwa mpira wake hasa yale magoli yake dhidi ya AS Vita Club tukatinga makundi CAF, na lile jingine alifunga tukatinga QF nimesahau ilikuwa dhidi ya timu gani.All the best kwake.
Process ya mauzo ilianza kablaInsta live imemponza chama
Watanzania na hasa mashabiki wa mpira watambue kwamba mabadiliko ya kiungozi ndani ya vilabu yanaenda sambamba na mabadiliko ya kibiashara....
Simba ipo na yanga itakuepo bila kujali nani anakuja na nani anaondoka as long as mchezaji amelipa deni na anauzwa kwa faida muachieni aende..... Sio Chama wala Konde wangefia simba hasa kwa viwango vyao...
Swali ni je hii mikataba mipya inawanufaisha vip simba??
Mfano.
Mchezaji akisaidia timu yake mpya kutwa ubingwa say wa CAF CHAMPIONISHIP simba itanufaika vipi???
Mchezaji akiuzwa na hiyo timu mpya simba itafaidika vip na mauzo hayo hapo baadae??
Kama atakua mfungaji bora wa ligi husika au kufikisha magoli kadhaa kwa msimu simba atanufaika vip??
Wabongo tuna shida sana mkuu.Process ya mauzo ilianza kabla
Inasemekana Inashikiliwa na okwi ilikuwa ni 400m plusRekodi ya ada kubwa ya usajili Bongo inashikiliwa na nani na ni kiasi gani?
Timu kubwa ambayo ina ambition ya ubingwa hua haiuzi key players waliopo kwa mara moja.Hata kama ni pesa lakini, this is lack of seriousness .. Yani chama na miquissone wote tunawakosa at once ..
Unaweza ukabaki na hao ma staa wako na ubingwa usiuguse vilivile.Timu kubwa ambayo ina ambition ya ubingwa hua haiuzi key players waliopo kwa mara moja.
Timu inayofanya hivyo ni timu inayojiendesha kibiashara hivyo itakua tayari kumuuza yeyote kikubwa mkubaliane.
Timu ya hivi inatarget kufikia labda mtoano tu kwenye mashindano ili kusaidia kutangaza wachezaji kwa timu zingine ambazo zipo serious na ubingwa.
Yea hili pia linawezekana na linatokea.Unaweza ukabaki na hao ma staa wako na ubingwa usiuguse vilivile.
Hivi umesoma na kuelewa hapo au umesoma tu ili ucomment yaani kwenda sehemu ya kulipwa mshahara mara 4 ya mwanzo ni kuponzwaInsta live imemponza chama
Imempaisha na wakati wake wa kupata ulikuwa umetimiaInsta live imemponza chama
12x3=36Unalipwa mshahara mara nne zaidi ya uliokua unalipwa awali.
Unagewa mkataba wa miaka mitatu huku una miaka 30.
Halafu unahisi ni hasara kwake?
Mkuu hili ni jukwaa huru kila mtu ana maoni yke hata kama mpango wa kuuzwa ulikuwepo na hela iliyotoka ni nyingi lakini sio ghafla kiasi hiki taarifa zilizokuwepo ni konde boy inaonesha hata kilikuwa kinachoendelea kati ya MO na chama hukijuiHivi umesoma na kuelewa hapo au umesoma tu ili ucomment yaani kwenda sehemu ya kulipwa mshahara mara 4 ya mwanzo ni kuponzwa