Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubovu unaanzia juu kwa mudy na sajili zake za AIRPORT na EX playersTapeli Sana, maneno mengi utafikiri Ahmed katoka Jahazi modern taarab, Uwanjani hakuna maajabu.
Tulieni kwanza watani, hamko sawa kichwani kwa hivi Sasa!Baada ya kichapo tena cha mbwa koko aliyekula mboga ya mchana kutoka kwa mahasimu wetu wa "mabonde kuinama "kwenye mafuriko. Kama mshabiki, mnazi, mkereketwa ninashauri yafuatayo:
1.TATHMINI IFANYIKE KUHUSU MWENENDO WA KLABU YETU NDANI NA NJE YA UWANJA.
Lazima wataalamu watuambie je kila mmoja kwenye uongozi anayafanya majukumu yake ipasavyo?
Je kikosi chetu kina mapungufu yapi kiufundi? Mechi ya watani ni kipimo kizuri cha kuonyesha wapi panavuja
2.USAJILI WA MAANA UFANYIKE
Hatuhitaji tena ngonjera za Mwenyekiti kupiga picha na Manzoki wala kuambiwa eti Eto'o amemkubali Onana, tunataka kuona Simba ikiwa na kikosi kipana chenye Muunganiko.
Tuulizie bei ya Feisal pale Kati atafaa Sana,Na Bangala.
3 MZEE WA OBJECTIVES APEWE MTIHANI,
Haitoshi kutuambia Simba klabu kubwa, tunataka kuiona ikifanya vizuri uwanjani. Wapi Mpira Biriani kocha aambiwe Kama hawezi kuleta muunganiko wa kikosi arudi kwao Brazil.
Vipi Shabiki Mwenzangu tufanye nini kurejea kwenye ufalme wetu maana dozi ya leo si kitoto!
Naamini MO yuko hapa Jamvini aione hii 🙏Tatizo kubwa la Simba ni Uongozi!
Viongozi sio watu wa soka.
Watu wanaojua soka na misingi yake wapo wengi tu- lakini hawapati nafasi!
Toka alipotoka Senzo- mpaka Leo Simba haijapata mtu sahihi kwa nafasi hiyo!
Alikuja Babra akafeli na huyu wasasa ameanza kufeli!
Ushaidi wa kufeli kwao uko wazi, msimu wa tatu Sasa wameshindwa kujenga benchi la ufundi imara!
Kila mwaka ni kusajili na kuacha!
Kina Chikwende, Duncun Nyoni, Lwanga, sawadogo, ottara, lete mzungu, sakko, Banda, Onyango, Mugalu , na hata wanaobaki viwango nyao ni dhaifu sana!
Hata usajili wa wachezaji wa ndani wameshindwa! Wachezaji wa ndani wa zuri wameenda kwa Watani!
Dickson Job, Mwamnyeto, Baka, Mzize, Mdathiru !
Simba tuna kina Mohamedi Mussa, kapama , Mwanuke ! Wengi viwango vyao viko Chini sana!
Makocha waliofukuzwa misimu hii mitatu!
Gomes, Pabro, Zorani, Mgunda na huyu Mzee wa objective siku zake ni chache sana!
Angalia wenzetu Yanga, toka GSM amechukua timu- ameweka watu wa mpira kuongoza timu!
Wanafata misingi ya mpira - ikiwemo scouting ya wachezaji vijana na wenye vipaji! Wasio na mapancha mwilini!
Scouting ya wachezaji haifanyiki wakati wa usajili tu- scouting inatakiwa kufanyika wakati ligi zinaendelea!
Angalia CV ya Gamondi na Ya Robertinyo ndio utajua nani mzuri kwenye scouting!
Tuna kina Kibadeni , Julio na watu wengi tu wanaojua soka, kwa Nini hawatumiwi hawa!
Kwa Nini tunajaza wanasiasa kwenye timu yetu!
Ushauri wangu! Atafutwe mkurungezi wa ufundi wa timu!
Awe mtu mwenyewe uzoefu na mpira wa Africa!
Iundwe timu ya scouting, wawe wanakutana angalau mara tatu kwa wiki - kuangalia ligi mbali mbali za Africa na vipaji!
Ikifika kipindi Cha usajili mnakuwa mna taarifa sahihi!
Bila hivyo watani wamakwenda kupindua meza ya mafanikio yetu Sola la Africa, na kwa ndani watazidi kutuacha.
Hata kwenye mashindano ya CAF bado hamna record nzuri za kujivuniaTatizo kubwa la Simba ni Uongozi!
Viongozi sio watu wa soka.
Watu wanaojua soka na misingi yake wapo wengi tu- lakini hawapati nafasi!
Toka alipotoka Senzo- mpaka Leo Simba haijapata mtu sahihi kwa nafasi hiyo!
Alikuja Babra akafeli na huyu wasasa ameanza kufeli!
Ushaidi wa kufeli kwao uko wazi, msimu wa tatu Sasa wameshindwa kujenga benchi la ufundi imara!
Kila mwaka ni kusajili na kuacha!
Kina Chikwende, Duncun Nyoni, Lwanga, sawadogo, ottara, lete mzungu, sakko, Banda, Onyango, Mugalu , na hata wanaobaki viwango nyao ni dhaifu sana!
Hata usajili wa wachezaji wa ndani wameshindwa! Wachezaji wa ndani wa zuri wameenda kwa Watani!
Dickson Job, Mwamnyeto, Baka, Mzize, Mdathiru !
Simba tuna kina Mohamedi Mussa, kapama , Mwanuke ! Wengi viwango vyao viko Chini sana!
Makocha waliofukuzwa misimu hii mitatu!
Gomes, Pabro, Zorani, Mgunda na huyu Mzee wa objective siku zake ni chache sana!
Angalia wenzetu Yanga, toka GSM amechukua timu- ameweka watu wa mpira kuongoza timu!
Wanafata misingi ya mpira - ikiwemo scouting ya wachezaji vijana na wenye vipaji! Wasio na mapancha mwilini!
Scouting ya wachezaji haifanyiki wakati wa usajili tu- scouting inatakiwa kufanyika wakati ligi zinaendelea!
Angalia CV ya Gamondi na Ya Robertinyo ndio utajua nani mzuri kwenye scouting!
Tuna kina Kibadeni , Julio na watu wengi tu wanaojua soka, kwa Nini hawatumiwi hawa!
Kwa Nini tunajaza wanasiasa kwenye timu yetu!
Ushauri wangu! Atafutwe mkurungezi wa ufundi wa timu!
Awe mtu mwenyewe uzoefu na mpira wa Africa!
Iundwe timu ya scouting, wawe wanakutana angalau mara tatu kwa wiki - kuangalia ligi mbali mbali za Africa na vipaji!
Ikifika kipindi Cha usajili mnakuwa mna taarifa sahihi!
Bila hivyo watani wamakwenda kupindua meza ya mafanikio yetu Sola la Africa, na kwa ndani watazidi kutuacha.
Mo ndio kirusi simba,hebu niambie hizo hela alizoweka ni zipi?ongea kwa evidenceKabisaa nahisi pesa za MO zinapigwa kwenye usajili au hatuna scouting nzuri. Angalia sajili zetu linganisha na Yanga utaona utofauti
Mbona Yanga kuna Gharib na GSM shida ya MO ni ipi mkuu?Sasa mashabiki wana shida gani, mashabiki wqnahusikaje kwenye ubovu wa timu?
Shida ya simba ni mo na metl,yaani kama hawa wesenge wasipoiachia timu,tutegemee kilio miaka nenda rudi
Shida Siyo mashabiki, imagine kila watanzania 9 kati ya 10 ni mashabiki wa Simba au Yanga. Hawa ni kuanzia vibosile, matajiri,walalahoi,mawaziri,wanasiasa,viongozi wa dini n.k kwahiyo unapochukua kundi moja liwakilishe makundi yote ya mashabiki nitakukutalia.Leo ndo mnakubali kua timu yenu dhaifu na Ina matatizo lakini kabwa ya hapa ilikua ni kelele tu mtu akisema ukweli anaonekana hajui mpira.
Shida ya Simba hapo tu kwa uongozi Bali inashuka mpaka chini kwa washabiki na wanachama maana hawa huwa ndo wanaochagua hao viongozi.
AahaaaaTimu Mbovu zilizofungwa na Yanga Msimu huu 2023/2024 mpaka sasa;
1. KMC - Goli 5
2. JKT Tanzania - Goli 5
3. AZAM - Goli 3
4. SIMBA - Goli 5
Hamsa [emoji113]
Je huyu ndio alichaguliwa super league [emoji1]
Shida ya GSM ni nini?Gsm na galib wapo,nalo ni bomu ipo siku litalipuka..tofauti ya ghalibu na kanjanja mo,ni kwamba ghalib,amekaa pembeni amewaachia wasomi waiendeshe timu na pia hela wameweka mezani, ila kanjanja mo mpaka uwanja wa mazoezi anataka uitwe jina lake ilihali hakuna ela yoyote yenye ushahidi aliyoweka simba..
Nb
B20 aiweki simba ila ni atanunua hati fungani na faida ndio ataileta simba