Simba yasaini mkataba wa miaka mitano na M-Bet kama Mdhamini Mkuu

Simba yasaini mkataba wa miaka mitano na M-Bet kama Mdhamini Mkuu

𝓗𝓾𝓸 𝓶𝓴𝓪𝓽𝓪𝓫𝓪 𝓾𝓷𝓪 𝓽𝓱𝓪𝓶𝓪𝓷𝓲 𝔂𝓪 𝓼𝓱𝓲𝓵𝓵𝓲𝓷𝓰𝓲 𝓷𝓰𝓪𝓹𝓲 𝔃𝓪 𝓴𝓲𝓽𝓪𝓷𝔃𝓪𝓷𝓲𝓪 𝓶𝓴𝓾𝓾?
 


Timu ya soka ya Simba leo Julai 14, 2022 imeitangaza kampuni ya ubashiri ya M-Bet kuwa mdhamini wake mkuu kwa muda wa miaka mitano. Awali Simba ilikuwa ikidhaminiwa na kampuni ya ubashiri ya Sportspesa ambayo mkataba wake umefika ukingoni.

Mkataba huo ulisainiwa Julai 01 na taarifa zaidi juu ya udhamini huo zitatolewa Agosti 01, 2022.
Yaani mkataba unasainiwa julai 1 halafu taarifa zaidi inatolewa baada ya mwezi mmoja
 
Kwahiyo “Mudi” anasemaje??
Walahi nyani wa pori la Utopolo mnatia aibu sana. Hivi umeelewa kweli hii taarifa.
FB_IMG_1655579378566.jpg
 
BREAKING NEWS!!
Klabu ya Simba SC
🇹🇿
imetangaza kuingia Mkataba na Kampuni ya Michezo ya kubashiri ya M-Bet juu ya kudhaminiwa na Kampuni hiyo Kwa mda wa Miaka Mitano.
Mkataba huo una thamani ya Shilingi Biilioni 15 za Kitanzana ambapo Klabu hiyo itakuwa inapokea kiasi Cha Shilingi Bilioni 3 Kwa Mwaka.
HONGERA SANA.....SIMBA SC
🇹🇿
.HATUA KUBWA SANA HII.....BRAND KUBWA na Mipesa Mikubwa
Source ya taarifa yako?
 
Mkataba wa Simba na M -bet

Hawa Jamaa wanacheza na akili za mashabiki.

Mkataba wameingia tarehe 1 Julai, 2022.. Taarifa wanatoa After two weeks.. then wanakwambia taarifa zaidi watatoa tarehe 1 August, 2022.. mwezi mmoja toka wasaini Mkataba Huo

Asee hapa wanavizia waone SPORTPESA atatoa ngapi kwa Yanga tu ndio na wao wajue kama watatangaza waliyopewa ama watafoji foji ili waonekane kwamba wamewazidi Yanga Kudhaminiwa
 
Mkataba wa Simba na M -bet

Hawa Jamaa wanacheza na akili za mashabiki.

Mkataba wameingia tarehe 1 Julai, 2022.. Taarifa wanatoa After two weeks.. then wanakwambia taarifa zaidi watatoa tarehe 1 August, 2022.. mwezi mmoja toka wasaini Mkataba Huo

Asee hapa wanavizia waone SPORTPESA atatoa ngapi kwa Yanga tu ndio na wao wajue kama watatangaza waliyopewa ama watafoji foji ili waonekane kwamba wamewazidi Yanga Kudhaminiwa
Umewaza mbali sana, na ndivyo ilivyo
 
Mkataba wa Simba na M -bet

Hawa Jamaa wanacheza na akili za mashabiki.

Mkataba wameingia tarehe 1 Julai, 2022.. Taarifa wanatoa After two weeks.. then wanakwambia taarifa zaidi watatoa tarehe 1 August, 2022.. mwezi mmoja toka wasaini Mkataba Huo

Asee hapa wanavizia waone SPORTPESA atatoa ngapi kwa Yanga tu ndio na wao wajue kama watatangaza waliyopewa ama watafoji foji ili waonekane kwamba wamewazidi Yanga Kudhaminiwa

KUMBEEEEEER! [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Bora hata sportpesa kwenye jezi inakaa vizuri..sio Mbet..jezi ya Simba zitakuwa kituko
 
Mkataba wa Simba na M -bet

Hawa Jamaa wanacheza na akili za mashabiki.

Mkataba wameingia tarehe 1 Julai, 2022.. Taarifa wanatoa After two weeks.. then wanakwambia taarifa zaidi watatoa tarehe 1 August, 2022.. mwezi mmoja toka wasaini Mkataba Huo

Asee hapa wanavizia waone SPORTPESA atatoa ngapi kwa Yanga tu ndio na wao wajue kama watatangaza waliyopewa ama watafoji foji ili waonekane kwamba wamewazidi Yanga Kudhaminiwa
Sportpesa anajitoa na yanga pia
 
Mkataba wa Simba na M -bet

Hawa Jamaa wanacheza na akili za mashabiki.

Mkataba wameingia tarehe 1 Julai, 2022.. Taarifa wanatoa After two weeks.. then wanakwambia taarifa zaidi watatoa tarehe 1 August, 2022.. mwezi mmoja toka wasaini Mkataba Huo

Asee hapa wanavizia waone SPORTPESA atatoa ngapi kwa Yanga tu ndio na wao wajue kama watatangaza waliyopewa ama watafoji foji ili waonekane kwamba wamewazidi Yanga Kudhaminiwa

Wewe ni miongoni mwa mapooza wengi mliojaa hapa nchini! Taarifa rasmi ya club imetoka kuwa timu imeingia mkataba na Kampuni ya M-Bet,kwa muda wa miaka mitano,wenye thamani ya B.15 ambao kila mwaka club itakuwa ikilipwa B.3. Taarifa imekamilika ikieleza kila kitu,na pia wakasema ufafanuzi zaidi utatolewa tarehe 1 August. Sasa hapo nini ambacho ujaelewa? Umetajiwa mpaka figure!! Mijitu kama wewe sidhani kama mlikuwa mnaelewa chochote darasani!! Nyie ndio kichwani mmebeba maziro tu!! Imagine majitu kama wewe mpo wangapi nchini?? Bure kabisa.
 
Back
Top Bottom