Simba yasaini mkataba wa miaka mitano na M-Bet kama Mdhamini Mkuu

Simba yasaini mkataba wa miaka mitano na M-Bet kama Mdhamini Mkuu

Inasemekana pesa ni bilioni 10 kwa kipindi cha miaka 5 hivo kila mwaka simba itakunja bilioni 2
 
Wewe ni miongoni mwa mapooza wengi mliojaa hapa nchini! Taarifa rasmi ya club imetoka kuwa timu imeingia mkataba na Kampuni ya M-Bet,kwa muda wa miaka mitano...
Kwanini sasa huyu aliyeleta thread hakumalizia kila kitu mpaka hizo figure? Wewe hizo figure umezitoa kwenye chanzo kipi?
 
Wewe ni miongoni mwa mapooza wengi mliojaa hapa nchini! Taarifa rasmi ya club imetoka kuwa timu imeingia mkataba na Kampuni ya M-Bet,kwa muda wa miaka mitano...
Acha kubwabwaja mkuu leta source ya hii taarifa yako coz taarifa ya Leo iliyotoka wala haina hizo figure ulizotaja
 


Timu ya soka ya Simba leo Julai 14, 2022 imeitangaza kampuni ya ubashiri ya M-Bet kuwa mdhamini wake mkuu kwa muda wa miaka mitano. Awali Simba ilikuwa ikidhaminiwa na kampuni ya ubashiri ya Sportspesa ambayo mkataba wake umefika ukingoni.

Mkataba huo ulisainiwa Julai 01 na taarifa zaidi juu ya udhamini huo zitatolewa Agosti 01, 2022.
Mkataba ni wa miaka mingapi, na una thamani ya kiasi gani cha fedha?

Au ndiyo kusema mashabiki hawatakiwi kufahamu kama ilivyo kwa zile bilioni 20?
 
Bora hata sportpesa kwenye jezi inakaa vizuri..sio Mbet..jezi ya Simba zitakuwa kituko
Ni kawaida tu hata Man U kila walipokuwa wanabadili wadhamin mfano (CHEVLOLET- Teamviewer) watu walikuwa na mtazamo kama wako.

Chelsea nao wakati wanahama kwa SAMSANG watu walijua jersey zitakua hovyo.
 
Mkataba wa Simba na M -bet

Hawa Jamaa wanacheza na akili za mashabiki.

Mkataba wameingia tarehe 1 Julai, 2022.. Taarifa wanatoa After two weeks.. then wanakwambia taarifa zaidi watatoa tarehe 1 August, 2022.. mwezi mmoja toka wasaini Mkataba Huo

Asee hapa wanavizia waone SPORTPESA atatoa ngapi kwa Yanga tu ndio na wao wajue kama watatangaza waliyopewa ama watafoji foji ili waonekane kwamba wamewazidi Yanga Kudhaminiwa
Nyinyi subirini muda wenu ufike muanze kuuliza zilpowekwa bila nyinyi kuonyesha mlipoweka zenu, hiyo ndo kazi yenu kubwa.

Hela za Simba Sc zitakuwa ni za kufoji ila zenu zitakuwa ni halali, ni kawaida kabisa.
 
Huo ni mtego kwa watani waapoendelea kufanya negotiation za mkataba mpya na Sportpesa.
Ni sahihi ila kuna mwana Simba mmoja humu ndani change formula anadai eti kuwa Simba imeanika kila kitu, Nawakati sio kweli. Lakini kuna maswali najiuliza kupitia hili;

Je wamesaini mkataba kisha wameacha sehemu ya figure? Au wamesaini mkataba uliokuwa na figure ila wamekubaliana kuhaririwa endapo Yanga watapewa pesa nyingi na Sportpesa basi figure itabidi ibadilishwe?
 
Back
Top Bottom