Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaa. Eti Twenti siksi. Teh 😂😂Umri wake ni miaka 26 (haters wameguna)
View attachment 2872957
Mmmh!! Lol.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Eti Twenti siksi. Teh 😂😂Umri wake ni miaka 26 (haters wameguna)
View attachment 2872957
Hapana mkuu tusifike huko me ntakosa wa kumtania leo maana we ndio kibundile wangu nakutania ninavyotaka.Nitapata faida ya kukuridhisha ww mrembo wangu...ww si ndo umetaka nipigwe ban?
Zongo ndio nini?Uzi unahuzunisha na kuchekesha ...
Unachekesha hapo kwa mwana parokia mpya wa Uto mtakatifu Joseph
Unahuzunisha hapo kwa Baleke na Phiri...yani mm nilikua nampenda Baleke anavyoshangilia mabao ya wenzie kwa moyo wote...sijui nini kilimkumba jamani akawa kama amepigwa zongo..msimu uliopita alikua tishio...
Tatizo umri, kesha choka. 37.Kafunga goli 9 kwa mechi 7
Jamaa yuko vizuri ngoja tuone kwenye ligi yetu atakuwa na makali hayo hayo au itakuwaje
Wewe Nyani na Sokwe akili yako imeliwa na UTI heri hao Makolo wameshangilia. umesahau Jinsi mlivyokuwa mkiwabeba na Machera wachezaji Vimeo Akina Calinyo, Sibomana nk. Kwakuwa ubongo wako umejaa fangasi huwezi kumbuka chochoteMbumbumbu wao wanashangiliaga usajili tu
Hata Dejan mzungu mbumbumbu walitamba
Tujikumbushe usajili mbumbumbu waliopiga yowe
Miqson kibonge
Onana galasa
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 mnatudanganya huku sura zinaonyesha kabisa kuwa jua limeshakuchwa. 😂😂Haters niliwabashiri mapema
😂😂😂 mnatudanganya huku sura zinaonyesha kabisa kuwa jua limeshakuchwa. 😂😂
Ndivyo ilivyo subiri uone mchezaji uwanjani.Kama ni kamari basi hakuna sababu ya ku point finger kuwa mchezaji tuliyemleta ni mbovu.
Kiufupi kwa hoja yako inaonesha hautakiwi ku criticize chochote kwenye usajili mpya
Uzi wa Simba kumtambulisha mchezo lakini cha ajabu unajigulisha na vitu visivyo kuhusu.Mt. Joseph parokia ya Ivory Coast
Kutoka kwenye ukurasa wa James Sheka
Mfahamu, Joseph Guede Gnadou ambaye ni mchezaji mpya wa kikosi Cha Yanga SC raia wa Ivory coast, huyu ni mchezaji mwenye umri wa miaka 29 ambaye kazaliwa mwaka 1994 huko nchini Ivory coast...
Endelea kucheka kipindi hiki cha kusajili kama kawaida yenu ila ligi ikianza maneno hubadilika na kuanza kunyosheana vidole MsimbaziHii ya Mt. Joseph imebamba sana
Kiufupi haivumiliki yani inachekesha
Ndio part ya mchezo hizo moments zipo tuEndelea kucheka kipindi hiki cha kusajili kama kawaida yenu ila ligi ikianza maneno hubadilika na kuanza kunyosheana vidole Msimbazi
Sawa hater nimekuelewaNdio part ya mchezo hizo moments zipo tu
Sasa sijui wewe unependa timu kwa mategemeo ya kupata furaha tu au namna gani
Lakini uzuri ni kwamba sitegemei kupata furaha kupitia ushindi wa Simba peke yake, hata nikiona Yanga inafungwa mi pia nafurahi.
Kwa akili yangu nilijua tu kuwa wewe ni hater hivyo sikuwa na mategemeo hayoSasa wewe kwa akili yako ulijua mimi nitaipenda Yanga?
Serious kabisa uliweka mategemeo hayo??
Toka mechi ya yanga iishe baleke hakurudi tena kwenye ubora wakeBaleke anaachwa nikikumbuka msimu uliopita alivyokuwa moto... hata sielewi!.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Dirisha tayari limefungwa
Yanga sijui bado hawajafika bei kwa yule Chinga maana walisema watatangaza mchezaji ikifika saa 5 na mpaka sasa ni saa 6 sioni kitu na dirisha ndio hilo limefungwa.View attachment 2872962