Simba yatangaza mkataba wa TSH Bilioni 26.1 kuanzia leo Agosti 1, 2022

Kumbee,,! Ndo mana siku moja alipost picha kavaa Jez ya simba,,,
M-bet ni mwigulu mtupu na hiyo siku amevaa jezi za Simba Sc ndio alikuwa kwenye ofsi zao.

Singida Big Stars ni yake pia na ndiomaana unaona inasaini wachezaji wa bei mbaya, kitu ambacho hutakaa ukione kwenye hizi team nyingine zenye level kama yao.

NB; Tozo za miamala zinafanya kazi yake.
 
Kumaanisha kodi huwa inatozwa na TRA kwa makampini pekee?

Sitaki kujibu hoja nyingine yoyote katika hiyo comment yako, acha nikomae na hapa.
Haya sasa SIMBA bado haijakidhi vigezo vya kuwa KAMPUNI as per TUME YA USHINDANI (FCC)

Hivyo Simba inatambulika kama NOT FOR PROFIT ORGANIZATION (NGO) bado, ambao bado wanategemea SPONSORSHIP, SUBSCRIPTION FEES na Winners katika mapato yao. Hivyo wao kama Simba hawana PROFIT wana SURPLUS tu.

Je NGOs wanalipa INCOME TAXES kwa sheria zetu za KODI??
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] haya sasa twende mbele kidogo, eeh TRA wanasikiliza porojo au detailed documents???
😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Turudi nyuma kidogo kwanza kabla hatujaenda mbele kusiko eleweka, niletee documents ambazo zinaonyesha pesa iliyosaini ni tofauti na hizo walizotangaza Simba Sc leo.

Ukizileta nitaamini kuwa kilichofanywa na Simba Sc leo ni porojo, otherwise tukubali na kusimamia kile kilichopo bila kukiita porojo.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] unaanza kurudi nyuma eeeh
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Bado haujaja vizuri kwenye context ya hoja yangu, ni kweli kwamba TRA itakusanya kodi kwa entinty inayotambulika kama KAMPUNI TU na si vinginevyo?
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] unaanza kurudi nyuma eeeh
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Umesema kwamba TRA hawazingatii porojo (hizi za Simba Sc) bali documents, maana yake unao ushahidi wa documents unaoonyesha kuwa hali ni tofauti na kile walichotangaza.

Leta sasa hizo documents zinazotaja fugure tofauti na hizi zilizowekwa bayana na Simba Sc, ukija nazo nitaamini kuwa hiki walichosema leo ni porojo na sio uhalisia, kwahiyo hakitazingatiwa na TRA.

Ikiwa hauna hizo docs, nafikiri ni busara zaidi ukikaa kimya na kusubiri mengine, maana hauna haki ya kuziita ni porojo.

Au twende kwenye mikeka mkuu😂😂😂😂
 
Pia ukumbuke kuwa mikataba lazima ilipiwe kodi, hivyo hawawezi kubali taja kiasi ambacho sio sahihi wakati kodi analipa Simba
Nisaidie kumwelesha ndugu yetu CARDLESS , ni member mwenzetu kule chamber nafikiri twende nae taratibu.
 
Tumekusikia Tarimba. Pole, kubali ushindani vinginevyo huwezi kuwa bora.
 
Sidhani kama thamani ya team inaweza kutathinimiwa ndani ya Asilimia 49, lakini pia hakuna namna ambayo mtu anaweza kukuelewesha wewe kwasababu:-

No evidence is ever enough to persuade an Idot.
No evidence is ever enough to persuade an "Idot" [emoji777] "Idiot" [emoji736]

Lugha za kitumwa zinatuumbua sana Wabongo, tukomae na lugha yetu pendwa ya Taifa "Kiswahili" tafadhali Chifu.
 
Punguza chuki na ujuaji
 
Mbet mwenye nayo ni Diresh
 
Watu pale wanapojifanya wao wana akili ya ki uwekezaji kuliko wale magwiji ya uwekezaji yaliyokwisha saini kandarasi lukuki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…