M-bet ni mwigulu mtupu na hiyo siku amevaa jezi za Simba Sc ndio alikuwa kwenye ofsi zao.Kumbee,,! Ndo mana siku moja alipost picha kavaa Jez ya simba,,,
Haya sasa SIMBA bado haijakidhi vigezo vya kuwa KAMPUNI as per TUME YA USHINDANI (FCC)Kumaanisha kodi huwa inatozwa na TRA kwa makampini pekee?
Sitaki kujibu hoja nyingine yoyote katika hiyo comment yako, acha nikomae na hapa.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] haya sasa twende mbele kidogo, eeh TRA wanasikiliza porojo au detailed documents???
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] unaanza kurudi nyuma eeeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Turudi nyuma kidogo kwanza kabla hatujaenda mbele kusiko eleweka, niletee documents ambazo zinaonyesha pesa iliyosaini ni tofauti na hizo walizotangaza Simba Sc leo.
Ukizileta nitaamini kuwa kilichofanywa na Simba Sc leo ni porojo, otherwise tukubali na kusimamia kile kilichopo bila kukiita porojo.
Bado haujaja vizuri kwenye context ya hoja yangu, ni kweli kwamba TRA itakusanya kodi kwa entinty inayotambulika kama KAMPUNI TU na si vinginevyo?Haya sasa SIMBA bado haijakidhi vigezo vya kuwa KAMPUNI as per TUME YA USHINDANI (FCC)
Hivyo Simba inatambulika kama NOT FOR PROFIT ORGANIZATION (NGO) bado, ambao bado wanategemea SPONSORSHIP, SUBSCRIPTION FEES na Winners katika mapato yao. Hivyo wao kama Simba hawana PROFIT wana SURPLUS tu.
Je NGOs wanalipa INCOME TAXES kwa sheria zetu za KODI??
Umesema kwamba TRA hawazingatii porojo (hizi za Simba Sc) bali documents, maana yake unao ushahidi wa documents unaoonyesha kuwa hali ni tofauti na kile walichotangaza.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] unaanza kurudi nyuma eeeh
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
SIMBA ni KAMPUNI??? Umewahi kuona Financial statements za Simba Sports Club??
Kwako wewe hapo kodi itatozwa kwa nani?? Unadhani TRA wanasikiliza maneno badala ya ushahidi wa kimaandishi??
Sikia, TRA wao wataangalia Statements za pande zote mbili kwa M-Bet itaonekana kwenye Comprehensive Income upande wa Expenses kwa maana Advertisement expns na Simba as a Revenue (Sponsorship).
Mkataba wa Miaka 5 na Sheria ya kodi haitozi kodi kwa miaka kadhaa mbele, hutoza katika mwaka husika wa Kodi au Mkuu wangu umesahau hili leo??
Ukiangalia Mapato ya M-bet na matumizi yao maana yake watagenerate Loss katika miaka hii ya karibuni.
Financial Statements za M-bet haziko stable sana kiasi cha kumudu hizo gharama.
Nilichokuwa nawaza hapa ni kwamba ni ngumu mno kwa M-bet kuhandle huo mkataba, ni moja ya makampuni madogo hapa Tz pamoja na ukongwe wake.
Nakuomba tafuta vitabu vya mahesabu ya M-bet ndio utakuja kuelewa ninashosema hapa.
Huu sasa utani mkuuHata ule wa bilion 20.....ambao umeinunua KOLO fc kwa maisha yote....mlisema Ni mkataba mnono
Now mmekuja na mama...beti
MAKOLO mmerogwa nyie [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] CT inatozwa na kwenye NGOs??? Au unahesabia NIL kuwa kodi??Bado haujaja vizuri kwenye context ya hoja yangu, ni kweli kwamba TRA itakusanya kodi kwa entinty inayotambulika kama KAMPUNI TU na si vinginevyo?
Yani nimemshangaa lini kocha amefukuzwa au mchezaji toka batbra awepo?Huoni aibu kuandika uongo
No evidence is ever enough to persuade an "Idot" [emoji777] "Idiot" [emoji736]Sidhani kama thamani ya team inaweza kutathinimiwa ndani ya Asilimia 49, lakini pia hakuna namna ambayo mtu anaweza kukuelewesha wewe kwasababu:-
No evidence is ever enough to persuade an Idot.
Punguza chuki na ujuajiSIMBA ni KAMPUNI??? Umewahi kuona Financial statements za Simba Sports Club??
Kwako wewe hapo kodi itatozwa kwa nani?? Unadhani TRA wanasikiliza maneno badala ya ushahidi wa kimaandishi??
Sikia, TRA wao wataangalia Statements za pande zote mbili kwa M-Bet itaonekana kwenye Comprehensive Income upande wa Expenses kwa maana Advertisement expns na Simba as a Revenue (Sponsorship).
Mkataba wa Miaka 5 na Sheria ya kodi haitozi kodi kwa miaka kadhaa mbele, hutoza katika mwaka husika wa Kodi au Mkuu wangu umesahau hili leo??
Ukiangalia Mapato ya M-bet na matumizi yao maana yake watagenerate Loss katika miaka hii ya karibuni.
Financial Statements za M-bet haziko stable sana kiasi cha kumudu hizo gharama.
Nilichokuwa nawaza hapa ni kwamba ni ngumu mno kwa M-bet kuhandle huo mkataba, ni moja ya makampuni madogo hapa Tz pamoja na ukongwe wake.
Nakuomba tafuta vitabu vya mahesabu ya M-bet ndio utakuja kuelewa ninashosema hapa.
Kimango [emoji777] Kiwango [emoji736]Uzi wa moto. Watu wamejaa sumu baada ya kuona kimango cha mnyama ni kizito kuzidi chao.
Mbet mwenye nayo ni DireshM-bet ni mwigulu mtupu na hiyo siku amevaa jezi za Simba Sc ndio alikuwa kwenye ofsi zao.
Singida Big Stars ni yake pia na ndiomaana unaona inasaini wachezaji wa bei mbaya, kitu ambacho hutakaa ukione kwenye hizi team nyingine zenye level kama yao.
NB; Tozo za miamala zinafanya kazi yake.
Mpuuzi tuuuYani nimemshangaa lini kocha amefukuzwa au mchezaji toka batbra awepo?
Teh! Teh! Mkuu.Mo alijichanganya sana kumleta huyu malaya wake Simba Sc
Ulitaka MO akukaze ww? Acha kuonea wivu wanawake wenzako..shubaamitiMo alijichanganya sana kumleta huyu malaya wake Simba Sc
We jamaa kumbe huna akili, Sasa unamtukania Nini dada wa watu? au mafanikio yake na club yanakukeraMo alijichanganya sana kumleta huyu malaya wake Simba Sc