Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

Hii mechi na Orlando ndio mechi pekee ambayo inatuletea ugumu wa kufikia fainali za CAFCC msimu huu, ikitokea tumewatoa hawa basi fainali tunacheza maana kudeal na mwarabu (nusu fainali) sio kazi ngumu tena kwa Simba Sc hasa ukizingatia atamalizia kwa mkapa.
 
Kabumbu la Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAF Confederation Cup CAFCC, hatua ya robo fainali kuendelea kutimia vumbi leo April 24, 2022 ambapo wenyeji Orlando Pirates wanapambana na Mnyama Mkali Mwituni Simba SC, katika mchezo wa mkondo wa pili, kwenye dimba la Orlando Stadium Nchini Afrika Kusini.

Ni mchezo muhimu kwa timu zote kuweka mazingira safi ya kufuzu hatua ya Nusu Fainali, ambapo Simba SC anaingia kwenye mchezo huu akiwa tayari na mtaji wa bao moja alilopata kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Kumbuka mchezo ni kuanzia saa 1: 00 Usiku [TZ] saa 12: 00 Jioni [SA] Usikose Ukaambiwa, Gumzo Ndipo Hapo.

Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana
View attachment 2198524
Kutocheza kwa Morrison ni pigo kubwa, mwamba ana uwezo binafsi wa kuamua mechi.
 
Ikiwa tunataka kufuzu, sehemu pekee ambayo Simba Sc inapaswa kuwa SOLID ni eneo la kiungo. Pale kati inabidi watu wacheze mchezo wa jasho na damu ili kuzuia njia zote.

Huku nyuma ikiwa mashambulizi hayatakuwa ni ya mara kwa mara basi kazi haitakuwa ngumu.

Sema unaweza kushanga Pablo akaanza na nyoni,kwa jinsi alivyo kiande.
Afu akamuanzisha na Kibu mbele[emoji23]
 
Unajua hata sikuile tunapigwa 4 na Kizer tuliutawala sana mchezo na hata possesion ya team ilikuwa ni kubwa kuliko ile ya Kizer, shida yetu kubwa ilikuwa ni kupanda kupita kiasi ilhali hatuna beki wenye speed ya kuendana na counter attacks na ndiomaana goli zote nne ilikuwa ni matokea ya COUNTER ATTACKS na SET PIECES.

Leo tutulie tucheze mpira kila mchezaji akisimamia eneo lake pila kutoka, katika game ya leo sioni umuhimu wa full backs kupanda juu kabisa. Kapombe na Hussein watulie nyuma, kupanda juu liwe ni jukumu la wingers pekee. Hapo katikati viungo wakabe kwelikweli na sio kwa macho kama ambavyo huwa wanafanya.

Kiufupi, twende na ile approach tuliyoitumia wakati tunacheza na As vita away msimu uliopita, ingawa vikosi ni tofauti.
[emoji419]
 
Simba wamepokelewa na Bajaj huko bondeni
Kabumbu la Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAF Confederation Cup CAFCC, hatua ya robo fainali kuendelea kutimia vumbi leo April 24, 2022 ambapo wenyeji Orlando Pirates wanapambana na Mnyama Mkali Mwituni Simba SC, katika mchezo wa mkondo wa pili, kwenye dimba la Orlando Stadium Nchini Afrika Kusini.

Ni mchezo muhimu kwa timu zote kuweka mazingira safi ya kufuzu hatua ya Nusu Fainali, ambapo Simba SC anaingia kwenye mchezo huu akiwa tayari na mtaji wa bao moja alilopata kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Kumbuka mchezo ni kuanzia saa 1: 00 Usiku [TZ] saa 12: 00 Jioni [SA] Usikose Ukaambiwa, Gumzo Ndipo Hapo.

Ikiwezekana Jopo zima la Wanasimba na Wadau wote tuwepo hapa ubaoni JF.

Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana
View attachment 2198524
 
Kikosi cha Edgar Kibwana

7B3ABBE5-60EE-4DC8-958C-D037D13F62C8.jpeg
 
Nusu fainali ya kombe la Tusker labda
Nani mwingine amegundua kuwa Yanga hawana kabisa furaha na uongozaji wao wa ligi?? Roho zinawauma kwakua hawawezi kujifia kuongoza ligi au kuchukua kombe ikiwa Simba sc bado inashiriki katika ligi kubwa kuliko NBC.

Jana kulikuwa na mechi yao na walishinda ila huwezi kuona nyuzi zao humu kwasababu hawana guts za kuiponnda Simba Sc, wanaongoza ligi ila hii meizi yote mada zilizo sheheni humu ni juu ya Simba Sc na mechi zake kimataifa.

Njia pekee ya kuendelea kuwatesa kisakolojia ni kufuzu nusufu fainali na kuingia kabisa fainali, ili kuwanyima fursa ya wao kutamba ndani ya siku za hivi karibuni.

Na hii sio kwa jf, hata huko Instagram, twitter na mitaani mashabiki wa Simba Sc tunaendelea kuwa wenye furaha kwasababu tu Simba Sc ipo CAFCC. Hivyo wachezaji wasituangushe.
 
Shida yako ni kwamba mtu akicomment tofauti nabunavyofikiri unajua ni Yanga...hopeless
Hmmh kuna mwana Simba Sc asiyetaka ifuzu kungia nusu fainali tofauti na mabumunda ya GSM? Hivi kwanini msijivunie tu kuwa mashabiki wa li team lenu (yanga)??

Yani hamna kabisa furaha licha ya liteam lenu kuongoza ligi??
 
Back
Top Bottom