Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
All the best mnyama!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhhm...Full time Orlando 0 Simba 0
Ghazwat huwa nikiona hilo jina naona kama jitu moja la Egypt huko Al Ahly
MAKOLOKOLO mnafurahisha sana, kwa taarifa yako hapo mpo kimya kama maji ya mtungini, lakini kimbembe ni ikiwa mtashinda hiyo mechi dhidi ya Orlando Pirates, utaona jinsi gani MAKOLOKOLO FC huwashwa washwa na YANGA FC hata kama hachezi naye ana kwa ana [emoji23]Nilimwambia pilipili isoila ,yakuwashia nn??
Aache Wanasimba tutangaze zetu.
Sisi mbona hatuna shobo na mtu!!.
Kila la heri mnyamaKabumbu la Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAF Confederation Cup (CAFCC), hatua ya robo fainali kuendelea kutimua vumbi leo April 24, 2022 ambapo wenyeji Orlando Pirates anapambana na Mnyama Mkali Mwituni Simba SC, katika mchezo wa mkondo wa pili, kwenye dimba la Orlando Stadium Nchini Afrika Kusini.
Ni mchezo muhimu kwa timu zote mbili kuweka mazingira safi ya kufuzu hatua ya Nusu Fainali, ambapo Orlando wakihitaji ushindi tu huku wakizuia Simba wasipate bao. Na Simba SC anaingia kwenye mchezo huu akihitaji sare ya aina yoyote kuweza kusonga mbele kwani tayari ana mtaji wa bao moja alilopata kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa April 17, 2022 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Kocha Pablo Franco Martin amesema kuwa wanakwenda uwanjani kujaribu kushinda mchezo huo ili kuweza kutinga hatua ya Nusu Fainali huku Kiungo Left Footer Magician, Rally Bwalya akisema wanajua umuhimu wa mchezo huo.
"Umepita muda mrefu tangu timu kutoka Tanzania kutinga hatua ya Nusu Fainali ya mashindano ya Afrika. Tunajua umuhimu wa mchezo huu. Hautakuwa rahisi kwakuwa Orlando Pirates wapo nyumbani. Lakini Sisi tuna faida ya ushindi wa nyumbani ila hatutatumia kigezo hiki kwenye mchezo huu hivyo tunahitaji matokeo ya ushindi ambayo ni muhimu kuliko kitu chochote". amesema Rally Bwalya.
Simba SC ikishinda Tanzania imeshinda. Kila la heri wawakilishi pekee kutoka Tanzania kwenye michuano ya Kimataifa Simba SC.
Kumbuka mchezo ni kuanzia saa 1: 00 Usiku [TZ] saa 12: 00 Jioni [SA] Usikose Ukaambiwa..Jopo zima la Wanasimba Na Wengine na Wadau wa Soka wote tuwepo hapa ubaoni JF.
Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana
....... Ghazwat.......
View attachment 2198524
We makalio ya bata leo tunashinda mapema mnoFriends of Orlando Pirates tupo hapa.
Hahaha, kusema kweli leo zikiwa chache ni tatu bila. Kwa zile dakika kumi za mwisho walizocheza pale Lupaso nikiangalia na backline yetu na viungo wetu alafu lile pira walipige dakika tisini hakuna pa kutokea.Full-time Orlando 0 Simba 0
Mkuu Otterhound hapo Zaki ni Mimi kabisa.. Angalia hiyo style ya mikono na mikimbio yake ni Unyumbulifu wa hali ya juu kabisa yaani..!Almounem, Zaki au gomaa atakua[emoji16]
View attachment 2198742
Gomaa
View attachment 2198743
Zaki
Ghazwat kati ya hao ni yupi wewe?[emoji16]
Jikusanyeni wote, mabumunda ya GSM.Friends of Orlando Pirates tupo hapa.
Mmecheza na kushinda jana,ila Tanzania na Africa iko busy na mechi ya Simba sc.Simba atafungwa nyingi tu na Kisha kutolewa nje ya mashindano.