Kutocheza kwa Morrison ni pigo kubwa, mwamba ana uwezo binafsi wa kuamua mechi.Kabumbu la Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAF Confederation Cup CAFCC, hatua ya robo fainali kuendelea kutimia vumbi leo April 24, 2022 ambapo wenyeji Orlando Pirates wanapambana na Mnyama Mkali Mwituni Simba SC, katika mchezo wa mkondo wa pili, kwenye dimba la Orlando Stadium Nchini Afrika Kusini.
Ni mchezo muhimu kwa timu zote kuweka mazingira safi ya kufuzu hatua ya Nusu Fainali, ambapo Simba SC anaingia kwenye mchezo huu akiwa tayari na mtaji wa bao moja alilopata kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Kumbuka mchezo ni kuanzia saa 1: 00 Usiku [TZ] saa 12: 00 Jioni [SA] Usikose Ukaambiwa, Gumzo Ndipo Hapo.
Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana
View attachment 2198524
Nusu fainali ya kombe la Tusker labdaAmin Amin nakuambia,Leo hii kabla watu hawajaingia vitandani kulala,Simba Tyr itakuwa imefuzu nusu fainali
Orlando 2:Simba 1 .Simba watabebwa na goli la ugeniniKila la kheri mnyama. Nimeoteshwa kutakuwa na matokeo ya 0: 0 au 1:1
Shida yako ni kwamba mtu akicomment tofauti nabunavyofikiri unajua ni Yanga...hopelessHahaha mabumunda ya GSM mnatamani sana kuiona Simba Sc ikitoka, ila leo safari ni nusu fainali.
Hii comment hapa chini haiwezi kutolewa na mshabiki wa team nyingine yoyote zaidi ya Yanga.Shida yako ni kwamba mtu akicomment tofauti nabunavyofikiri unajua ni Yanga...hopeless
Nusu fainali ya kombe la Tusker labda
🤣🤣🤣 endelea kuamini hivyo mkuu katiba inakulindaHii comment hapa chini haiwezi kutolewa na mshabiki wa team nyingine yoyote zaidi ya Yanga.
Afu akamuanzisha na Kibu mbele[emoji23]Ikiwa tunataka kufuzu, sehemu pekee ambayo Simba Sc inapaswa kuwa SOLID ni eneo la kiungo. Pale kati inabidi watu wacheze mchezo wa jasho na damu ili kuzuia njia zote.
Huku nyuma ikiwa mashambulizi hayatakuwa ni ya mara kwa mara basi kazi haitakuwa ngumu.
Sema unaweza kushanga Pablo akaanza na nyoni,kwa jinsi alivyo kiande.
[emoji419]Unajua hata sikuile tunapigwa 4 na Kizer tuliutawala sana mchezo na hata possesion ya team ilikuwa ni kubwa kuliko ile ya Kizer, shida yetu kubwa ilikuwa ni kupanda kupita kiasi ilhali hatuna beki wenye speed ya kuendana na counter attacks na ndiomaana goli zote nne ilikuwa ni matokea ya COUNTER ATTACKS na SET PIECES.
Leo tutulie tucheze mpira kila mchezaji akisimamia eneo lake pila kutoka, katika game ya leo sioni umuhimu wa full backs kupanda juu kabisa. Kapombe na Hussein watulie nyuma, kupanda juu liwe ni jukumu la wingers pekee. Hapo katikati viungo wakabe kwelikweli na sio kwa macho kama ambavyo huwa wanafanya.
Kiufupi, twende na ile approach tuliyoitumia wakati tunacheza na As vita away msimu uliopita, ingawa vikosi ni tofauti.
Kabumbu la Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAF Confederation Cup CAFCC, hatua ya robo fainali kuendelea kutimia vumbi leo April 24, 2022 ambapo wenyeji Orlando Pirates wanapambana na Mnyama Mkali Mwituni Simba SC, katika mchezo wa mkondo wa pili, kwenye dimba la Orlando Stadium Nchini Afrika Kusini.
Ni mchezo muhimu kwa timu zote kuweka mazingira safi ya kufuzu hatua ya Nusu Fainali, ambapo Simba SC anaingia kwenye mchezo huu akiwa tayari na mtaji wa bao moja alilopata kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Kumbuka mchezo ni kuanzia saa 1: 00 Usiku [TZ] saa 12: 00 Jioni [SA] Usikose Ukaambiwa, Gumzo Ndipo Hapo.
Ikiwezekana Jopo zima la Wanasimba na Wadau wote tuwepo hapa ubaoni JF.
Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana
View attachment 2198524
Nani mwingine amegundua kuwa Yanga hawana kabisa furaha na uongozaji wao wa ligi?? Roho zinawauma kwakua hawawezi kujifia kuongoza ligi au kuchukua kombe ikiwa Simba sc bado inashiriki katika ligi kubwa kuliko NBC.Nusu fainali ya kombe la Tusker labda
Hmmh kuna mwana Simba Sc asiyetaka ifuzu kungia nusu fainali tofauti na mabumunda ya GSM? Hivi kwanini msijivunie tu kuwa mashabiki wa li team lenu (yanga)??Shida yako ni kwamba mtu akicomment tofauti nabunavyofikiri unajua ni Yanga...hopeless
Sakho kaumia?Kibu na Mugali hawa ni wazee wa kujambisha.
Imani ni kitu muhimu Sana kuelekea kwenye mafanikio.Leo ndio tunatoka rasmi kwenye michuano ya CAF kwa msimu huu...all the best Simba mmepambana kwa kiasi chenu!!
Pettymagambo Mwana KulipewaGhazwat mwana kulitaka?.....!