Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

Huyu jamaa Shandu alivyoingia sasa ni bonge la haramia mbaya sana huyo..
 

Shukrani kwa niaba ya jamvi hili la spoti
 
Dakika ya 65

Orlando 1-0 Simba

Agg1-1
 
tunawachezaji ambao hawajui wafanye nini wanapokuwa na mpira, Beki zinazokabia macho na wachezaji walioridhika ukosefu wa Morrison ni pengo pale Simba kwenye game ya leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…