Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
63'Dk ya ngapi now?
uzuri ni kwamba tukitoewa kocha wa Madrid ya Buza hana kazi.
Ω Ψ΄Ψ§ΩΨ―Ψ© ΩΩΨ§Ψ© Ψ¨Ω Ψ§Ω Ψ³Ψ¨ΩΨ±Ψͺ beIN Sports 3 HD Ψ¨Ψ« Ω Ψ¨Ψ§Ψ΄Ψ± ΨΨ΅Ψ±Ω Ψ¨Ψ―ΩΩ ΨͺΩΨ·ΩΨΉ - Ψ§ΩΨ¬Ω ΩΨ§ΩΩ
Ψ¨Ω Ψ§Ω Ψ³Ψ¨ΩΨ±Ψͺ 3 beIN Sport HD3 live channel Ω Ψ΄Ψ§ΩΨ―Ψ© Ω Ψ¨Ψ§Ψ±ΩΨ§Ψͺ Ψ§ΩΩΩΩ ΨΉΩΩ ΩΩΨ§Ψ© Ψ¨Ω Ψ§Ω Ψ³Ψ¨ΩΨ±Ψͺ premium 3 hd Ψ§ΩΩ Ψ΄ΩΨ±Ψ© Ψ¨Ψ΄ΩΩ Ω Ψ¬Ψ§ΩΩ Ψ¨Ψ―ΩΩ ΨͺΩΨ·ΩΨΉ ΨΉΩΩ koora live Ψ¨ΩΩ Ψ³Ψ¨ΩΨ±Ψͺ 3HD ΩΩΨ§ Ψ΄ΩΨͺ Ψ¨Ψ―ΩΩ ΨͺΩΨ·ΩΨΉ bein sports 3egylive.online
Dk zina ongezwa.Kwani geme ikiiaha hivi si wanaenda kwenye matuta au?
Dk afu PenaltyHivi wakitoka 1-1
Hadi Mwisho wa Mpira Itakuwaje?
DaaHatari mkuu, na goli tumepigwa.
I Told You Makolo [emoji23]Kwame Peprah Lazima Akwamishe Watu Leo [emoji4]View attachment 2198949
Tayari mmeanza! πππ Mugalu ameupiga mwingi sana leo! Yaani alikuwa anakaba mpaka kivuli! ππKocha nae mjinga tu, alikuwa anasubiri nn kumtoa huyu Mugalu mapema?
Kupaki bus sio tatizo, mbn 1st half tumepaki. tatizo ni ujinga wa kocha mchezaji ana kadi ya njano game ya pressure km hii anamuacha muda wote matokeo yake ndio hayoWatu wanaamini Sana kwenye kupaki basi ,matokeo yake ndio haya sasa...