Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

Mambo yaliyo mtokea Inonga kukosa penalty, yalisha tutokea Yanga dhidi ya Ahly Said Bahanuzi alitulaza na viatu 2013.
 
Wapo wataokuwa na wakati mgumu kwenye haya matokeo ila kwa enonga itakuwa ni zaidi

Enonga kuna muda camera ilimuonesha akiwa anatetemeka sana baada ya kukosa ile penalty, sidhani kama mentality yake iko poa


Haya matokeo yamem-disgusting sana
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…