Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Usije ukakimbia maana iyo ni game nyingine itakayowaongezea maumivuSimba ni Simba tuu
Hata hao Orando wakilala wanajua kabisa wamekutana na Tim Ngumu tena ya Kibabee.
Sasa uto wajipange Mbwa hawaa
Leta tena zile comments zako.Simba ni Simba tuu
Hata hao Orando wakilala wanajua kabisa wamekutana na Tim Ngumu tena ya Kibabee.
Sasa uto wajipange Mbwa hawaa
Pole kwa maumivu MAKOLOKOLO, meza Panadol kwa maji ya bariiidi usije kufa kwa uchungu toka kwa Orlando Pirates [emoji28]
Kombe lipi blaza .... kombe la maji ?mnyama anachukua hili kombe!
Wewe unajua mpira, ndugu.Ili tucheze kiushindani tunahitaji timu bora. Tumeishia tulipostahili.
Kalitetemeka mbyaa aise azamehewe mnk alijuta San yaani baka alijuta sna kilichotokea is know how Simba is big aise alikuwa Kama mtu aliyepoteza kumbukumbu yaani alitetemeka San mnk nasikia muda mfupi badae alizimiaa kbsaaAmekoma kudadek
Ili angalau points za kuachwa ziwe 10.Hasira tutamaliza kwa Uto
Kbsa yaani mnk duh kusingekalika acha atoke atulize mshono wakeAfadhali,mtaani sasa kutakalika.
Kubakwa Ni Kubakwa Tu Mkuu Haijalishi Ulifanya Nn Kutaka Kujikomboa [emoji23]Simba mwanaumeee...
Kakomaaa sanaa
Kafa kiumeee
Efforts zipi bila ya shorts on target hata 1 tu kwa dakika 90 zote [emoji848][emoji16]Mmepembana sana Makolo,hakuna anayeweza kudharau efforts mliyowekeza katika kufikia hatua hii....binafsi nikiwa na Mzee wangu mpira nawapongeza Mikia
CAF CONFEDERATIONS CUP!!!...Kombe lipi blaza .... kombe la maji ?
Ukiona vile ujue Simba ni mbovu zaidiMimi ni yanga[emoji172][emoji169][emoji123],kwa mara ya kwanza nimumia simba kufungwa(kutolewa mashindanoni),kutolewa kupo ila sio na timu mbovu kama Orlando Pirates..
Pole sana mtani,rudi ujipange
Mayele Ana Wazoom Tu [emoji23]Hasira tutamaliza kwa Uto
Nimependa hapo ...Hii mbugi inaisha droo ya bila bila mpaka moja moja. Sakho anatupia goli tata la kwenye mtandao
DahKila la kheri mnyama. Nimeoteshwa kutakuwa na matokeo ya 0: 0 au 1:1