Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

Simba leo ni kukaba mwanzo mwisho sizani hata hizo Counter kama zitapigika kwani Sakho mara nyingi atakuwa peke yake.
 
Jamaa ana trend

DD808B71-90FC-4AEE-B61A-61CDFE6797A5.jpeg
 
Kipara anapiga na makofi anajiaminia nini au ndo anashangilia sare?
 
Mwenye link inayoonyesha live naomba anitumie nicheki mechi
 
Orlando Huuni mpira afu wanatumia symbol za ngono
 
Kama ikipita nusu saa bila goli basi Simba anatoboa maana anaugonjwa wa Kupata wenge katka dakika za mwanzo
 
Mpira umeanza kwa Kasi, simba wakipata free kick, pirates wanakosa goli dk ya 2
 
Back
Top Bottom