Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Huwezi kula sasa hivi mkuu.[emoji23]Mi naangalia ndani ya blanket kabisa na chakula kimekataa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kula sasa hivi mkuu.[emoji23]Mi naangalia ndani ya blanket kabisa na chakula kimekataa
Kwa hiyo bado mna imani na Pablo! Pamoja na huu mfumo wake mpya kabisa duniani wa 4:6:0!!!Tulia wewe hujafikia vigezo vya kumkosoa escobar
Faulo zimeluwa nyingi eneo lao kwasababu ya fornation walioingia nayo ys kucheza kwenye eneo laoZikiwa nyingi sana maana yake probability ya kuruhusu goli inaongezeka, mabeki watulie wacheze mipira na sio kusababisha faulo karibu na goli.
Wakabie juu.
Msimu ujao hatakiwi kuwepo Simba Sc, ameshazeeka yule.Onyango ajiangalie
We acha tuu kakaaa...tumbo linafanya gruuuu,,mara tena griiiii,,aijakaa sawa mara tena nasikia tumboni nyau nyau.,,leo kazi ipo
Tutatoka kwa kufungwa uwanjani sio wewe kuandika JF.Hali ni mbaya. Ni mnatoka maana hapa nipo Sauz uwanjani, SSC anakazi kushambuliwa na goli litapatikana Tu
Hali ni mbaya
Acha uwongo kaingia na 4:1:2:1:2Kwa hiyo bado mna imani na Pablo! Pamoja na huu mfumo wake mpya kabisa duniani wa 4:6:0!!!
Manula anatibiwa baada ya kigongana na mchezaji wa Maharamia
17' Nyau nyau
Huna akiliAna trend kwa kunyoa kipara au?
Ungekuwa ni mdau wa michezo ungekuwa unajua kuwa Ncikazi ni moja kati ya makocha waliokalia kuti kavu, ila kwakua wewe ni BUMUNDA la njano ni lazima uone anatrend.