Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtakuwa mlikuwa pale Njombe,nyumba ndituPole mkuu. Hii game tuliiona jana, full time Orlando 0 Simba 0
Hali ndo hivyo hivyo kwa wote, jasho kwenye vidole ni ubishi tu ndio unaotufanya ruendelee kusalia humuYani nashindwa Hadi kuchati Kwa jinsi presha inavyopanda..sijui kipindi cha pili itakuwaje asee!!!
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mikia hii mechi mnaweza kuimaliza mapema maana naona hawa jamaa sijaona jambo jipya sanaSecond half tuwape mshtuko. Tuwashambulie.😀
Tunachotaka sisi ni kufuzu semi final tu hayo mengine utajijua na uzezeta wako.Kina Wawa? [emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣Kanunue babrishi mkuu ushushe preshaHali ndo hivyo hivyo kwa wote, jasho kwenye vidole ni ubishi tu ndio unaotufanya ruendelee kusalia humu
Manula kafanya kitu kikubwa sana sema ndio hivyo tumekuwa wepesi sana kusahau moments kama hizi pindi akoseapo kosa moja linafuta mema yote kama ya leoImetufanya tushambuliwe Sana, sema ubora wa Manula umesaidia.
Teknolojia ya kiroho..😂Mtakuwa mlikuwa pale Njombe,nyumba nditu
Mpaka Saizi tayari mkuu 0-1 aggTunachotaka sisi ni kufuzu semi final tu hayo mengine utajijua na uzezeta wako.
Teknolojia ya kiroho..😂Mtakuwa mlikuwa pale Njombe,nyumba nditu
Ni kuomba kweli...Shida ni umakini wetu mdogonkwenye kuzuia, hapa tuendelee kuomba wao wafanye makosa ya kutukosa kosa hivi hivi.
Nguvu moja mzee
Mpaka mugalu babrish leo zimemkataa unafikiri jambo la kitoto?🤣🤣🤣Kanunue babrishi mkuu ushushe presha
Hivi mwakani tunaupeleka timu ngapi kimataifa!?Kuna mwana yanga jukwaani akishangilia simba, haki na mimi nitalipa fadhila hii siku ambayo yanga anacheza kimataifa
Mimi game ukianza siwezi kuconcetrate na simu Kwa kweli[emoji28][emoji28]Hali ndo hivyo hivyo kwa wote, jasho kwenye vidole ni ubishi tu ndio unaotufanya ruendelee kusalia humu