Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mshamba hii mechi ya wakubwa wako, kasubiri mechi zako na ndanda huko.VAR kimeo, refa kimeo ingawaje kawabeba simba
Upuuzi huu. Acha ushabiki wa kitotoVAR kimeo, refa kimeo ingawaje kawabeba simba
Utakuja kufa umebinukaMakolo msha toka
Niliwa-underrate sana Taifa Kubwa...Nimekosa mimi...nimekosa mimi...nimekosa mimiLeo ndio tunatoka rasmi kwenye michuano ya CAF kwa msimu huu...all the best Simba mmepambana kwa kiasi chenu!!
Ameen[emoji120]SIMBA inaenda kutengeneza rekodi mpya
Fanya mambo yake Yale tufuvuSIMBA inaenda kutengeneza rekodi mpya
Mashabiki wa soka la Bongo tupo emotional sana.Simba bila kufanya team overhaul kuanzia Matola, haitafika popote
Sent using Jamii Forums mobile app
Walisema mnyama atafungwa 5 wanaona aibu kwa hii mbungi.
Ndo wajifunze kucheza mechi za away.