Haujui mpira.Mashabiki wengi ni oyaoya ,hawajui mpira ,hauwezi kushangilia ushindi wa penati.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]YANGA BINGWA
Hiki kitu nimewaambia sana hawa watu wanaoyabeza magoli ya matuta, wanashindwa hata kukumbuka vile matuta hayo hayo yalivyowapatia Kombe la dunia Argentina mwaka jana, sasa kama matuta yanaweza hadi kuipatia timu kombe kwanini yasishangiliwe
Poleeeee shost, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naitakia ushindi mnono timu yangu ya Wananchi, hata kama hao waandaji wana ajenda zao za siri za kutaka kuibebba timu fulani kupitia waamuzi wa kike! Ila naamini haki itapatikana tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee mtaniiii.Kila la kheri Timu ya Wananchi.
Uwezo tunao, Kikosi bora pia tunacho hapa ni swala la muda tu.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Tesekaaa poleee poleeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Majungu, au ndiyo ukweli wenyewe! Timu itapelekwa, na wananchi wataondoka na ushindi hata kama mwamuzi ni wa mchongo.
Nafikiri umeelezwa ulifungwajeee,.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi sio milimaa tutakutanaa,watatueleza zile mbili walitufungajee?[emoji23][emoji172][emoji172][emoji172]
Poleeeeee shouzzzz, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa rafikiiiii Makolo watajibebaaaaa !
Hajui uingereza Morihno alichukua kombe kwa counter attack na kupaki basi, possession mnaachiwa ila mnafanyiwa timing,nayo ni mbinu kama unaweza tumia.Haujui mpira.
Timu bora ni ile inayopata matokeo kwenye dk 90, nyongeza 30 au penati.
Ukiwa mbovu kwenye penati, wewe bado haujawa na kikosi bora bado.
Unafikiri bila kushinda penati, wydad wangeenda vipi nusu fainali?
Acha kujifariji ujinga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa.
Nasemaaajee maneno kidogo mpira mwingi. [emoji23]
Nimekuja kaka, kinahusu nini mzee?makaveli10 tuna kikao baadaye
Ni electrical fence wa uto.Fondoh Malone..! Nani amsimulie ni mchezaji wa namna gani..?
Bado namtafakari...!
Kuna haja Ally Salim apelekwe Yanga kama kocha wa goal keepingNimekuja kaka, kinahusu nini mzee?
Abeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baby [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Katokea Zenjii, kaaga kwao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Embu mmoja hapa asimulie Ally Salim Katokea Wapi.....!
Mi naona Kama Kazuka tu from no Where..!
Katokea wapi huyu dogo..???