Simba yatwaa Ngao ya Jamii kwa Penati 3-1 dhidi ya Yanga, Ally Salim awa shujaa wa mchezo

Yanga hii hii ilipigiana penalties na usm alger kwenye caf losers cup, wangeshinda, wangesusa kombe? Wasingeshangilia?
Ndiyo hapo sasa. Wanajifariji tu
Penati ni sehemu ya mchezo
 
Ni mapema sana kuwahukumu wachezaji. Bado wanajitafuta
Msimu uliopita tulifungwa na yanga na kombe wakachukua na tukafika robo fainali champion league.
 
UTOPOLO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Katika hao viungo wa4 ni ngoma tu anajua boli, huyo hamisi bado sijamtizama vizuri.

Na je tutashiriki michuano yoote, tukiwa na hao viungo wa4?
Tizama positions nyingine, viongozi wanasajili hovyo.
Wasidizi wa kuwakaribia kapombe na tshabalala hakuna.
 
Yaani Amina Kyando hafai kbs....Kwa Maoni ya Wana Utopolo...

Na Huyu Jonesya Rukya Hafai....Kwa Maoni ya Wana Utopolo ....

Sasa next Match Mleteni Hersi au Mzungu pori...!

Ndani ya 90' ....mnawapa majukumu mazito wachezaji, Urefa na Kucheza pia..! Ndo mana wamekosa penati...
 
Reactions: Tui
Brazil 1994, Italy, 2006 na Argentina 2022 walichukua kombe la dunia kwa penalty kama hawajui hao, pengine hawakuwepo kabisa duniani au walikuwa wanakula mtindi wa mama. Najua wengi wameona ya mwaka jana ndiyo maana wanaona kitu cha ajabu!
Watoto wadogo hawawezi kuelewa...(In TID voice.)
 
Nashukuru mkuu🙏🏾🙏🏾🙏🏾
 
Kanoute na Mzamiru unawa exclude?

Viungo wa nne kwa mtazamo wangu naona wanatosha kabisa.

Sajili ya hovyo ni ipi ebu point hata moja kama mfano.

Leo una haki ya kusema vyovyote kwasababu timu haikucheza kimkakati

Lakini Kocha akiisuka vizuri utaniambia.
 
Reactions: Tui
Watoto wadogo wataelewa wapi hizo mambo Mkuu[emoji1787]
 
Kanoute na mzamiru ni wavunja kuni, hawana comman kwenye kiungo, hawawezi kutuliza timu, kati yao sijaona kiungo wa kuweka mfukoni viungo wa wapinzani, akawa anatamba yeye tu pale kati,pasi zao nyingi sio za kushambulia, hawana macho ya pasi hatari, kidoogo mzamiru ila kanoute ndio kabisa sio press resistant... Kibaya zaidi hawajui kukaba ni wanacheza rafu za hovyo, wanapaniki haraka.
 
Mechi ya Derby tulioshinda mbili hukuona kazi kubwa aliyofanya Mzamiru na Kanoute?

Tena wakati huo Yanga ilikuwa na mido ngumu chini ya Aucho na Bangala sio kama hivi sasa ilivyo.
 
Onyo; Wakwepeni Utopolo popote mtakapokutana kwa angalau Masaa 72 Yaishe...! Sbb bado Wamejaa hasira, ingawa haileweki hasira hizi ni dhidi ya nani?

Refa..!
Gamondi..!
Wachezaji..?
Diarra...!
Ili Kuepuka ngeu..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…