Anacheza mpira wa kisasa...direct footballNimemwangalia Kwa Makini Kibu...toka aingie Nimegundua hata mimi nikiwa Kocha Siwezi kumweka Benchi...
Jamaa ni Mbishi,awe na Mpira au asiwe na Mpira...kifupi hachoki
Huwezi kuwa na consinstency ya ubora kila mechi, kuna muda inatokea una drop.Ile moja mzamiru alikaba saana, je tunahitaji kuwa tunakaba game zote, hatuhitaji kucheza.
Kuna game ilikuwa kwa mkapa na dodoma nafikiri, walikuwa nusu.. bado walikuwa wametawala kati, kiasi myunda akamuuliza saidoo, "inakuwaje watu pungufu halafu wanacheza wao"
Amini nakwambia hizi midfielders ni wavunja kuni ndugu yanguπ€£
Mtizame ngoma kisha jaribu kutizama kina mzamiru na ndugu yake kanoute.
Dogo leo alimeza penati zote,ya Aziz K aliikosakosa ingawa hata angeipata sidhani kama angeweza kuipanchi maana ilikuwa na nguvu sanaBora hata Singida walipata penalti 2 kidogo walionesha upinzani
Azizi Ki leo atajiona mwenye bahati sana.Dogo leo alimeza penati zote,ya Aziz K aliikosakosa ingawa hata angeipata sidhani kama angeweza kuipanchi maana ilikuwa na nguvu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawaamini macho yao.Tulipoingia matuta niliona kwa Diara hatuna chetu kumbe sivyo
Wakikujibu nitag,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga hii hii ilipigiana penalties na usm alger kwenye caf losers cup, wangeshinda, wangesusa kombe? Wasingeshangilia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] katokea ndondo.Bado, Muelezee Vizuri..ZNZ kuna Small Simba,Kikwajuni na Malindi...Sea boy na Macho Manne, zingine ni KmKm,Mlandege n.k...Katokea timu gani kwani...?
Njooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nahamu baby nije unipe Leo raha ujue [emoji91][emoji91][emoji91][emoji39][emoji39]
Mtajijuuuu Leo nalala usingizi mtamu ahsantee ally salimdaah imeniuma kinomaa sisi sio wa kufungwa na Simba hata penati
ππ€ππ² ππ«π¨..Hii "seemed to getting" haikubaliki hapo, rekebisha hayo makosa.
π€£π€£Dogo kammakiza diara,kiburi chote kwishney,Sasa subri yutakavyo wakanda Kama ngano aka shayiriπKatoro....! Jina Lake la tatu ndo nalijua leo.
Ally Salim Katoro.....Fantastic..!
Sister kalpana Mimi ni nani nisikuunge mkonoMdaka mshale alikua anafurahia kupaisha kwa Phiri ila dogo Ally...kamuonyesha nini maana ya kipaaa
Yani hovyooooooooo
Usingizi hauji kabisaSIMBA BADO TUPO MACHO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
π€£π€£π€£Hivi kibabage bado wako tanga,au wanakula kunguru saivi mombo?Kupoteza mara Ya pili inauma Sana...!
Poleni Kibabage FC..!