Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]hawawezi kubali hilo jamboNdio tumeshamaliza hivyo mkitaka turudiane tena
Wewe na huyo jamaa huwa mna vita yenu binafsi[emoji1].Poleeeee shost, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alikuwa akizikumbatia kwa upendo,🤣🤣🤣😂😃bahat mbaya Aziz Ki alipeleka penat yake kwa hasira, Katoro akaghairi kuipokeaHaaa haaa mwenye penati anajulikana. Kaingia kwenye kumbukumbu ya hatrick ya save. Tena zingine kazimeza
Hamna Timu bhana kelele nyingi sanaHalafu hatima ya gwaride ikawa nini?Nani alipigiwa saluti.Kuruta kupiga gwaride ndio jukumu lake.
HAswaaa halina ubishi..japo naona kampeni za kumuharibia zipo lukuki ila imeisha hiyooo..yani imeenda..wana Simba tutembee vifua mbele..🤣😂😆😃 nani kakwambia mtani kuwa hazina mwenyewe?
Mwenyewe keshapatika ni Ally Salim Katoro 😆🤣
Au nasema uongo ndugu zangu Kalpana cocastic Scars OKW BOBAN SUNZU Bantu Lady
Hapo sasa mdogo wangu kabisa...Sister kalpana Mimi ni nani nisikuunge mkono
Kwa nini wachezaji wetu hawakubahatisha kushinda? Au keeper wetu hakubahatisha kudaka hizo 3? Tuache kujifarijiUshindi wa penati ni BAHATISHA NDULUTE.
😂😂😂 Kmmk wallahNaenda kulewa mpaka asubuhi kumamake
Nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Bill bana hebu tuache, Yanga tunatembea na mawe tutawapopoa watani mshangae.View attachment 2717729
Aione....
Shadeeya Scars OKW BOBAN SUNZU Kalpana Bantu Lady cocastic na wengine
😂 Hebu tupummuzishe mtani. 😂😂View attachment 2717729
Aione....
Shadeeya Scars OKW BOBAN SUNZU Kalpana Bantu Lady cocastic na wengine
😂 Hebu tupummuzishe mtani. 😂😂
Hebu huko na wewe. 😂
Sijui ni mtandao ume jam maana kila niki scroll nakutana na Ally Salim tuHebu huko na wewe. 😂
Ipo siku mtamkataa huyo Babu yangu. 😅