Simba yatwaa Ngao ya Jamii kwa Penati 3-1 dhidi ya Yanga, Ally Salim awa shujaa wa mchezo

Simba yatwaa Ngao ya Jamii kwa Penati 3-1 dhidi ya Yanga, Ally Salim awa shujaa wa mchezo

Bob, tumia tu kiswahili. Unaandika pumba kwa kiingereza. Au umetumia google translation? Lugha ya English kama huifahamu andika kwa kiswahili angalau ueleweke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa waga anastaili flani ya kuzomea, jana mara baada ya Moze Phiri kupiga penalt mwendo kasi, basi diara alikimbia huku akicheka kwa dharau utafikiri anangoja tu kuveshwa taji kwani kazi keshamaliza,
Maskini kiburi si maungwana na raiti angejua nadhani ile mikwara asingefanya kamwe kama jina la afisa habari wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa ana masifa ya kishambaa, limebaki janaa mbwaaa kuaibikaaa.

Limekomaaa kirangaa choteee fyaaaa.
 
ile ni njia ya kuwa zingua kisaokolojia wapigaji wanao fuata ..
sikuona kosa lolote kwake kufanya vile.
ni mpira
Amezinguliwaa yeye. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kushangilia ni haki yake kwasababu ni kitendo kilichoonesha dalili ya ushindi kwenye timu yake kwa wakati ule, au mkuu ulitaka amkumbatie phiri kwa kukosa penalty
Muambieniii aendeleee kudevelekaaa, tena azifate camera ya azam akazoom, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tumeridhika kwa matokeo. Mwamuzi amechezesha vizuri. Tumeshindwa kuzitumia nafasi tulizopata.

Hivyo nawapongeza kwa kuchukua Ngao ya Jamii msimu huu kwa changamoto ya mikwaju ya penati.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya futa machoziii sasa.
 
Kakosea wapi?
Regardless of the final results, Yanga are still the team to beat this season. Simba have run out of gas in the second half while Yanga seemed to get stronger and stronger.

Yanga are still the team to beat this season. Hata sijui alitaka kusema nini.

Yanga is.... Not Are. Halafu anajichanganya anasema to beat...

Simba have run out of gas... Present perfect hiyo. Ilipaswa iwe simple past tense.
 
Wekundu wa Msimbazi wameanza msimu mpya wa Soka wa 2023/2024 kwa kishindo sana, je wanaweza kurejesha ubingwa wao waliopoyeza kwa miaka miwili mfululizo?
FB_IMG_16919605961479116.jpg
 
Back
Top Bottom