njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Diara ana dharau sana ila mpaka umuangalie kwa jicho la tatu. Nb mimi simba lia lia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzako wanamlaumu refa kuwa penati tatu zote alizocheza Ally Salim zilitakiwa kurudiwa kwasababu Ally Salim alikuwa anatoka kwenye mstari mapema kabla ya mpira kupigwa.Tumeridhika kwa matokeo. Mwamuzi amechezesha vizuri. Tumeshindwa kuzitumia nafasi tulizopata.
Hivyo nawapongeza kwa kuchukua Ngao ya Jamii msimu huu kwa changamoto ya mikwaju ya penati.
Asante sana NUNGUNUNGU, Amefanya kazi iliyotukuka 🤣 😀Niliona anayaelekeza mautopolo wapi pa kupiga penalti, nikajua kwisha habari ya utopolo.
Ajabu na kweli, mautopolo yamepiga penalti zote upande mmoja, hata ile ya kwanza iliyojaa kimiani.
Thank you Mkude.
Ooh! Haina shida Mtani. 🤝Mtani siku nyingi nilikuwa biz kidogo ila jana nikasema hapana hebu acha nikaone waburudishaji wetu walivyosajili na kujipanga.
Tunaanza upya mtani
Hayo yatabakia tu kuwa makosa ya kiufundi kwa waamuzi wetu. Wakati mwingine watajifunza.Wenzako wanamlaumu refa kuwa penati tatu zote alizocheza Ally Salim zilitakiwa kurudiwa kwasababu Ally Salim alikuwa anatoka kwenye mstari mapema kabla ya mpira kupigwa.
mkuu wachambuzi wote leo wanashangaa refa na vibendera kuruhusu kipa kutoka kabla ya pigo la penatiKwa hiyo zile Medali mlizochukua jana mtaenda nazo ikulu tena mkalie na ubwabwa?
Hii kweli kabisa. Yaani moses phiri awekwe benchi na bocco? Afu anaingia dakika za jioni uchawi upoHapana Sajili hatujafanya mbovu.
Kocha tu ndio hana mbinu ameshindwa kuwa na timing ya kujia hitaji la mchezo linataka aina gani ya formation.
Simba tuna utajiri wa Viungo
Tunao viungo wakutosha
1. Kanoute
2. Mzamiru
3. Ngoma
4. Abdallah Hamis
Moses Phiri sio wakuwekwa bench na Bocco na ndio hapo tunarejea kwenye hoja ambayo inatuunganusha wote kuwa Kocha ana matatizo.
Ila amini kuwa tumesajili vizuri tumekosa mwalimu ambaye anaweza kuwa na mbinu za kuifanya timu iwe tishio pindi inapokuwa na mpira na pindi ikiwa haina mpira.
Halafu hatima ya gwaride ikawa nini?Nani alipigiwa saluti.Kuruta kupiga gwaride ndio jukumu lake.Simba hakuna Timu pale muda utaongea...
Jana mmepigishwa gwaride la JKT lile...
Somea urefa bughudha iishe.mkuu wachambuzi wote leo wanashangaa refa na vibendera kuruhusu kipa kutoka kabla ya pigo la penati
Watasema yote mwaka huuu ..Bado hawajasemaHongereni kwa mikimbio [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yanga mwenzangu ila umeandika Utopolo. Mabingwa wa sasa wa Dunia walishinda Ubingwa kwa Penalty
Hawajalala hao wengine wataamkaje Sasa ...!!sema Leo hawatoki ndani!!!WANA SIMBA MMEAMKAJE NYIE WENGINE KIMBIKINYO KIGAMBONI FC LOLOTE LIWAKUTE [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Game planHii kweli kabisa. Yaani moses phiri awekwe benchi na bocco? Afu anaingia dakika za jioni uchawi upo
Kama ni hivyo aliyepanga hiyo game plan tumpe "thank you" na atuachie timu yetu!!Game plan
Hawa ni wachambuzi wa mchele!! Bongo imejaa wachambuzi ambao hawakuwahi kucheza soka kwenye kiwango cha juu hata kwa kipimo cha bongo tu!mkuu wachambuzi wote leo wanashangaa refa na vibendera kuruhusu kipa kutoka kabla ya pigo la penati
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji28]Kama ni hivyo aliyepanga hiyo game plan tumpe "thank you" na atuachie timu yetu!!