Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa! Huyu muhindi anataka kuchana mkekaDalili za hatari.
Akishinda Simba leo nna zawadi yako special wewe mwanasimba kindakindaki ingawa leo Simba kushinda ni nafasi NDOGO sawa na 'Ngamia kupenya kwenye tundu la SINDANO'Simba lazima nasema lazima kombe lirudi kwa wenye nchi...sisi ndo Simba
Kila la heri mnyama
Kuna faulu sehemu nzuri, labda bahati ni yako.Hasa! Huyu muhindi anataka kuchana mkeka
Usiogope sana MremboLeo Mauto yanaona aibu..maana wasiempenda timu yake imefanya vizuri
Basi tena.Kuna faulu sehemu nzuri, labda bahati ni yako.
Haya sawa...Akishinda Simba leo nna zawadi yako special wewe mwanasimba kindakindaki ingawa leo Simba kushinda ni nafasi NDOGO sawa na 'Ngamia kupenya kwenye tundu la SINDANO'
Hakuna penati leo
Leo Singida waliona wakipaki bus wataonekana wanyonge, lakini kwa Simba waliona si ajabu sana wakionekana wanyonge. Ni kama Yanga, akijidai kufunguka kwa Simba atapigwa tena, heri apaki bus kama Singida halafu avizie counter attacks na kusubiri mikwaju ya penatiIna maana Simba ni weak kuliko Azam?
Mbona wamempiga Singida kirahisi hivi?
Hawawezi kukubali kwa hiliLeo singida waliona wakipaki bus wataonekana wanyonge, lakini kwa Simba waliona si ajabu sana wakionekana wanyonge. Ni kama Yanga, akijidai kufunguka kwa Simba atapigwa tena, heri apaki bus kama Singida halafu avizie counter attacks na kusubiri mikwaju ya penati
Unatupangia namna ya kucheza wewe kama nani??Leo Singida waliona wakipaki bus wataonekana wanyonge, lakini kwa Simba waliona si ajabu sana wakionekana wanyonge. Ni kama Yanga, akijidai kufunguka kwa Simba atapigwa tena, heri apaki bus kama Singida halafu avizie counter attacks na kusubiri mikwaju ya penati
Hii ni mechi ya Singida na Azam, Simba inaingiaje hapa?Ina maana Simba ni weak kuliko Azam?
Mbona wamempiga Singida kirahisi hivi?
Mnatupangia namna ya kucheza?Hawawezi kukubali kwa hili