Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Dalili ni nzuri kwakoBado moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dalili ni nzuri kwakoBado moja
Ushahidi leo Simba wabovu au? Maana ake Simba ilicheza na timu mbili pale. Leo Simba inacheza na timu Moja .2-0
Tulisema singida na Simba wote walikutana wabovu tu
Mpira hauko hivyo mkuu, kila mchezo timu huingia na approach yake. Kushinda kwa Azam mbele ya Singida haifanyi kuwa Yanga itashinda mbele ya Simba. Ni mechi mbili tofauti na ni timu mbili tofaut.2-0
Tulisema singida na Simba wote walikutana wabovu tu
Mpira hauko hivyo mkuu, kila mchezo timu huingia na approach yake. Kushinda kwa Azam mbele ya Singida haifanyi kuwa Yanga itashinda mbele ya Simba. Ni mechi mbili tofauti na ni timu mbili tofaut.
Hadi sasa kambi ya Yanga imepoteza mechi za leo2-0
Tulisema singida na Simba wote walikutana wabovu tu
Wange. Mpira ukiwa hivi hakuna haja ya kuucheza. Tunatumia tu wange tunatangaza matokeo.Azam wangecheza na simba wangeshinda
Si unachezwa kwani hauchezwi?Wange. Mpira ukiwa hivi hakuna haja ya kuucheza. Tunatumia tu wange tunatangaza matokeo.
Sababu unachezwa mambo ya wange hayana uhalisia.Si unachezwa kwani hauchezwi?
simba 3-1 yangaYANGA BINGWA
😁😁😁😁51’ Singida Wanapata Singida Nje ya 18