Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why!?Piga chini ROBERTINO..
Hamna kitu hapa
Hachomoki anategemea penati Ila hafiki penatiAtachomoka,
Yanga hawajafanyia kazi makosa ya simba hadi mida hii wanafanya sub.
Mshafungwa hii gemu ng'wai kufanya niniWhy!?
HamchomokiSijui kama timu yangu Simba tunachomoka, itokee bahati tu.....
Hachomoki 😂Hii game Simba akichomoka naacha jamiiforum
Mimi siamini kama hatuna kikosi kizuri, ninachojua mimi shida ipo kwa mwalimu maana mpaka sasa licha ya wacheza kucheza mfumo ambao haueleweki bado hawajaruhusu magoli ya kizembe kama ilivyotegemewa.Wachezaji tunao ila kocha hana mbinu
Mpaka saizi haifahamiki formation inayochezwa humu ni formation gani.
Kinachoonekana hapa ni individual ability tu katika kusababisha tusifungwe.
Ungeweka wazi kabisa kuwa ndani ya dakika 90 au la ili tusevu postHii game Simba akichomoka naacha jamiiforum
Tupoooo...naona wazee wa kuotea
Baelezee sheriTupoooo...naona wazee wa kuotea
Haina. Ila ni style ya kocha tu ndo udhaifu uliopo.we shabiki wa kwel vipi timu yako unaona ina chochote cha maana kwenye hili gemu
Leo hali mbaya lawama zote kwa robatinyoTupoooo...naona wazee wa kuotea
Ilistahili kadi!Kwa hiyo rafu ya Musonda kwa tafsiri ya refa ni physically contact?
No card is that fair?