princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
hivi ni medali au medani?Washindi watatu ambao ni Azam wanaenda kuvaa medali
Yanga watakuwa na medali nyingi msimu huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi ni medali au medani?Washindi watatu ambao ni Azam wanaenda kuvaa medali
Yanga watakuwa na medali nyingi msimu huu
Pole sana mkuu,maumivu kote kote,kwenye bandari tumepigwa wote na kwenye ngao ya hisani umepigwa .Hongereni Simba kwa ushindi wa matuta, mpira una matokeo katili.
Asiyeipenda Ccm bora aachane na Siasa, mission complete.
Wenye akili tu ndio watalielewa andiko hili.
DP karibuni sana Watanzania wote tumeridhia tuna raha.
Why?Napumzika na mpira na JF kwa muda nisioujua Proved tutaonana Mungu akipenda...
Haya sasa twende nyimbo na gitakaria atakuwa kafurah sana lengo lake limetimia
Penati sio kila mechiKunyweni panadol..siku nyingine mjifunze kufunga midomo
Masahihisho:Tutabadilika ila kwa mwaka huu sisi ndio mabingwa wa ngao ya jamii. Ila mwambie Robatinyo, tutakuja tumkate korodani akiendelea hivi
Ni bonge la kipa dadekiYule Goal keeper wa Simba ni mzuri
Tusidanganyike na ubingwa wa PENALTI..
Maoni yangu yako pale pale ..
SIMBA ya ROBERTINO ni mbovu .mbovu..mbovu...
Piga chini ROBERTINO....
Nimeumizwa moyo na matokeo ya Yanga yangu 😥😥😥😥😥Why?
Dictionary ya kiswahili inatambua Medalihivi ni medali au medani?
hii hii ambayo ilibebwa mechi ya singidaHii ambayo nyie mumeshindwa kuifunga
Mtu anadaka penati tatu moja anaificha anaweka kwapani.. huyu mtoto si wa kawaida
Na kweli vichwa panzi. Na hao waliokosa penalti nao watasemaje?Si ndio mpango wenyewe au?Visingizio ndio dili sasa.Hongereni Simba kwa ushindi wa matuta, mpira una matokeo katili.
Asiyeipenda Ccm bora aachane na Siasa, mission complete.
Wenye akili tu ndio watalielewa andiko hili.
DP karibuni sana Watanzania wote tumeridhia tuna raha.
Faiza Foxy ni mnyama anaweza akatosha kwa lengo lako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nasubili offer ya nyapu tu kutoka kwa mrembo mmoja wa Simba, dompo dinner na hotel bill yangu.
Wanaona aibu wenzio mimi sioni aibu..timu inayopasua mioyo ya watu wakisikia penaltyhuna timu
hadi mnaona aibu