Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Bhna wewe pale hakunaa kipa mzeeWakati uliopita"ilikuwa inashinda"ndotoni au?Mpira umekwisha aliyechukua ngao anajulikana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bhna wewe pale hakunaa kipa mzeeWakati uliopita"ilikuwa inashinda"ndotoni au?Mpira umekwisha aliyechukua ngao anajulikana.
Sizitaki mbichi hiziKwa watu wanaojua mpira ushindi wa penati si wa kufurahia....Na ndio maana kwenye kutoa Tunzo ya Mfungaji bora wananzengo wakasema tuondoe magori ya penati na pia hata magoli ya maza ,msigwa alisema ya penati hayahesabiwi.
Hii "seemed to getting" haikubaliki hapo, rekebisha hayo makosa.Regardless of the final results, Yanga are still the team to beat this season. Simba have run out of gas in the second half while Yanga seemed to getting stronger and stronger.
Tuliosema hamtoboi sasa tuko wapi? 🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼Bantu Lady tuwekee wimbo wa Ali Kiba tuinjoi
Sawa. Jig diala naye ni kipa au pazia tu?Kwa kipa gani pale simba mnajivunia simba hamna kipa yanga ilikuwa I inashinda makosa ya wachezaji
Asante Mkude kazi uliyotumwa na Simba imeenda vemaNiliona anayaelekeza mautopolo wapi pa kupiga penalti, nikajua kwisha habari ya utopolo.
Ajabu na kweli, mautopolo yamepiga penalti zote upande mmoja, hata ile ya kwanza iliyojaa kimiani.
Thank you Mkude.
Acha kumlinganisha na panzia la chooni na screen protectorSawa. Jig diala naye ni kipa au pazia tu?
Timu nzuri ni ile inayopata matokeo kwenye dk 90 au penati. Utakutana na timu ngumu halafu mnaenda kwenye penati sijui inakuwaje?Ushindi wa penati si wa kufurahia.
Kweli ni screen protector ya simu ya Itel yenye android version ya 4.4.1Acha kumlinganisha na panzia la chooni na screen protector
Ahahaha sema kweli bhna acha wivu mtaniKweli ni screen protector ya simu ya Itel yenye android version ya 4.4.1
Kwa hiyo unataka tufunge maturubai? kwani kushinda kwa penalt ni msiba?Mashabiki wengi ni oyaoya ,hawajui mpira ,hauwezi kushangilia ushindi wa penati.
Hata kama yanga wangeshida nisingefurahi ushindi wa penati.
Kwa hiyo ingekuwa ndiyo yanga imeshinda mngefunga maturubai ya msiba?Ushindi wa penati si wa kufurahia ,mpira ni dakika 90.