Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Kabisaaa! Yaani huko offline watapelekeshwa watu huko usiombe.Hapo waziri kaongea tu. Backdoor watamalizana.
Siyo Tanzania. Tena hatua atakazochukuliwa zitakuwa ni laini laini tu ili kufunika kombe mwanaharamu apite.Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment ya kijana wake.
UK, US, Canada, Australia na Newsland, kama ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office in disrepute, mfano kukutawa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.
P.
Uliona zile video za mtoto wa Biden? Na bado Biden Yuko ofisini.Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment ya kijana wake.
UK, US, Canada, Australia na Newsland, kama ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office in disrepute, mfano kukutawa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.
P.
V8 tamu bila kuomba radhi unaweza ukajikuta kesho unaenda kanisani na V8 unarudi na ISTNimeiona clip inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii , nakiri kuwa huyo ni kijana wangu ambae ni mtu mzima anajitegemea na anafamilia yake….
Nimemwagiza Mkuu kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la polisi na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA SHERIA … Binafsi naomba RADHI SANA kwa walioathirika na mkasa huo lkn pia kwa jeshi la polisi na Watanzania wote.
POLENI KWA USUMBUFU WOWOTE MLIOUPATA
George B. Simbachawene (mb).
View attachment 2329436
Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment ya kijana wake.
UK, US, Canada, Australia na Newsland, kama ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office in disrepute, mfano kukutawa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.
P.
Hapa kwenye tortuous liability kwa baba wa huyu kijana umetupanga bwana pasco.Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment ya kijana wake.
UK, US, Canada, Australia na Newsland, kama ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office in disrepute, mfano kukutawa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.
P.
Nchi hii viongoz wanafanya mambo sivyo na hawajiuzulu sembuse hii issue ya mtotoKwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment ya kijana wake.
UK, US, Canada, Australia na Newsland, kama ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office in disrepute, mfano kukutawa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.
P.
Hata mimi nashangaa sana huyo kijana mwenyewe hakuna alipotamka kwa mdomo wake hayo maneno.Hili ni tukio la kawaida. Limekuzwa kwa sababu ni mtoto wa waziri...
Watu wakianza kujiuzulu kisa watoto au kufumaniana na michepuko, nakuhakikishia hii nchi itakosa viongozi.Nchi hii viongoz wanafanya mambo sivyo na hawajiuzulu sembuse hii issue ya mtoto
Ungekuwa we mwenyewe hapo
Paskali usingejiuzulu
Ova
Boss hapa Kuna habari gani?Nimeiona clip inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii , nakiri kuwa huyo ni kijana wangu ambae ni mtu mzima anajitegemea na anafamilia yake….
Nimemwagiza Mkuu kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la polisi na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA SHERIA … Binafsi naomba RADHI SANA kwa walioathirika na mkasa huo lkn pia kwa jeshi la polisi na Watanzania wote.
POLENI KWA USUMBUFU WOWOTE MLIOUPATA
George B. Simbachawene (mb).
View attachment 2329436