Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

TAARIFA

“Nimeiona clip inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii , nakiri kuwa huyo ni kijana wangu ambae ni mtu mzima anajitegemea na anafamilia yake….

Nimemwagiza Mkuu wa kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la Police na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA SHERIA …

Binafsi naomba RADHI SANA kwa walioathirika na mkasa huo lakini pia kwa jeshi la polisi na Watanzania wote. POLENI KWA USUMBUFU WOWOTE MLIOUPATA

Ni Mimi.
George B. Simbachawene(MB)
View attachment 2329496View attachment 2329498

Walamba asali wanapotucheza shere!
 
Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment ya kijana wake.

UK, US, Canada, Australia na Newsland, Baba, mama, mke na mtoto wa politicians ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office into disrepute, mfano kukutwa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.

P.
And this is Tanzania my Brother....we are nowhere near either of the Places you mentioned...give us at least another 100 years to reach that level of moral integrity.
 
Maneno ya kwamba hakuna mtu wa kumuweka ndani coz ni mtoto wa waziri nayo unayachukuliaje?
Nasikia Mwl. J. K. Nyerere alikwenda shuleni kwa mwanae akakuta anahudumiwa kifalme tofauti na wenzake akawakaripia walimu na kuwataka wampeleke akakae sawa na wengine mabwenini, mwingine alifanya makosa shuleni ikabidi arudishwe nyumbani mpaka amlete mzazi (JKN) na kweli Nyerere akaenda kumsikiliza Mkuu wa shule kutoa ushirikiano.
 
Wanayme wa dar kweli ni wa ngesse kweli kweli, hii kesi haikuwa ya kupelekwa traffic, ponda mawe alafu muheshimiwa anakuja kuota mzoga wake kwishaaa
 
Wewe umeiona video yoyote ya mtoto wa Biden?
Ilete hapa tuione kama sio propaganda tu.
Uliona zile video za mtoto wa Biden? Na bado Biden Yuko ofisini.
Muda mwingine mzazi unajitahidi Ila watoto hawasikii....hasa hiki kizazi cha hovyo!
 
"Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo"
Kweli anajua hakuna kitu watamfanya, watampa tu usumbufu ila watamwachia.
 
Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment ya kijana wake.

UK, US, Canada, Australia na Newsland, Baba, mama, mke na mtoto wa politicians ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office into disrepute, mfano kukutwa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.

P.
Ila kwa Tanzania, traffic aliyemkamata anahamishiwa Tandahimba kwa utovu wa nidhamu
 
Back
Top Bottom