Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TAARIFA
“Nimeiona clip inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii , nakiri kuwa huyo ni kijana wangu ambae ni mtu mzima anajitegemea na anafamilia yake….
Nimemwagiza Mkuu wa kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la Police na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA SHERIA …
Binafsi naomba RADHI SANA kwa walioathirika na mkasa huo lakini pia kwa jeshi la polisi na Watanzania wote. POLENI KWA USUMBUFU WOWOTE MLIOUPATA
Ni Mimi.
George B. Simbachawene(MB)
View attachment 2329496View attachment 2329498
And this is Tanzania my Brother....we are nowhere near either of the Places you mentioned...give us at least another 100 years to reach that level of moral integrity.Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment ya kijana wake.
UK, US, Canada, Australia na Newsland, Baba, mama, mke na mtoto wa politicians ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office into disrepute, mfano kukutwa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.
P.
Nasikia Mwl. J. K. Nyerere alikwenda shuleni kwa mwanae akakuta anahudumiwa kifalme tofauti na wenzake akawakaripia walimu na kuwataka wampeleke akakae sawa na wengine mabwenini, mwingine alifanya makosa shuleni ikabidi arudishwe nyumbani mpaka amlete mzazi (JKN) na kweli Nyerere akaenda kumsikiliza Mkuu wa shule kutoa ushirikiano.Maneno ya kwamba hakuna mtu wa kumuweka ndani coz ni mtoto wa waziri nayo unayachukuliaje?
Uliona zile video za mtoto wa Biden? Na bado Biden Yuko ofisini.
Muda mwingine mzazi unajitahidi Ila watoto hawasikii....hasa hiki kizazi cha hovyo!
Angekuwa mtoto wa mkulima angechezea virungu vya kutosha na asingejulikana alipo mpaka mwili wake utakapookotwa Coco Beach kwenye kirobaAfande: "Unamuita mwanaume mwenzio mseng.e?"
Simbachawene Jr: "Ndio, au na wewe unataka"
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Anae mrekod na kumuuliza hayo maswali siyo afande anaemrekod ni mmoja kat ya hao waliogongewa gari yaoAfande: "Unamuita mwanaume mwenzio mseng.e?"
Simbachawene Jr: "Ndio, au na wewe unataka"
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hizi tambo kila mwenye zaidi ya sh laki mbili mfukoni anazo.Maneno ya kwamba hakuna mtu wa kumuweka ndani coz ni mtoto wa waziri nayo unayachukuliaje?
Ila kwa Tanzania, traffic aliyemkamata anahamishiwa Tandahimba kwa utovu wa nidhamuKwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment ya kijana wake.
UK, US, Canada, Australia na Newsland, Baba, mama, mke na mtoto wa politicians ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office into disrepute, mfano kukutwa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.
P.
Mkuu, zipo, tena anavuta cocaine, na zingine za ngono kabisa...Wewe umeiona video yoyote ya mtoto wa Biden?
Ilete hapa tuione kama sio propaganda tu.