Simbachawene: Polisi inalishughulikia shambulio la kutumia silaha kwa Tundu Lissu kama uhalifu mwingine na upelelezi unaendelea

Simbachawene: Polisi inalishughulikia shambulio la kutumia silaha kwa Tundu Lissu kama uhalifu mwingine na upelelezi unaendelea

Simbachewene alikuwa utingo kwenye mabasi ya urafiki ruti ya mpwapwa - dodoma kwahiyo kichwani hamna kitu.
Nakumbuka siku moja tupo pale Iringa Road kwenye yard ya Urafiki (jirani na Kito Bar ya marehemu Kanji) na kaka yangu Chove,alifokewa kama kidampa fulani kwa kupoteza mzigo wa abiria.
 
Nakumbuka siku moja tupo pale Iringa Road kwenye yard ya Urafiki (jirani na Kito Bar ya marehemu Kanji) na kaka yangu Chove,alifokewa kama kidampa fulani kwa kupoteza mzigo wa abiria.
Watu hawamjui huyu jamaa kichwani hamna kitu
 
Akijibu swali la mtangazaji wa ITV Midle kuhusu uchunguzi ulipofikia kwenye tukio la kushambuliwa Tundu Lisu mbunge by then mh Simbachawene amesema yapo matukio mengi ya kutumia silaha yanayochunguzwa na hilo la Tundu Lisu siyo special ni uhalifu kama mwingine hivyo yote yanashughulikiwa kwa usawa.

Simbachawene amesema ifike mahali watanzania waelewe jukumu la polisi ni kulinda raia wote na mali zao kwa usawa na isionekane fulani ni muhimu kuliko fulani.

Chanzo: ITV
Mpuuzi.... Naona Siku zake zinahesabika.

Bora waseme wameshindwa kuliko kutufanya wajinga. Actually, Wajinga ni wao wanakofanya mambo yao wakifiri hatujui.....!!
 
Waziri wa mambo ya ndani ya Nchi Mh George Simba Chawene amewahakikishia Watanzania na dunia kwa ujumla kwamba , Upelelezi wa shambulio la Tundu Lissu lile la mwaka 2017 ungali unaendelea , na kwamba wahusika watakapokamatwa watafikishwa Mahakamani mara moja.

Chanzo : EA TV

%F0%9F%98%80%F0%9F%98%80%F0%9F%98%80%F0%9F%98%80.jpg


Bali kuna hili lililopita kutoka kwa Polisi na Waziri mwingine aliyepita wa wizara hiyo hiyo .

Instagram%20media%20-%20Bt2Krycj3b7.jpg


Sasa sijui tumuamini nani , Au Tuendelee kula Mtori nyama tutazikuta chini ?
 

Attachments

  • Instagram%20media%20-%20Bt2Krycj3b7.jpg
    Instagram%20media%20-%20Bt2Krycj3b7.jpg
    101.6 KB · Views: 2
  • Instagram%20media%20-%20Bt2Krycj3b7.jpg
    Instagram%20media%20-%20Bt2Krycj3b7.jpg
    101.6 KB · Views: 3
Siro alisema faili limefungwa.
Waziri anasema uchunguzi unaendekea.
Haya ni matokeo ya Taifa lililo fitinika
 
Watu hawamjui huyu jamaa kichwani hamna kitu
Ndiyo maana amepewa qenzie ambao hawana kitu pia.

Kuna siku atasema kuwa kuwa Waziri wa Polisi ni lazima uwe na uwezo mdogo, kwa sababu wenye akili kubwa hawawezi kukubali kuwa mawaziri wa watu wenye akili kidogo.
 
Simbachawene, inua macho yako juu, mwombe Mungu wako wa KWELI ayape KIBALI maneno yanayotoka kinywani mwako yasiwe ya kinafiki
Simbachawene, leo kwa sababu yupo ndani ya V8 ya Serikali, huku akiwa amezungukwa na kulindwa na Polisi aliosema kuwa hawana akili kubwa, anatapika chochote kilicho karibu na mdomk, lakini zinakuja nyakati ambazo ataomba wakati ungerudi nyuma ili asiropoke kama binadamu asiyekamilika.
 
Hii ni kauli ya Waziri kweli?
Haina tofauti na ya Mwiguru Nchemba pindi Akiwa kwenye nafasi hiyo hiyo
Alisema Maiti zilizoonekana kwenye mto Ruvu sio za Watanzania.
Ina maana wasio Watanzania wanaruhusiwa kuuwawa tu sio?
Hii nchi inashida kubwa sana.
Cha kushangaza wanajibadilisha wenyewe kwa wenyewe Leo anaondolewa kesho kutwa unachukuliwa tena anarudishwa kwenye system kama vile hakuna watu wengine wanaoweza kuwa viongozi kwenye hii nchi ... Hii ndoa CCM iliyofunga na Watanzania ilishavunjika kilichobakia ni Agano la Mwenge ndio linaendelea kukamata watu fahamu zao
Iko siku utumwa huu utafika mwisho.
 
kazi ya siasa kwa Tanzania ni ngumu mno.. kuna muda lazima umkane Mungu wako na useme urongo wazi wazi huku nafsi yako ikikusuta.
 
Lissu na magufuli walikuwa na machuki yao sie wanaccm tuliobaki tuacheni tule nchi kwa raha zetu, na nyie viherehere kama lissu ongeeni na mtukane mnavyoweza ila msithubutu kushawishi watu/raia waingie road.
 
Siro alisema faili limefungwa.
Waziri anasema uchunguzi unaendekea.
Haya ni matokeo ya Taifa lililo fitinika
Haya maajabu unaweza yaona Katika Taifa la TZ pekee, Katika Dunia hii!
 
Shahidi muhimu si ameshafariki? Anyway, wengine wote waliohusika wapatikane na wafikishwe kwenye mkono wa sheria japo haki iliyocheleweshwa ni sawa na haki iliyonyimwa.
Ccm inawalinda wahalifu usitegemee kitu mkuu
 
Ndiyo maana amepewa qenzie ambao hawana kitu pia.

Kuna siku atasema kuwa kuwa Waziri wa Polisi ni lazima uwe na uwezo mdogo, kwa sababu wenye akili kubwa hawawezi kukubali kuwa mawaziri wa watu wenye akili kidogo.
Hahaaaaa.........😁
 
Back
Top Bottom