Simbachawene: Polisi inalishughulikia shambulio la kutumia silaha kwa Tundu Lissu kama uhalifu mwingine na upelelezi unaendelea

Simbachawene: Polisi inalishughulikia shambulio la kutumia silaha kwa Tundu Lissu kama uhalifu mwingine na upelelezi unaendelea

Akijibu swali la mtangazaji wa ITV Midle kuhusu uchunguzi ulipofikia kwenye tukio la kushambuliwa Tundu Lisu mbunge by then mh Simbachawene amesema yapo matukio mengi ya kutumia silaha yanayochunguzwa na hilo la Tundu Lisu siyo special ni uhalifu kama mwingine hivyo yote yanashughulikiwa kwa usawa.

Simbachawene amesema ifike mahali watanzania waelewe jukumu la polisi ni kulinda raia wote na mali zao kwa usawa na isionekane fulani ni muhimu kuliko fulani.


Chanzo: ITV
Majibu yale yale yaliyozoeleka.
Serikali inawafahamu na bila kupepesa macho ilihusika katika jaribio hili la aibu.
 
Akijibu swali la mtangazaji wa ITV Midle kuhusu uchunguzi ulipofikia kwenye tukio la kushambuliwa Tundu Lisu mbunge by then mh Simbachawene amesema yapo matukio mengi ya kutumia silaha yanayochunguzwa na hilo la Tundu Lisu siyo special ni uhalifu kama mwingine hivyo yote yanashughulikiwa kwa usawa.

Simbachawene amesema ifike mahali watanzania waelewe jukumu la polisi ni kulinda raia wote na mali zao kwa usawa na isionekane fulani ni muhimu kuliko fulani.


Chanzo: ITV
Laana hii haitawaacha katika furaha. Wote mtakwisha kama mlivyotaka asiishi. Mungu ni Fundi.
 
Akijibu swali la mtangazaji wa ITV Midle kuhusu uchunguzi ulipofikia kwenye tukio la kushambuliwa Tundu Lisu mbunge by then mh Simbachawene amesema yapo matukio mengi ya kutumia silaha yanayochunguzwa na hilo la Tundu Lisu siyo special ni uhalifu kama mwingine hivyo yote yanashughulikiwa kwa usawa.

Simbachawene amesema ifike mahali watanzania waelewe jukumu la polisi ni kulinda raia wote na mali zao kwa usawa na isionekane fulani ni muhimu kuliko fulani.


Chanzo: ITV
Simba Chawene!!! Simba Chawene!!! Simba Chawene!!! Nakuita X 3

Tafadhali Ndg. yangu ya Kaizari muachie Kaizari ya Mungu yape heshima na adabu. Nafikiri umeyaona ya Subwoofer yalipo ishia ...

Angalia kaka barabara ina mawe hii ukitembea angalia chini utajikwaa bila ya kutegemea ung'oe ukucha, kuna watu wanadam kali duniani shauri yako ...

Ya Siro hayooo yanaanza taratiiibu kama utani vile, mwisho wake utauona utakavyokuwa. Sasa wewe badala ya kuchutama utafakari, unamchongelea Mungu mdomo, Mungu sio Sele Bonge anamipango yake shauri yako ...

Hujuilizi tu mpaka leo? Hushangai mpaka sasa, Risasi 38!!! Kumbuka shahidi No. 1 mwenyewe alishatangualia mbele ya haki sasa'ivi anakula marungu huko Jehanamu na LEGACY yote imepotea licha ya kuimbiwa mapambio kibao Je, wewe ni nani Simbachawene ...

Haya usijesema hatukukwambia ...
 
Back
Top Bottom