Simbachawene: Ripoti zinaonesha zaidi ya 40% ya Watumishi wa Umma Tanzania hawafanyi kazi

Tunakataa! Ni zaidi ya hapo! At least 75%
 
Wengine wapo mtaani mwaka wa Tano wanaendelea na mishe zao na wakipokea mishahara yao kila mwezi ,hukuvwengine wameajiriwa sekta binafsi wamesimamishwa kupisha uchunguzi wa tuhuma za hela ambayo haifiki hata robo ya mshahara wake so wanakula mishahara miwili miwili huku wanaingiza na serikalini wanaendelea kuingiza pia wakiwa nje ya kazi
 
Mfanyakazi amemaliza kazi,halafu hataki kuondoka kwa vile saa ya kuondoka haifaki.
 
Kwa uzoefu wangu kwa serikalini lazima kuwe na mzigo tena asilimia ni zaidi ya hiyo .Sababu ni ndogo ndogo tu wala sio kubwa sana.

Wafanyakazi wengi wa serikali ni watu waliojihakikishia mshahara then wanatafuta njia ya kwenda mbele zaidi ,ishu kama kwenda kusoma ni bora wafute ; kazini kwetu napiga vitengo vitatu kwa pamoja ,hao wawili wameenda kusoma tena mwaka huu na wengine wanaenda .Kiufupi ufikishaji wa huduma kama ilivyokusudiwa ni zero kila mtu anatafuta vyeo.

Mlundikano wa wafanyakazi sehemu moja kutokana na sababu za kimazingira ,watu hupenda kujilundika mkoa fulani kuliko mwingine .Matokeo yake sehemu za mijini watu ni wengi mpaka hawafanya kazi wengine meanwhile huko kijijini hakuna watu .


Ruhusa za hovyo hususani hizi za kuumwa ,kuuguza mzazi ,mke au mtoto ni hatari sana mbaya zaidi kama mzazi itabidi mtu aende mkoani huko maana hafanyi kazi mkoa waliopo wazazi wake. Haya mambo ni kawaida sana waliokuwa na familia ni changamoto ,mtu miezi yuko Muhimbili kuuguza mtoto wake sio rahisi kuepuka mambo hayo.​
 
Mnaandaliwa kisaikolojia something fishy called redundance is coming,,,,,,,,,,,,,
 
Je ni asilimia ngapi ya wanasiasa ni mzigo?
Kabla ya kutaka kutoa kibanzi machoni pa mwenzake, tafari mwenendo wako
 
📌wewe kama huna kichwa cha shule baki na certificate yako.Acha wenzako watafute GREEN PASTURE in their ways.

📌Hutaki watu waumwe tengenezeni maroboti yafanye kazi 24/7/365days.

📌Kuna siku 14 za mwaka kwa kila mtumishi kwaajili ya mambo ya kijamii na dharura.

📌Ili watu wasirundikane hiyo mikoa yenye kuchangamka au mijini sambazeni maendeleo in equal distribution katika mikoa yote.Mngeweza hata kuwapa vipaumbele wafanyakazi wa migombani huko kwa vitu kama mikopo nafuu,nyumba na allowance za hapa na pale.Hampo inovative na bado mnalilia efficiency kwa wafanyakazi wenu.

📌Nchi hii kila mtu analalama hata wenye uwezo wa kufanya mabadiliko wanalalama.Sasa nani amsaidie mwenzake.

📌Wafanyakazi wengi wanafanya kazi katika mazingira ambayo sio rafiki au chini ya kiwango ila badala ya kuaddress challenges faced by this civil servants.Mnaanza kuwananga hivi mtaendelea kutegemea miujiza mpaka lini.
 
Certificate ndio nn? Sina certificate ,sasa kwa akili yako ndogo hao wanaeonda kusoma hata maprofessor wako wana athari gani positive?
 
Kuna mizigo nchi hii kama hawa wanasiasa wetu..? Wabunge wa ndio ndio hata upumbavu wanaitikia ndio.
 
Hivi uliwahi kupata ajali ukajigonga kichwa chako!!??
Uliwahi kupata matatizo ya afya ya akili!!??
Ulizaliwa kichwa chako kikiwa sawa 100%!!??
mihemko na makasiriko ni kitu mbaya sana aise,

hivi inatokana na kukosa mawazo mapya na fikra mbadala sio ndio maana una gubu, right?

sasa si ukae kimya tu gentleman 🐒
 
Nafikiri next time akusanye mawazo mengi zaidi kwa private sector inayohuduwa atajua mengi zaidi...
 
AI imeshaingia anawaandaa kisaikolojia 😂
Mpaka serikali ifanye mabadiliko ya kutumia AI itachukua muda lazima kizazi flani kisiwepo kije kingine fikiria mtu kama Wasira bado yuko na hadithi za kupigania uhuru ni sehemu ya historia ya nchi yetu lakini sio itumike kama fimbo ya kuwachapia ambao hawakuwepo
 
Kazi zake anafanya nani?
 
Hili wazo.lilidokezwa na Rais ila najua wameliweka kiporo Ili kupisha uchaguzi.

Pia Kuna ule.utaratibu wa kupimiana Mafuta na kukopeshana magari kama wabunge nao uje kuzingatiwa.
 
U feel proud kufanya kazi ya Serikali huku wengine wananeemeka huko Bungeni? Kazi yangu binafsi ndio nitafanya Kwa ku feel proud.

Watu wanakimbilia Utumishi wa Umma Kwa sababu umejengwa katika namna ya kuwaonea watu wasio Watumishi wa Umma so inaatumika kama cover lakini ingekuwa mazingira ya uraiani ni wezeshi hakuna mtu angekaa huko kwenye Utumishi wa Umma.
 
CCM ni mzigo kwa taifa hili kwa miaka zaidi ya 40 wananchi wanaishi kwenye lindi la umasikini licha UTAJIRI wa rasilimali uliopo. Huduma za msingi kwa wananchi zimekuwa ndoto za alinacha, wanafaidika wajanja wachache.
Nani huyo wa kuwatoa.hiyi mizigo na kuwatajirisha? Kwa kutumia kanuni ipi? Watumishi wepi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…