Kwa level ya umaarufu wa tiwa na mafanikio aliyonayo kumfaninisha tiwa na huyo simi ni uchizi .. Mnastahiki kupelekwa milembe
wanamuziki karibia naowajua walianzia kuimba kwaya makanisani wote wanasauti za uhalisia wa kuimba...lady jay de, kanyamozi, kidumu, john legend, simi, na wengine wengi sanaa.
hata ukiusikiliza muziki wanaouimba unafanana sana pamoja na kutokea mataifa tofauti tofauti na kutumia lugha tofauti,,,,ila kuna mtu hapo juu kamtaja camila cabello aisee yule mrimbwende anaimba sana bila kumsahau anne marie.
Jericho au joromi?Simi anajua sana..
✓Jericho
✓Doyin
✓Duduke
Huyu dada ana taste tamu sana
Jericho ft Patoranking
Tiwa kufanya tu background vocals na mtu kama whitney Houston tayari ilimpa nafasi ya kukutana na music coaches wakubwa duniani hivyo kuwa na control ya sauti yake ni kawaida. Ukifikiria hiyo exposure na kuchukuliwa na record label kubwa kama Mavins na katika kipindi ambacho muziki wa nigeria unakuwa sana bila kuwa na female figure bhasi mafanikio yake yalikuwa given.Kwa level ya umaarufu wa tiwa na mafanikio aliyonayo kumfaninisha tiwa na huyo simi ni uchizi .. Mnastahiki kupelekwa milembe
Sent using Jamii Forums mobile app
Jericho ni tofauti na joromi
Back vocal wa Whtney Houston au Mery J??Tiwa kufanya tu background vocals na mtu kama whitney Houston tayari ilimpa nafasi ya kukutana na music coaches wakubwa duniani hivyo kuwa na control ya sauti yake ni kawaida. Ukifikiria hiyo exposure na kuchukuliwa na record label kubwa kama Mavins na katika kipindi ambacho muziki wa nigeria unakuwa sana bila kuwa na female figure bhasi mafanikio yake yalikuwa given.
Kwa simi ni habari ingine, kakuta watu wakubwa wengi kama Tiwa na Yemi lakini kutokana na sauti, lyrics na ile originality yake akatengeneza lane ya peke ake. Nigerians wanamuheshimu sababu yupo unique na ametoboa bila kwenda na popular music. Hakuna wa kumlinganisha na simi ila kuna utitiri wa wanaoimba km tiwa, thats their difference
Alifanya back vocals kwa wasanii wengi ila whitney alikutana nae kwenye album yake ya mwisho. I look to you. Tiwa alistrugle sana kutoka nje ila ikawa ngumu na alipochukuliwa na the mavins ndo akatoboa kwa Africa na kwa sasa anaenda mbele zaidiBack vocal wa Whtney Houston au Mery J??
Basi kuna mtu alinidanganya alinambia aliwahi kufanya kazi na BeyonceAlifanya back vocals kwa wasanii wengi ila whitney alikutana nae kwenye album yake ya mwisho. I look to you. Tiwa alistrugle sana kutoka nje ila ikawa ngumu na alipochukuliwa na the mavins ndo akatoboa kwa Africa na kwa sasa anaenda mbele zaidi
Hapa bongo underrated ni weng mfano barnabaNasikiliza hii nyimbo mpya ya Simi inaitwa Duduke Daaah huyu Simi ni Underrated...
Hawa kina Yemi Alade,Tiwa Savage sijui wanampitaje kimafanikio..
Lakini mziki wa Simi ni Quality saana...Kama Camila Cabello wa Afrika
Hii ngoma imetrend tz sana kwa wadadaNasikiliza hii nyimbo mpya ya Simi inaitwa Duduke Daaah huyu Simi ni Underrated...
Hawa kina Yemi Alade,Tiwa Savage sijui wanampitaje kimafanikio..
Lakini mziki wa Simi ni Quality saana...Kama Camila Cabello wa Afrika
Teni makanaki ni noma yule tomboy hapendi makeup
Ndio yupo kwenye album ya beyonce The lion king.Basi kuna mtu alinidanganya alinambia aliwahi kufanya kazi na Beyonce
Sikuwahi kujua nimeangalia kwa net time hii ni kweli na amefanya back vocals hata kutunga nyimbo za wasanii wengi wakubwa pia.Basi kuna mtu alinidanganya alinambia aliwahi kufanya kazi na Beyonce
nadhani wewe ndiye umekata mzizi wa fitna kwa uzi huu...kongolee kwako mkuu.Tiwa kufanya tu background vocals na mtu kama whitney Houston tayari ilimpa nafasi ya kukutana na music coaches wakubwa duniani hivyo kuwa na control ya sauti yake ni kawaida. Ukifikiria hiyo exposure na kuchukuliwa na record label kubwa kama Mavins na katika kipindi ambacho muziki wa nigeria unakuwa sana bila kuwa na female figure bhasi mafanikio yake yalikuwa given.
Kwa simi ni habari ingine, kakuta watu wakubwa wengi kama Tiwa na Yemi lakini kutokana na sauti, lyrics na ile originality yake akatengeneza lane ya peke ake. Nigerians wanamuheshimu sababu yupo unique na ametoboa bila kwenda na popular music.
Hakuna wa kumlinganisha na simi ila kuna utitiri wa wanaoimba km tiwa, thats their difference
nadhani hii ni tamadunu yaoYemi Baba ke alikufa wakahifadhi maiti Kwa miezi karibu miwili huku anaendelea na tours..
Yaani ilikuwa ushirikina mtupu Kwa maoni yangu