Chadema hawana uwezo wa ku -retain compitent leaders, Mbowe anawatoshaAkina Kafulila tuliwategemea sana kuimarisha siasa za upinzani.
Hawa ndio wanaifanya CCM itawale milele.
Siasa kwao ni ajira na sio nia ya kuimarisha demokrasia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema hawana uwezo wa ku -retain compitent leaders, Mbowe anawatoshaAkina Kafulila tuliwategemea sana kuimarisha siasa za upinzani.
Hawa ndio wanaifanya CCM itawale milele.
Siasa kwao ni ajira na sio nia ya kuimarisha demokrasia.
Acha ufala kuwajibika unaita kiherehere naamini anakwenda kuwa mtu mkubwa sana ukizingatia nimtumishi mzuri nilitamani aletwe kigoma lakini naamini kunamlango umefunguka ndio waziri mkuu ajae andika hili utabiri wangu huoKiherehere kilizidi bora akapumzike.
Kuachwa na mwanamke haimaanishi hana nyumba anayoishi, kama wewe unakaa kwa shemeji ndo huna Kaya, siyo Kafulila.Kaya gani wakati alisha achwa na Kishoa??
Ni kweli, mama anaondoa wale wote wa Magufuli hata kama hawana kosa, kosa ni kuwa "wa Magufuli "!Kwani na Mama nae hana Madudu? Acheni Unafiki na Upumbavu. Ukweli ni kwamba Safu na Vimelea vyote vya Pro Late President Dk. Magufuli ndiyo Vinaondolewa.
Kwa dendegu usimlaumu samia, mlaumu Mr tabasamu. Hili mbona liko wazi tangu akiwa mkuu wa wilaya Tanga, na kupelekwa kuwa mkuu wa mkoa kusini. Shujaa aliyajua haya akampiga chini.Hapa nimeshindwa kumuelewa Samia. Unamrudisha Halima Dendego na kumpa ukuu wa mkoa halafu unamuondoa Kafulila. A very wrong move.
Ni kama vile hawezi yeye mwenyewe kama rais kufikiria kwa kina, najua kuwa Kafulila bado ni kijana na kichwani yupo vizuri atapewa cheo kingine labda kulingana na uwezo wake.
Lakini inaonyesha kuwa SSH ni kama vile hayupo karibu na ufanisi wa wasaidizi wake wa moja kwa moja. Ni mbaya sana JK kuwa na ushawishi wa kudumu katika awamu inayoongozwa na SSH.
Aende kigoma Sasa akaliwe funza za miguuKafulila amshukuru Rais Samia, awaaga wananchi wa Simiyu
![]()
- Siku moja baada ya kuachwa katika mabadiliko ya wakuu wa mikoa, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila amemshukuru Rais Samia Suluhu kwa kumpa nafasi ya kulitumikia taifa.
Siku moja baada ya kuachwa katika mabadiliko ya wakuu wa mikoa, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila amemshukuru Rais Samia Suluhu kwa kumpa nafasi ya kulitumikia taifa.
Alhamisi Julai 28, 2022, Rais Samia alifanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa ambapo amewateua wapya tisa, amewabadilisha vituo baadhi yao na wengine wakibaki katika vituo vyao vya kazi.
Katika mabadiliko hayo, wakuu wa mikoa tisa wameachwa na nafasi zao kuchukuliwa na wengine, miongoni mwa walioachwa ni pamoja na Kafulila.
Wengine ni Ally Hapi (Mara), Robert Gabriel (Mwanza), Steven Kagaigai (Kilimanjaro), Charles Mbuge (Kagera), Wilbert Ibuge (Ruvuma), Marco Gaguti (Mtwara), Joseph Mkirikiti (Rukwa), Binilith Mahenge (Singida).
Akizungumza na Mwananchi, Kafulila amemshukuru Rais Samia na kuwaaga wananchi wa Simiyu huku akiwataka wampe ushirikiano mkuu wa mkoa mpya, Dk Yahya Nawanda na kuendeleza walipokuwa wamefikia.
“Kwanza nitoe shukran za kipekee kwa Mhe. Rais wetu Samia Suluhu Hassan kwa kuniamini kumsaidia katika nafasi ya Mkuu wa Mkoa. Ni heshima kubwa kwangu ambayo sikuwahi kuipata hapo kabla.
“Pili, ni kuwatakia heri wana Simiyu wote na kuwaomba waendeleze yote tuliyofanikisha pamoja na mengine zaidi ambayo hatukuweza kufanya ambayo watafanya na RC mpya. Binafsi nitaendelea kuitumikia nchi yetu kwa nguvu ile ile kama raia mwema.
“Natoa wito kwa wana Simiyu Kushirikiana RC mpya na zaidi kuendelea kumuunga mkono Rais wetu katika kazi kubwa anayoifanya ya kujenga Mkoa wetu wa Simiyu hasa kwa mapinduzi ya zao la pamba na miradi mingi ya maendeleo inayotekelezwa kila kona ya Mkoa,” amesema Kafulila.
Amewataka wananchi wa Simiyu kuendelea kumuunga mkono Rais Samia katika kufanikisha maono ya kujenga Taifa mpya na kujenga mkoa wa Simiyu hasa katika mapinduzi ya zao la pamba na miradi mingi ya maendeleo inayotekelezwa kila kona ya mkoa.
Rais Samia ateua wakuu wa mikoa wapya, tisa watemwa
“Waendelee kumuunga mkono Rais wetu kufanikisha maono makubwa ya kujenga Taifa moja kubwa kiuchumi na hivyo kisiasa ma kujenga jamii kubwa ambayo kila mmoja anayo fursa ya kushiriki ujenzi bila kujali tofauti hizo,” amesema Kafulila
Siyo kumpuzika....afanyie kazi kwa vitendo zile theories zake za kujiajiri na kuzalisha mamilioni...Kiherehere kilizidi bora akapumzike.
utakufa weweAkafie mbele
CHADEMA HAMPENDI SANA WATU WANAOWACHALLANGE KISIASA,MNATAKA MARAC MABUBU ILI MPENYEZE AGENDA ZENU, KAFULILA ALIWACHARAZA SANA KWA HOJA ZAKE NA UTENDAJI KAZI WAKE.Kiherehere kilizidi bora akapumzike.
Kafulila sio mtu wa Magufuli hata kama aliteuliwa na MagufuliNi kweli, mama anaondoa wale wote wa Magufuli hata kama hawana kosa, kosa ni kuwa "wa Magufuli "!
Ali Hapi bado na makofi yanamuhusu bwa mdg yule alikua mnafiki sanaFrom ukuu wa mkoa to “ukuu wa kaya” overnight. Haya mavyeo ya kupeana kwa hisani ni shida sana.
Wazee (akina Kinana) wanawaonyesha makali watu kama Ally Hapi. Kuna haja ya kuweka akiba ya maneno na kuepuka kujipendekeza kupitiliza kwa watawala ambao hawaishi milele.