Pre GE2025 Simiyu: CHADEMA yapata pigo Wanachama 60 wahamia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwan CHADEMA SI ilishakufa, ofisi ipi tena? Ufafanuz tafadhali
 
Shahawa zilizokuzaa heri zingemwagwa chooni tu
 
Wanahisi kwenye SACCOS
 
Sh. 60 tu, kweli mumeishiwa SERA..
 
Kwanini wasikimbie kwa kuogopa kuuwawa? Maana mnawajua sasa kilichokuwa kinafuata ni kuwauwa na kuwateka kwa kuwapeleka maporini. ccm ni wauwaji lazima tuogope. CCM tunawaogopa sababu hamuwezi hoja zaidi ya kuuwa wasiowakubali
 
It's normal kwa siasa! Ni haki yao! Wala sio lazma kubaki Chadema 😃 Uhuru wa kimedokrasia
 
Sio kweli na imekanushwa na JamiiCheck
 
What's wrong,

Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewapokea wanachama zaidi ya 60 kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuhamia CCM katika wilaya ya Itilima mkoani Simiyu
Sio kweli na imekanushwa na JamiiCheck
 
Wameikimbia saccos?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…