ukawa dona
JF-Expert Member
- Feb 8, 2023
- 516
- 887
Kwan CHADEMA SI ilishakufa, ofisi ipi tena? Ufafanuz tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shahawa zilizokuzaa heri zingemwagwa chooni tuNdugu zangu Watanzania,
Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Itilima, Katibu na wanachama wao wahamia CCM.
Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, Ndugu Terry Kilugala, na Katibu wake wa Wilaya ya Itilima, Ndugu Gershom Migasa Mipawa, pamoja na wanachama wao zaidi ya 60, wamehamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kupokelewa na Katibu Mkuu wake, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, katika mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la Luguru, wilayani Itilima.
Ndugu Kilugala, akizungumza kwenye mkutano huo, amesema mbali na Chadema kuwatumia vibaya viongozi na wanachama wake, kisha kuwaacha ‘watupu’ wakiangaliana wenyewe kwa wenyewe, uongozi wa CCM na utendaji kazi wa serikali yake, chini ya Mwenyekiti wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, vyote vimemfanya arudi nyumbani.
“Tulikuwa tunaenda Mwanza siku mbili kwa ubovu wa barabara, leo tunaenda na kurudi. Lazima tuseme ukweli, CCM imefanya kazi, lakini wenzetu wamebakia kusema uongo na kututumia vibaya. Kuna wabunge wa COVID-19, lakini ndani yake wamo wake zao, alafu huku wanatudanganya.”
Balozi Nchimbi, akiwapokea, amesema:
“Hawa ndugu zetu wameona mbali mapema, maana viongozi wakubwa kama Peter Msigwa kaona shida zao, wewe unasubiri nini? Rudini CCM, na nawapongeza wote mliojiunga na CCM, viongozi pamoja na wanachama. Karibuni sana tufanye kazi ya kujenga taifa pamoja.”
Soma Pia: Simiyu: CHADEMA yapata pigo Wanachama 60 wahamia CCM
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Yule mpuuzi wa Arusha sijui anajisikiaje anapoendaga kupiga picha kwenye lile nyumba la mzee MboweHakika kabisa saccos yake ikifika december wanakutana machame wanagawana akiba!
Acheni utapeli nyie wajinga
Wanahisi kwenye SACCOSCHADEMA ndio imekufa kabisa katika mioyo ya mamilioni ya watanzania.ndio maana unaona hata maandamano yalifeli kabisa mpaka kufikia hatua ya kukosekana kabisa watu wa kuandamana zaidi ya Mbogwe ,mke wake na mwanae ambao wana maslahi yao ndani ya CHADEMA
Wataachaje kushtuka wakati Mzee Mbowe kagoma kuachia saccosHata wao wameanza kushituka kuwa ni Sacco's ndio maana unaona waligoma kabisa kuandamana walipoambiwa na mbowe kuwa waandamane.
Sh. 60 tu, kweli mumeishiwa SERA..What's wrong,
Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewapokea wanachama zaidi ya 60 kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuhamia CCM katika wilaya ya Itilima mkoani Simiyu
Mapokezi hayo yamefanyika wakati Dkt. Nchimbi akiwa katika ziara yake mkoani Simiyu ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Itilima na wafuasi wake wamehamia Chama cha Mapinduzi CCM ambapo Dkt. Nchimbi amesema wanachama wamehamia CCM kwa kuona maendeleo na kazi nzuri inayofanywa na Viongozi wa chama hicho.
"Ndugu zetu kutoka upinzani, zaidi ya 60 wamejiunga na CCM leo na wamejiunga baada ya kushawishika na kazi nzuri za maendeleo zilizofanyika lakini pia wamefarijika na kazi zinazofanywa na mbunge wenu” Amesema Dkt. Nchimbi.
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
Kwanini wasikimbie kwa kuogopa kuuwawa? Maana mnawajua sasa kilichokuwa kinafuata ni kuwauwa na kuwateka kwa kuwapeleka maporini. ccm ni wauwaji lazima tuogope. CCM tunawaogopa sababu hamuwezi hoja zaidi ya kuuwa wasiowakubaliWhat's wrong,
Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewapokea wanachama zaidi ya 60 kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuhamia CCM katika wilaya ya Itilima mkoani Simiyu
Mapokezi hayo yamefanyika wakati Dkt. Nchimbi akiwa katika ziara yake mkoani Simiyu ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Itilima na wafuasi wake wamehamia Chama cha Mapinduzi CCM ambapo Dkt. Nchimbi amesema wanachama wamehamia CCM kwa kuona maendeleo na kazi nzuri inayofanywa na Viongozi wa chama hicho.
"Ndugu zetu kutoka upinzani, zaidi ya 60 wamejiunga na CCM leo na wamejiunga baada ya kushawishika na kazi nzuri za maendeleo zilizofanyika lakini pia wamefarijika na kazi zinazofanywa na mbunge wenu” Amesema Dkt. Nchimbi.
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
Kwani kipindi Daniel Godfrey Chongolo anajiuzulu ukatibu wa CCM aliondoka na chama au ofisi za chama?? We jamaa mbona hivyo!??Sasa ofisi zitaendelea vipi bila wanachama na hata viongozi?
UWT mmetapeliwa kwa ujinga wenuZitabaki ofisi za machame tu na kwa wale wasiojitambua
Kabisa.Mtadanganyana sana.
Sio kweli na imekanushwa na JamiiCheckWhat's wrong,
Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewapokea wanachama zaidi ya 60 kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuhamia CCM katika wilaya ya Itilima mkoani Simiyu
Mapokezi hayo yamefanyika wakati Dkt. Nchimbi akiwa katika ziara yake mkoani Simiyu ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Itilima na wafuasi wake wamehamia Chama cha Mapinduzi CCM ambapo Dkt. Nchimbi amesema wanachama wamehamia CCM kwa kuona maendeleo na kazi nzuri inayofanywa na Viongozi wa chama hicho.
"Ndugu zetu kutoka upinzani, zaidi ya 60 wamejiunga na CCM leo na wamejiunga baada ya kushawishika na kazi nzuri za maendeleo zilizofanyika lakini pia wamefarijika na kazi zinazofanywa na mbunge wenu” Amesema Dkt. Nchimbi.
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
Sio kweli na imekanushwa na JamiiCheckWhat's wrong,
Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewapokea wanachama zaidi ya 60 kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuhamia CCM katika wilaya ya Itilima mkoani Simiyu
Wameikimbia saccos?What's wrong,
Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewapokea wanachama zaidi ya 60 kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuhamia CCM katika wilaya ya Itilima mkoani Simiyu
Mapokezi hayo yamefanyika wakati Dkt. Nchimbi akiwa katika ziara yake mkoani Simiyu ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Itilima na wafuasi wake wamehamia Chama cha Mapinduzi CCM ambapo Dkt. Nchimbi amesema wanachama wamehamia CCM kwa kuona maendeleo na kazi nzuri inayofanywa na Viongozi wa chama hicho.
"Ndugu zetu kutoka upinzani, zaidi ya 60 wamejiunga na CCM leo na wamejiunga baada ya kushawishika na kazi nzuri za maendeleo zilizofanyika lakini pia wamefarijika na kazi zinazofanywa na mbunge wenu” Amesema Dkt. Nchimbi.
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
Una lipi la kusema? JamiiCheck wamethibisha taarifa yenu si ya kweli, Acheni upotoshaji, :SI KWELI - Mwenyekiti na Katibu wa CHADEMA wilaya Itilima wamehamia CCMSasa ofisi zitaendelea vipi bila wanachama na hata viongozi?