SIMIYU: Levinus Kidanabi Jela miaka saba na faini mil 15 kwa kumkashifu Rais Samia

Huyu kada kabla ya kufungwa ilipaswa kwanza ahojiwe kikamilifu kama yupo nyuma ya Mwigulu na Makamba wenye mpango wa kumezea mate kiti cha rais aliyewateua kwenye nyadhifa za uwaziri. Namshauri mama Samia awafute kazi hawa jamaa na hata kuwafukuza uanachama wa CCM kabla hawajamletea shida.

 
Mwigulu na Makamba ni wazoefu wa siasa za CCM na wamekuwepo kwenye baraza la mawaziri kwa miaka 10 sasa. Hao sio wajinga wa kusema wamezee kiti cha uRais mwaka 2025. Mwana-CCM yoyote anafahamu kuwa kumezea kiti cha uraisi 2025 kupitia CCM ni kujiua kisiasa kama alivyofanya Membe.

Hao wanajiandaa kwa ajili ya 2030.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…