voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,935
Levinus Kidanabi,
Amehukumiwa kwenda jela miaka saba, Pamoja na kulipa faini ya shilingi milioni kumi na tano za kitanzania. Huko Bariadi.
Kwa kosa la kumkosoa rais Samia, kupitia "Facebook."
Mambo kama haya kipindi cha "JPM" ndio tulizowea kuwasikia wapinzani na wanaharati nchini wakipiga kelele kupitia Media za Kimataifa.
Pia wakiandika nyaraka kwa Wanadiplomasia wa Balozi mbalimbali zilizoko nchini ili kuomba nchi zao zichukuwe hatua kwa serikali.
Lakini mpaka sasa,tangu huyu mwana CCM ametiwa hatiani, kisa tu, katoa maoni kinzani kwa kiongozi wa CCM na Rais wa nchi.
Sio... Zitto, Mnyika, Abdul Nondo, Lema, Lissu, Maria,
LHRC na wengineo wooote wanajitanabahisha kupigania na kuendesha harakati za vitendo vinavyokiuka haki za uhuru wa kidemokrasia nchini.
Wako kimya as if hawahasikia kitu... Au ndimi na vinywa vimejaa asali?
... ila yajayo yanatafakarisha zaidi, na huenda yakatufukarisha zaidi badala ya kutufurahisha zaidi....
Alamsikhi!
Amehukumiwa kwenda jela miaka saba, Pamoja na kulipa faini ya shilingi milioni kumi na tano za kitanzania. Huko Bariadi.
Kwa kosa la kumkosoa rais Samia, kupitia "Facebook."
Mambo kama haya kipindi cha "JPM" ndio tulizowea kuwasikia wapinzani na wanaharati nchini wakipiga kelele kupitia Media za Kimataifa.
Pia wakiandika nyaraka kwa Wanadiplomasia wa Balozi mbalimbali zilizoko nchini ili kuomba nchi zao zichukuwe hatua kwa serikali.
Lakini mpaka sasa,tangu huyu mwana CCM ametiwa hatiani, kisa tu, katoa maoni kinzani kwa kiongozi wa CCM na Rais wa nchi.
Sio... Zitto, Mnyika, Abdul Nondo, Lema, Lissu, Maria,
LHRC na wengineo wooote wanajitanabahisha kupigania na kuendesha harakati za vitendo vinavyokiuka haki za uhuru wa kidemokrasia nchini.
Wako kimya as if hawahasikia kitu... Au ndimi na vinywa vimejaa asali?
... ila yajayo yanatafakarisha zaidi, na huenda yakatufukarisha zaidi badala ya kutufurahisha zaidi....
Alamsikhi!