SIMIYU: Levinus Kidanabi Jela miaka saba na faini mil 15 kwa kumkashifu Rais Samia

SIMIYU: Levinus Kidanabi Jela miaka saba na faini mil 15 kwa kumkashifu Rais Samia

CCM tuache makambi na matimu ya ajabu ajabu tuchape kazi pamoja na Rais wetu Samia
 
Ukiionesha hapa utakuwa umesaidia kuisambaza, hivyo sheria haitakuacha salama kukutia hatiani na miaka 15 kukuhusu.
Kwahiyo mahakamani haikutajwa pia kwasababu hilo gazeti limeandika taarifa kutokea mahakamani.
 
haya waliokua wanamponda magufuli waje wamtete bi zoto kwa kuupiga mwingi.
Tatizo viongozi wetu tukiwachallenge wanaona kama sio stahiki yao kupata changamoto toka kwa wananchi na kibaya ni kwamba usipokubali mawazo ya wananchi bas unapotea vibaya sana mfano tunao haijapita hata miaka mitano kwamba tusahau ya mwenda zake naye hakutaka kuskia la mtu wala ukosoaji wa aina yoyote leo kiko wapi
 
Hii awamu ya sita haitaki kukosolewa?yaani kusema Tozo ni za kupumbavu ndiyo kumkashifu Rais?Bora arudi tu kwao Zanzibar maana huku hatujazoea haya mambo ya kipuuzi.
 
Haya mambo ndio yanaofanya lema na lisu waendelee kula kuku ughaibuni ,Bongo tafuta hela ya bamia na unga endelea na mambo yako nahisi siasa zilizikwa mara ya mwisho uchaguzi wa edo
Kwahiyo hatuishitaki Tena serikali ya Magufuli kwa huu udikteta ama?
 
Back
Top Bottom